TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

Huelewi hata unachoandika, kwa ujinga ulio nao Mwenyezi Mungu kutukirimia sisi huku jua kwa miezi 9 linaloweza kutumika kama nishati tofauti na mabara mengine alikuwa bwege..think! kila kitu alichoweka Mola kina maana yake kwa mahali husika, kuna kundi kubwa la watanzania wenye umri fulani wana kasoro ya reasoning, anapita kote huko pengine hadi Phd level lakini hajafuta ujinga wewe ni mmoja wao.
Haya ni mahubiri ya wema wa Mungu au ndio njia ya kutetea solar energy? Sikuelewi kabisa!!! Andika kinachojadiliwa. Acha kuleta habari ya Mwenyezi Mungu hapa. Mungu ndo anakuongoza hadi upate umeme wa solar? Umeulizwa; wapi Duniani solar ni alternative energy ya kutumainiwa? Sema!!!! Unaleta uliyokaririr darasani ili kujibu mtihani hapa! Fooool!
 
Watu wasiosoma Electricity, Electronics au Computer Eng hawawezi kuelewa Hili Sio Solar tu any DC power ni ghali per unit price kuliko AC, watu huwa haelewi kuwa hata kwenye Simu zetu za mkononi Battery ni one of most expensive component.


Solar Energy ni ghali sana
 
Siku zote Sola si umeme wa uhakika.
Kwa nini?kumbuka nchi nyingi waafrika solar energy inapatikana si chini ya masaa 12 tena asilia 99 mwaka mzima nini kigumu hapo mpaka usiwe umeme wa uhakika?
 
Solar ni umeme Bora na rahisi sana kuliko unavyopotosha!!!... Nimetumia solar hapa Gezaulole Kigamboni Dar es salaam miaka 6 sikuona Wala kupata shida ya aina yeyote!!!... Tofauti yake uwekezaji wake unahitaji fedha na utaalamu wa uhakika
Tena kwa nchi yetu yenye guarantee ya jua kali 12 hrs a day hususani mikoa ya pwan na kati
 
Kwa nini?kumbuka nchi nyingi waafrika solar energy inapatikana si chini ya masaa 12 tena asilia 99 mwaka mzima nini kigumu hapo mpaka usiwe umeme wa uhakika?
Nahisi una elimu ndogo au uelewa ni mdogo sana! Huo umeme wa masaa 12 ni kiasi gani na unaweza kufanya nini ktk maisha yako? Lengo ni kutumia umeme siyo tu kuzalisha umeme.
 
Watu wasiosoma Electricity, Electronics au Computer Eng hawawezi kuelewa Hili Sio Solar tu any DC power ni ghali per unit price kuliko AC, watu huwa haelewi kuwa hata kwenye Simu zetu za mkononi Battery ni one of most expensive component.


Solar Energy ni ghali sana
Sijui kwa nini TANESCO imejaza mainjinia lakini wana uelwa mdogo kiasi hiki. Lakini nahisi ni makusudi. Ni shirika lililozoea kuiba pesa miaka yote.
 
Gharama za kuendesha hydroelectric power ni ndogo mno. Gharama za kuendesha mitambo ya gesi inaeleweka kiasi. Sasa hizi wind turbine zina complication kubwa pamoja na kuhitaji maintenance mara kwa mara. Hiyo solar energy haiko reliable sana wala haitoi nishati ya kutosha.
Hakuna haja ya kukimbilia uko kwa sasa.
Kuna mikoa ina jua hatari ikiongozwa na dar es salaam pwan tanga dodoma pia kwa wastan nchi nzima ina pata 12hrs ya jua kwa siku shida iko.wapi hapo?
 
Wengi tukisikia solar energy tunajawa na hisia kwamba ni jambo la maana sana! Ni umeme mzuri kwa mwanakijiji anayetaka mwanga wa kufukuza wanyama watembeao gizani tu! Kwani nchi zetu hizi maskini hatuhitaji miradi mikubwa kiasi hicho kinacholengwa na Tanesco.

Ni uharibifu wa pesa kwa kujidai kuingia kwenye renewable energy. Ni biashara ya makampuni ya kigeni kujipenyeza ndani ya TANESCO, nao wanaandika eti by 2050 Tanzania itatumia renewable energy, wakimaanisha wind na solar. Huu naweza kuita ni upuuzi.

Solar na wind bado ni luxurious energy sources ambazo tunawaachia nchi zilizoendelea kufanya majaribio. Ni aibu kwa shirika kama Tanesco kujiingiza kwenye miradi ya gharama kubwa kiasi hicho. Maneno kama renewable energy na alternative energy ni kujiridhisha tu na kuwazubaisha wanasiasa na kunufaisha makampuni ya nje ambayo yanatuuzia hizo pannels.

