KUna watu kama wewe mukereheka na kukatika kwa umeme wa Tanesco na kuanza kuwaza solar lakini mukiulizwa umeme unapokuwepo munafanyia nini, jawabu ni kuangalia supersport! Ni uzembe kulilia umeme kwa mambo yasiyo ya maendeleo.Lakini operating cost ni ndogo zaidi ya theluthi mbili ya hiyo Tanesco! Na hapa unasahau mambo ya kuwa umeme utakatika ghafla muda wowote.
Sawa Turudi Kwenye Cost of production and maintaining per unit costMkuu, Solar PV arries si zinazalisha DC? Hizo converters tutaziweka huko mwishoni, maana hatuna haja ya kubadili AC ambayo hatuzalishi kwenye solar pv modules!! Kumbuka mada iliyopo mezani ni Solar Energy.
Kuna jamaa anaitwa TUJITEGEMEE namsisitizia Solar Energy is cost per unit priceDah...mkuu β¦.wanaotaka kutumia umeme jua wengi wao hawaangalii gharama kama ilivyo...bali wanalinganisha gharama za umeme dhidi ya uharibifu wa mazingiraβ¦..hata tafiti nyingi zimefanywa kuhusiana na umeme wa jua...juu ya kuwepo wa mashamba makubwa ya umeme jua au kuwepo wa umeme jua kwa kila mtu kwake.. ...matokeo yako wazi kabisa kwamba..mashamba makubwa ya umeme jua ni gharama sana...karibu mara 4 kama ukiongeza na gharama za kusafirisha nishati hiyo kwenda kwenye matumizi ukilinganisha kama kila mtu atakuwa na panel yake nyumbaniβ¦.. Hivyo ni bora waktafuta namna ya kuweka ruzuku kwenye vifaa vya umeme jua ili watu waweze kuutumia kwa wingi...tuweke uzalendo mbele ...10% iwe nyuma π€
Tanesco 10% zisiwatoe uzalendo
Kweli wewe zero,kwa akili yako hujui kuwa solar inaweza kuendesha kiwanda kikubwa?We kajinga kweli kweli! Tunazungumzia umeme wewe unaleta mifano ya Kenya na wananchi wanaoweka solar, unaijua sababu ni nini? Usilete mifano usiyoijua mende we! Ndo ubaya wa JF. Mtu unabishana hata na ka mtu kenye elimu haba. Tunataka umeme wa kusaga nafaka, tunautaka tuendeshe mitambo ya kuranda mbao, vijana waweke barbaershops, nk. huko kenya wanafanya hayo kwa solar? Foool!
Hata tunayo REA unajua sababu kwa nini Kenya hawawezi kufanya rural electrification? hawawezi, na njia pekee ni watu binafsi kujiwekea Solar. Sisi tunaweza kwa sababu ya social settings na land ownership tuliyonayo. Kenya umeme uko Nairobi na kurudi kusini tu basi! Ukiingia miji na vijiji vya kaskazini mwa Nairobi huwezi. Sasa kama uko Tanesco na unaamua kwa kufuata yaliyotokea Kenya kwa ufahamu mdogo huu, ndo hiyo hatari tunayozungumzia kwamba Tanesco ina watu vihiyo.
Tujiepushe na kauli za jumla jumla kwa sababu kauli hizo haziwatendei haki wasiohusika.jawabu ni kuangalia supersport! Ni uzembe kulilia umeme kwa mambo yasiyo ya maendeleo.
Ha ha haa! Mkuu, vibaya hivyo kunisema pembeni.Kuna jamaa anaitwa TUJITEGEMEE namsisitizia Solar Energy is cost per unit price
Hata mafuta ya ndege yanaweza endesha kiwanda kikubwa. Tunachotaka ni gharama ndogo za uendeshaji. Hakuna kenge yeyote anayefanya biashara atatumia solar energy badala ya HEP.Kweli wewe zero,kwa akili yako hujui kuwa solar inaweza kuendesha kiwanda kikubwa?
Jiongeze kwanza kuelewa solar power ni nini kwa ulimwengu wa leo, kabla hujatapika.
Mara nyingi wale wafuatiliaji wa masuala ya gharama za kuwekeza kwenye biashara ya umeme upenda kutumia factors kama levelized cost of energy, specific capital cost, na nyinginezo. Factors hizi, uondoa upendeleo katika maamuzi ya kujua ni mradi gani wa umeme utakuwa na faidia.Sawa Turudi Kwenye Cost of production and maintaining per unit cost
Unao mfano wa hicho kiwanda au uliona kwenye film?Kweli wewe zero,kwa akili yako hujui kuwa solar inaweza kuendesha kiwanda kikubwa?
Jiongeze kwanza kuelewa solar power ni nini kwa ulimwengu wa leo, kabla hujatapika.
Panua ubongo,Huko Morocco wanazalisha umeme wa solar in mass production.Unao mfano wa hicho kiwanda au uliona kwenye film?
