Tandika, Dar: Amuua mpenzi wake na kumtenganisha viungo

Tandika, Dar: Amuua mpenzi wake na kumtenganisha viungo

Kuna watu akili zao fyatu...Ana gharimikia alafu anasikia kuwa kuna mtu mwingine uko naye
Ahh anafanya lolote

Ova

Kabisa mkuu ,na wanawake wakishaona wewe ni mshamba wa mapenzi halafu una vichenji chenji atakupagawisha kimahaba ili azidi kukutoboa mfuko kumbe kwa upande mwingine ndiyo anazidi kumkoleza mshamba ,halafu mshamba aje kusikia kwamba kuna Bwege mwingine anakula mzigo lazima akutenganishe viungo.
 
Kabisa mkuu ,na wanawake wakishaona wewe ni mshamba wa mapenzi halafu una vichenji chenji atakupagawisha kimahaba ili azidi kukutoboa mfuko kumbe kwa upande mwingine ndiyo anazidi kumkoleza mshamba ,halafu mshamba aje kusikia kwamba kuna Bwege mwingine anakula mzigo lazima akutenganishe viungo.
Washamba wa mapenzi
Wageni wa mapenzi wakiumizwa wanaumia kweri kweri!

Ova
 
Hii iliwahi kutokea India, mume baada ya kujua mkewe anatoka na mwalimu wake wa mazoezi (gym), akaamua kumuua kwa siri kwa wakati ambao watu wote waliamini yeye hakuhusika.

Akamkata vipande vipande akitumia msumeno wa umeme, aliifanya kazi hiyo usiku bafuni. Kisha, kila kipande akakiweka kwenye mfuko mdogo kama mfuko wa rambo.

Akanunua jokofu kubwa akaweka mifuko yote na akafunga kwa kufuri kubwa. Kila akienda kazini alfajiri anatupa mfuko mmoja kwenye mto unaokatiza kwenye daraja la njia yake ya kwenda kazini.

Kuna kosa moja alifanya, likafichua kila kitu na akanaswa.

Ova
Huyu ni killer elite, a man ambae hana cha kupoteza ni dangerous man. Huwa hawaongei ila utapata habari zao
 
mimi naegemea kwenye point yangu ya afya ya akili

kuna magonjwa mabaya sana ya akili yanafanya mtu anakuwa katili sana mfano psychopathy

shida ni kwamba huwezi kujua moja kwa moja kwamba mtu ana shida ya akili au la

halafu nimewahi kusikia kuna wanawake wanavutiwa na wanaume wenye magonjwa flani ya akili
 
Sasa km tatizo ni pesa si aseme arudishiwe!!
Hizi mambo za kufikia hatua ya kuuana ni afya ya akili haiko vizuri kichwani.!!
Yeya anajua kinachoenda kwa mganga hakirudi so anahamua amaamalizane naye mazima.

Ushawahi kusikia marioo kaua lishangazi? Kwasasabu Mariooo yeye hagharamikii so anakuwa hana machungu hata akimfumania maana anajua akizingua mirija inakata.....Uchungu unakuja mtu akifikiri gharama alizoinvbest kisha anasalitiwa.
 
Yeya anajua kinachoenda kwa mganga hakirudi so anahamua amaamalizane naye mazima.

Ushawahi kusikia marioo kaua lishangazi? Kwasasabu Mariooo yeye hagharamikii so anakuwa hana machungu hata akimfumania maana anajua akizingua mirija inakata.....Uchungu unakuja mtu akifikiri gharama alizoinvbest kisha anasalitiwa.
Hamna ushamba wake wa michejo na kitumbua 😜

Mbona wanaume wengi wanapotezea mambo km hayo, huyo ni kichaa anatumia hisia nyingi kuliko akili…

Sasa yeye kagharamikia kwani huyo mwanamke alikuwa hamtumii?? Au ka invest kitu gani haswaa cha kufanya had aue??
Hao ni vichaa wengi wao
 
Hii iliwahi kutokea India, mume baada ya kujua mkewe anatoka na mwalimu wake wa mazoezi (gym), akaamua kumuua kwa siri kwa wakati ambao watu wote waliamini yeye hakuhusika.

Akamkata vipande vipande akitumia msumeno wa umeme, aliifanya kazi hiyo usiku bafuni. Kisha, kila kipande akakiweka kwenye mfuko mdogo kama mfuko wa rambo.

Akanunua jokofu kubwa akaweka mifuko yote na akafunga kwa kufuri kubwa. Kila akienda kazini alfajiri anatupa mfuko mmoja kwenye mto unaokatiza kwenye daraja la njia yake ya kwenda kazini.

Kuna kosa moja alifanya, likafichua kila kitu na akanaswa.

Ova
Kosa gani mkuu
 
haswa hawa watumishi mambo leo hawa kina mwamposa, nahisi wengi wana viashiria

wanapenda zile sifa za kuitwa 'baba wa kiroho' kupigiwa makoti, kunyenyekewa halafu unakuta makanisani wanahubiri vitu vya ajabu eti mwanamke akifanya ngono kabla ya ndoa ni malaya etc

Hawanibariki.
🤣🤣🤣 wewe una ugomvi na bulldozer
 
Hat wanawake wako machizi ukimzingua anakuja kukuzingua
Kumbuka yule dem aliyempiga kibiriti yule bwana wake huko mbezi msakuzi sjui makabe

Ova
Machizi wengi wake kwa waume.!
Hisia zinakuwa nyingi kuliko akili.

Na nyie wanaume mmezidi mnapagawisha wadada wa watu then boom mnawabwaga mnategemea nini?? Tofauti na mikulumbembe hata uipige tukio haijali yenyewe inajionea sawa.!!
 
mimi naegemea kwenye point yangu ya afya ya akili

kuna magonjwa mabaya sana ya akili yanafanya mtu anakuwa katili sana mfano psychopathy

shida ni kwamba huwezi kujua moja kwa moja kwamba mtu ana shida ya akili au la

halafu nimewahi kusikia kuna wanawake wanavutiwa na wanaume wenye magonjwa flani ya akili
Wala sio uongo. Wapo wanawake anampenda mtu kwa sababu jamaa ni aliwahi kufanya jambo fulani kwa mfano kuua (serial killer) na wapo wanawake wana matatizo ya akili anaamini mtu fulani maarufu ni mpenzi wake na watafunga ndoa mfano Mbosso hawa anaweza kukuua ukikataa
 
Back
Top Bottom