Katika East Africa walianza Uganda. Kwa mikogo wakatangaza kuwa na solar farm, ukweli ni kwamba hilo ni shimo la fedha. Wangeweza kupata umeme mwingi kutoka Nile kuliko hizo pannels. Sasa wameingia Tanesco nao kwa mikogo wanatangaza tender ya kufunga mitambo ya solar. Spain Andalusia inajigamba kuwa na solar farm ya kisasa kabisa na technolojia za kisasa lakini bado ni umwamba tu, wana umeme mwingi kwa njia za nuklia na mafuta.

Je, kwa nini Tanesco inajiingiza kwenye solar? Jibu ni rahisi: Kwanza hawaijui kiuhakika kiasi hicho zaidi ya kusimuliwa na makampuni yanayouza pannel na kutoa mifano ya nchi jirani na ulaya ambako hakuna nchi hata moja ilnayotegemea solar. Mfano mzuri ni ujerumani ambako Angela Merkel aliahidi kuondoa mitambo yote ya nuklia ili kuweka renewable kama hizi wanazokimbilia Tanesco. Tangu 2005 hadi leo hajafika kokote! Kumbuka huyu ni mfizikia, syansi anaijua sana. UK wao waliongeza nuklia na ikajengwa na kampuni ya China. Hivi karuibuni Afrika kusini imejenga nyuklia mpya na ni mitambo itakayokuwa mikubwa kuliko yote duniani.

Pili Tanesco kuna tamaa ya kupewa kitu kidogo na makampuni ya nje ili kubeba techolojia ya aina hii ambayo kwa tender kama hiyo, lazima itajengwa na makampuni ya nje.

Bila kujali 2050 nani atakuwa hai, Munachokifanya ni wizi mtupu na hasara kwa kizazi kijacho. Kama mna ubavu jengeni mitambo ya nyuklia.
Bwana linajengwa kubwaaa la nini? Solar wizi mtupu
 
Kuna mikoa ina jua hatari ikiongozwa na dar es salaam pwan tanga dodoma pia kwa wastan nchi nzima ina pata 12hrs ya jua kwa siku shida iko.wapi hapo?
Jua kazi yake ni kucharge Battery, Hizo Battery ni Ghali sana... also Transmission ya DC ni gharama zaidi..

Hivi hujui
 
Kuna mikoa ina jua hatari ikiongozwa na dar es salaam pwan tanga dodoma pia kwa wastan nchi nzima ina pata 12hrs ya jua kwa siku shida iko.wapi hapo?
Hizo battery unajua zinauzwa bei gani, operating costs, miundombinu ya kufanikisha, kufunga vifaa upya kila baada ya muda mfupi, mvua ikinyesha na mwanga ukawa hautoshi. Usiku giza likiingia umeme unakosa then wanaoutumia huo wanafanyaje au utataka nao wanunue betri za kuhifadhi, kama sivyo basi betri za kuhifadhi kituoni ziwe nyingi kuwezesha hata usiku kutoa umeme.

Tangu wafunge mitambo ya HEP hujawahi sikia marekebisho ya gharama au muda mwingi.
 
Haya ni mahubiri ya wema wa Mungu au ndio njia ya kutetea solar energy? Sikuelewi kabisa!!! Andika kinachojadiliwa. Acha kuleta habari ya Mwenyezi Mungu hapa. Mungu ndo anakuongoza hadi upate umeme wa solar? Umeulizwa; wapi Duniani solar ni alternative energy ya kutumainiwa? Sema!!!! Unaleta uliyokaririr darasani ili kujibu mtihani hapa! Fooool!
Una maradhi kichwani wewe, kwa hiyo kwako jambo lolote zuri lazima kuwepo na reference mahali kama lina faida au la...wewe huwezi anzisha ya kwako mazuri na wengine waje kujifunza kwako, akili ya maskini mjinga wa mwisho...soma hapa uongeze ujinga ulionao Noor Ouarzazate Solar Complex, Morocco
 
Wengi tukisikia solar energy tunajawa na hisia kwamba ni jambo la maana sana! Ni umeme mzuri kwa mwanakijiji anayetaka mwanga wa kufukuza wanyama watembeao gizani tu! Kwani nchi zetu hizi maskini hatuhitaji miradi mikubwa kiasi hicho kinacholengwa na Tanesco.

