dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
safi sana
KATAA NDOA
KATAA NDOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan ndoa sikuhizi ni kaburiBahati mbaya Maboya hawaishagi
Siku hizi ndoa ni sawa na biashara ya kusafirisha madawa ya kulevya, at some point lazima ita backfireYaan ndoa sikuhizi ni kaburi
Binadamu tuna roho ngumu sana imagine mke kisu kama huyu mwamba kaamua kumuuwa na kumkata vipande vipande kama samaki kisha kuvizika Shemu fotauti tofauti ili kukosekana ushahidi.
Jeshi la polisi linamshikilia mwanaume mmoja kwa kosa la kumuuwa mkewe kisha kumkatakata vipande vipande na kuvizika maeneo tofauti tofauti
USSR
kuoa + kuua... mujiandae kisaikolojia kabla hamjaingia kwenye ndoa
"The worse prison in the world is a home without peace, be very careful who you marry or fall in love with."View attachment 3078874View attachment 3078875
View attachment 3078876
Na muuaji ndio huyu my wake.....👆👆👆
Unajua nini To yeye kwenye ndoa bwana kuna kuchokana, japo sijaoa ila najua kupo, kuchokana, kukinaiana, kuzoeana na vitu kama hivo, hii hupelekea upendo kufifia mpaka kufa.Yaan ndoa sikuhizi ni kaburi
Hii iliwahi kutokea India, mume baada ya kujua mkewe anatoka na mwalimu wake wa mazoezi (gym), akaamua kumuua kwa siri kwa wakati ambao watu wote waliamini yeye hakuhusika.Binadamu tuna roho ngumu sana imagine mke kisu kama huyu mwamba kaamua kumuuwa na kumkata vipande vipande kama samaki kisha kuvizika Shemu fotauti tofauti ili kukosekana ushahidi.
Jeshi la polisi linamshikilia mwanaume mmoja kwa kosa la kumuuwa mkewe kisha kumkatakata vipande vipande na kuvizika maeneo tofauti tofauti
USSR
There is no perfect forgery!Hii iliwahi kutokea India, mume baada ya kujua mkewe anatoka na mwalimu wake wa mazoezi (gym), akaamua kumuua kwa siri kwa wakati ambao watu wote waliamini yeye hakuhusika.
Akamkata vipande vipande akitumia msumeno wa umeme, aliifanya kazi hiyo usiku bafuni. Kisha, kila kipande akakiweka kwenye mfuko mdogo kama mfuko wa rambo.
Akanunua jokofu kubwa akaweka mifuko yote na akafunga kwa kufuri kubwa. Kila akienda kazini alfajiri anatupa mfuko mmoja kwenye mto unaokatiza kwenye daraja la njia yake ya kwenda kazini.
Kuna kosa moja alifanya, likafichua kila kitu na akanaswa.
Ova
Mtihani wallah 😔View attachment 3078874View attachment 3078875
View attachment 3078876
Na muuaji ndio huyu my wake.....👆👆👆
Mhh kazi kwelikweli na haya mahusianoView attachment 3078874View attachment 3078875
View attachment 3078876
Na muuaji ndio huyu my wake.....👆👆👆
Ikawaje malizia kama hutojaliHii iliwahi kutokea India, mume baada ya kujua mkewe anatoka na mwalimu wake wa mazoezi (gym), akaamua kumuua kwa siri kwa wakati ambao watu wote waliamini yeye hakuhusika.
Akamkata vipande vipande akitumia msumeno wa umeme, aliifanya kazi hiyo usiku bafuni. Kisha, kila kipande akakiweka kwenye mfuko mdogo kama mfuko wa rambo.
Akanunua jokofu kubwa akaweka mifuko yote na akafunga kwa kufuri kubwa. Kila akienda kazini alfajiri anatupa mfuko mmoja kwenye mto unaokatiza kwenye daraja la njia yake ya kwenda kazini.
Kuna kosa moja alifanya, likafichua kila kitu na akanaswa.
Ova
My wake kamcharangaa mapanga, sababu ya yote ni wivu wa utupu wa mwanamke, Mungu alijua kukiumba hicho kiumbe yaani dView attachment 3078874View attachment 3078875
View attachment 3078876
Na muuaji ndio huyu my wake.....👆👆👆
Kuna simu inasumbua. Nikipata wasaa nitaeleza.Ikawaje malizia kama hutojali
Mpaka kifo kiwatenganishe wameunda wanadamu...na kuachana tumeunda wanadamu...ivo ni wewe tuUnajua nini To yeye kwenye ndoa bwana kuna kuchokana, japo sijaoa ila najua kupo, kuchokana, kukinaiana, kuzoeana na vitu kama hivo, hii hupelekea upendo kufifia mpaka kufa.
Binafsi napendekeza ndoa za mkataba, yani tutakaa mda fulani kila mtu apite hivi, ila sio huu mfumo wa mpaka kifo kiwatenganishe.
Hapo shida itakua ni uchungu wa pesa zake kuliwa halafu kuna mwamba wala hatumii nguvu.Kama akili yako si nzuri na mapenzi yanakuyumbisha, bora kuachana nayo tu. Kuliko kuuwa kisa mapenzi si bora hata uende jeshi la US, Ukraine, Russia ukapigane vita uuwe ulipwe, ukafie huko. Kuliko kuleta simanzi kwenye familia za watu kisa mapenzi.