Mjadili huu unavyoendelea nimesoma michango ya wana JF. Nilichokihisi, kuna wana TANESCO kibao ndani wanatetea hata wasiyoyajua. Hawa watakuwa mainjinia waliosoma umeme, wana digrii hawajui lolote nje ya umeme.Dah...mkuu β¦.wanaotaka kutumia umeme jua wengi wao hawaangalii gharama kama ilivyo...bali wanalinganisha gharama za umeme dhidi ya uharibifu wa mazingiraβ¦..hata tafiti nyingi zimefanywa kuhusiana na umeme wa jua...juu ya kuwepo wa mashamba makubwa ya umeme jua au kuwepo wa umeme jua kwa kila mtu kwake.. ...matokeo yako wazi kabisa kwamba..mashamba makubwa ya umeme jua ni gharama sana...karibu mara 4 kama ukiongeza na gharama za kusafirisha nishati hiyo kwenda kwenye matumizi ukilinganisha kama kila mtu atakuwa na panel yake nyumbaniβ¦.. Hivyo ni bora waktafuta namna ya kuweka ruzuku kwenye vifaa vya umeme jua ili watu waweze kuutumia kwa wingi...tuweke uzalendo mbele ...10% iwe nyuma π€
Tanesco 10% zisiwatoe uzalendo
TUanjadili mambo ya usoni au mradi wa sasa wa TANESCO? Kwani hujui usoni hatutahitaji jua kuzalisha umeme?Panua ubongo,Huko Morocco wanazalisha umeme wa solar in mass production.
Wanaendesha viwanda vikubwa kwa umeme huo.Sio tu hapo kuna maeneo mengi kama China ,India wanafanya hivyo.Ndio maana nilikwambia jiongeze mkuu.
Siku za usoni sitashangaa kuona Solar ndio tegemeo kuu la uzalishaji umeme hasa kuzingatia kutunza mazingira.
Wewe your outdated,tekinologia ya solar imeishapiga hodi katika mataifa mengi, na zimefanyika breakthrough ya solar panel hata battery.Hata mafuta ya ndege yanaweza endesha kiwanda kikubwa. Tunachotaka ni gharama ndogo za uendeshaji. Hakuna kenge yeyote anayefanya biashara atatumia solar energy badala ya HEP.
Hao kina Elon Musk na Tesla yake wanatengeneza magari ya umeme ili ya mafuta yasichafue mazingira. Ila wakati huo umeme wa kuchaji magari yao hawajui unatoka wapi. Na wala viwanda vya magari yao havitumii umeme wa jua.
Ahaa jua ndio baba wa umeme, Mwenyezi Mungu katupa jua tulitumie kwa maarifa.TUanjadili mambo ya usoni au mradi wa sasa wa TANESCO? Kwani hujui usoni hatutahitaji jua kuzalisha umeme?
Mkuu, sijui upo tayari kujibu maswali yangu haya?
Mkuu, unatumia system ya Watts ngapi( PV module), taa nne za watt ngapi ?
Je. Taa nne zote umezifunga kwenye chumba kimoja ama kila taa ipo kwenye chumba chake? Naweza kujua ukubwa wa chumba zilimo/ ilipo taa yaani upana, urefu na kimo!? Je. Mtambo/ system yako hiyo ipo maeneo gani/ mkoa gani Tanzania!? Je. Panel hiyo/ hizo umezifunga katika uelekeo upi/ orientation ( pembe ya kuinama na uso wa panel umeangalia upande upi yaani upande wa kaskazini, kusini , magharibi, ama mashariki)
Kwa ufafanuzi zaidi, ninaomba maelezo ya vifaa vyote vinavyounda mfumo/ mtambo/ system yako hiyo ya solar.
Nina uhakika ukinipa majibu ya maswali haya kwa ufasaha, wataalamu wetu wa mifumo hii watatupa sababu kwa nini mfumo wako huo haukidhi kiu ya mahitaji yako ya mwanga hapo nyumbani/ofisini.
Issue iliyokuja mezani ni kusafirisha DC over long term sio Economical,Mkuu, Solar PV arries si zinazalisha DC? Hizo converters tutaziweka huko mwishoni, maana hatuna haja ya kubadili AC ambayo hatuzalishi kwenye solar pv modules!! Kumbuka mada iliyopo mezani ni Solar Energy.
For very LARGE DISTANCE and VERY HIGH VOLTAGES, DC is preferred over AC. Actually there is a break even point for transmission line distance (600β700 kms) beyond which DC transmission is cheaper than AC mainly because only 2 lines are required (or 1 if you take ground for return path) and absence of skin and proximity effects.Mkuu, Solar PV arries si zinazalisha DC? Hizo converters tutaziweka huko mwishoni, maana hatuna haja ya kubadili AC ambayo hatuzalishi kwenye solar pv modules!! Kumbuka mada iliyopo mezani ni Solar Energy.
Asante kwa kujibu maswali kama livyouliza.Nipo tayari Mkuu.
1. Watts 60
2. Taa moja chumbani ,nyingine sebuleni ,moja kibarazani ,nyingine kwa nyuma ya nyumba nje...Taa za watts 5
3.Chumba ni 3.5m kwa 4m na kimo ni 4m.
4.Mkoa - Manyara - MINJINGU.
5.Orientation - sina uhakika wa angle lakini imefuata slope ya bati.
6.Nimeweka upande wa jua limapochomozea.
7.Solar hizi unauziwa mfumo mzima kwa laki na 45.