To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mwache aendeHapo shida itakua ni uchungu wa pesa zake kuliwa halafu kuna mwamba wala hatumii nguvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache aendeHapo shida itakua ni uchungu wa pesa zake kuliwa halafu kuna mwamba wala hatumii nguvu.
Muuaji kakaa kama "NJAGU".View attachment 3078874View attachment 3078875
View attachment 3078876
Na muuaji ndio huyu my wake.....👆👆👆
Kabisa😊Mwache aende
Endelea mkuu,ikawaje?Hii iliwahi kutokea India, mume baada ya kujua mkewe anatoka na mwalimu wake wa mazoezi (gym), akaamua kumuua kwa siri kwa wakati ambao watu wote waliamini yeye hakuhusika.
Akamkata vipande vipande akitumia msumeno wa umeme, aliifanya kazi hiyo usiku bafuni. Kisha, kila kipande akakiweka kwenye mfuko mdogo kama mfuko wa rambo.
Akanunua jokofu kubwa akaweka mifuko yote na akafunga kwa kufuri kubwa. Kila akienda kazini alfajiri anatupa mfuko mmoja kwenye mto unaokatiza kwenye daraja la njia yake ya kwenda kazini.
Kuna kosa moja alifanya, likafichua kila kitu na akanaswa.
Ova
Mwache aende
Alikuwa hapewi penzi sikuzote?Na gharama alizotoa mwamba nani atazilipa? Ubaya Ubwela.
Syo ushamba wa mapenzi..Hawa wanaume washamba wa mapenzi watatumaliza 😭😭
Wewe Kuna kitu unacho kichwani....naenda nawe taratiibuSyo ushamba wa mapenzi..
Kuna watu si wanawake wala wanaume hawapendi kuchezewa hisia
Ova
Kwani hiyo ilikuwa ndoa?safi sana
KATAA NDOA
Changamoto za afya ya akili, kwanini watumie hisia badala ya akili?Syo ushamba wa mapenzi..
Kuna watu si wanawake wala wanaume hawapendi kuchezewa hisia
Ova
Gharama zake ni kubwa kuliko Penzi alilokuwa anapewa kwa manati ,Msingi wa Biashara ,malazi,mavazi,chakula daily na penzi la kila baada ya week mbili vinaendana?Alikuwa hapewi penzi sikuzote?
Huo ni uchoyo sasa...Gharama zake ni kubwa kuliko Penzi alilokuwa anapewa kwa manati ,Msingi wa Biashara ,malazi,mavazi,chakula daily na penzi la kila baada ya week mbili vinaendana?
Ogopa sana kumlia pesa mshamba wa mapenzi.Hawa wanaume washamba wa mapenzi watatumaliza 😭😭
Kuna watu akili zao fyatu...Ana gharimikia alafu anasikia kuwa kuna mtu mwingine uko nayeGharama zake ni kubwa kuliko Penzi alilokuwa anapewa kwa manati ,Msingi wa Biashara ,malazi,mavazi,chakula daily na penzi la kila baada ya week mbili vinaendana?
mpaka msemeKwani hiyo ilikuwa ndoa?
Kabisa utamuona boya ila siku moja atakufanyia action utabaki unashangaaOgopa sana kumlia pesa mshamba wa mapenzi.
Sasa km tatizo ni pesa si aseme arudishiwe!!Ogopa sana kumlia pesa mshamba wa mapenzi.