Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ni mara Chache sana kukuta type hii ya wanawake wakiwa wakorofi sijui what went wrong anyway rest in eternal peace beautiful soul
Sababu wapumbavu ni wengi kuliko werevu duniani.Changamoto za afya ya akili, kwanini watumie hisia badala ya akili?
pale kati kwenu pana utamu wa sukari guru. panavuruga akili yoteMy
My wake kamcharangaa mapanga, sababu ya yote ni wivu wa utupu wa mwanamke, Mungu alijua kukiumba hicho kiumbe yaani d
Ugonjwa wa akili husababishwa sio kitu kinatokea from nowhere e.g migogoro ya mahusiano imepelekea gonjwa la akili kueneamimi naegemea kwenye point yangu ya afya ya akili
kuna magonjwa mabaya sana ya akili yanafanya mtu anakuwa katili sana mfano psychopathy
shida ni kwamba huwezi kujua moja kwa moja kwamba mtu ana shida ya akili au la
halafu nimewahi kusikia kuna wanawake wanavutiwa na wanaume wenye magonjwa flani ya akili
huwa si wanawaita warugaruga. hawajuia warugaruga ndio walezi wa mabwana zao ngome.Ogopa sana kumlia pesa mshamba wa mapenzi.
kwahiyo ni kawaida kuua msaliti?Ugonjwa wa akili husababishwa sio kitu kinatokea from nowhere e.g migogoro ya mahusiano imepelekea gonjwa la akili kuenea
Watu kusalitiana imekuwa sio tu kawaida Bali ni fahari Sasa huyu msaliti na anafurahia kusaliti ndio psychopath na sio muathirika
Bora nyeto kwenye amani kuliko papuchi vitani.😄
Ova
Bora nyeto kuliko papuchi la masimango.waache tamaa ya pesa, wataisha
TenaAnyway Japo habari ni ya kizushi ila funzo ni moja hapo. KATAA NDOA
Nimerudia kusoma na sijaona mahali nimesema ni sawa kuua msalitikwahiyo ni kawaida kuua msaliti?
NAKAZIABora nyeto kuliko papuchi la masimango.
Mzee nqona kataa ndoa mpaka sasa unaongoza ligi kwa pointi kibaooo 😄NAKAZIA
Ila wanawake lazima watajibu hiiiBora nyeto kwenye amani kuliko papuchi vitani.
wenye Ndoa wanapita kimya kimya huku wakisonyaMzee nqona kataa ndoa mpaka sasa unaongoza ligi kwa pointi kibaooo 😄
Ova
Naona hawa wanaenda kutafuta maumivu 😄wenye Ndoa wanapita kimya kimya huku wakisonya
Kwakuwa alikuwa CHAWA basi alistahili alichopata.Huruma yangu kwa watoto watatu. Very innocent.
View attachment 3079297