Ni uharibifu wa pesa kwa kujidai kuingia kwenye renewable energy. Ni biashara ya makampuni ya kigeni kujipenyeza ndani ya TANESCO, nao wanaandika eti by 2050 Tanzania itatumia renewable energy, wakimaanisha wind na solar. Huu naweza kuita ni upuuzi.

Solar na wind bado ni luxurious energy sources ambazo tunawaachia nchi zilizoendelea kufanya majaribio. Ni aibu kwa shirika kama Tanesco kujiingiza kwenye miradi ya gharama kubwa kiasi hicho. Maneno kama renewable energy na alternative energy ni kujiridhisha tu na kuwazubaisha wanasiasa na kunufaisha makampuni ya nje ambayo yanatuuzia hizo pannels.

Katika East Africa walianza Uganda. Kwa mikogo wakatangaza kuwa na solar farm, ukweli ni kwamba hilo ni shimo la fedha. Wangeweza kupata umeme mwingi kutoka Nile kuliko hizo pannels. Sasa wameingia Tanesco nao kwa mikogo wanatangaza tender ya kufunga mitambo ya solar. Spain Andalusia inajigamba kuwa na solar farm ya kisasa kabisa na technolojia za kisasa lakini bado ni umwamba tu, wana umeme mwingi kwa njia za nuklia na mafuta.

Je, kwa nini Tanesco inajiingiza kwenye solar? Jibu ni rahisi: Kwanza hawaijui kiuhakika kiasi hicho zaidi ya kusimuliwa na makampuni yanayouza pannel na kutoa mifano ya nchi jirani na ulaya ambako hakuna nchi hata moja ilnayotegemea solar. Mfano mzuri ni ujerumani ambako Angela Merkel aliahidi kuondoa mitambo yote ya nuklia ili kuweka renewable kama hizi wanazokimbilia Tanesco. Tangu 2005 hadi leo hajafika kokote! Kumbuka huyu ni mfizikia, syansi anaijua sana. UK wao waliongeza nuklia na ikajengwa na kampuni ya China. Hivi karuibuni Afrika kusini imejenga nyuklia mpya na ni mitambo itakayokuwa mikubwa kuliko yote duniani.

Pili Tanesco kuna tamaa ya kupewa kitu kidogo na makampuni ya nje ili kubeba techolojia ya aina hii ambayo kwa tender kama hiyo, lazima itajengwa na makampuni ya nje.

Bila kujali 2050 nani atakuwa hai, Munachokifanya ni wizi mtupu na hasara kwa kizazi kijacho. Kama mna ubavu jengeni mitambo ya nyuklia.
Muda si mrefu naachana na hawa Tanesco,nitakuwa na umeme jua wangu natumbukiza kama 10M halafu ndio Tanesco watakuwa historia kwangu , hata uje umeme wa bwawa la Nyerere nimeamua kuwapa kisogo hawa Tanesco,hawaeleweki mara umeme unakatwa siku nzima,mara mtumiaji mkubwa ananunua umeme tofauti na anayetumia kidogo,badala ya kumjali anayetumia zaidi umeme wao wanamjali asiyetumia umeme, sasa kwa heri Tanesco nitakuwa off grid kwa kila kitu hadi maji.
 
Wewe ni mwongo,hujui unazungumza nini.
Acha kupotosha umma.Solar power ni nguvu ya juwa isio na mshindani.
Huko Kenya power and lighting company kama Tanesco inapumulia mashine, baada ya wananchi kuwekeza solar power kwa nyumba zao.
Wananchi walinyanyaswa sana kwa kukatika umeme mara kwa mara gharama kubwa ya umeme,lakini solar power ni UPS yaani un enterupted power supply. Tanesco hawezi hilo,hana sifa hiyo is days are numbered.
Pili solar panels una uwakika wa kupata umeme kati ya miaka 15 hadi 25.bila shida .
Shida kubwa tekinologia ni mpya kwa nchini kwetu na kuna watu wasiokuwa na sifa ndio wanatoa huduma mbovu na kupotosha nishati hiyo.
Nchi kama Ujerumani isio kuwa na mwanga wa jua kama nchi za tropic imeweza kuwa na ufanisi mkubwa wa nishati hiyo na kuuza akiba kwa mfumo wa conventional power kama Tanesco.
Tatizo si solar,tatizo ni upeo.
Miaka 5 ijayo kuna uwezekano mkubwa wa Tanesco akabakia kutoa huduma kwenye viwanda.
Twende na tekinologia.

Wengi tukisikia solar energy tunajawa na hisia kwamba ni jambo la maana sana! Ni umeme mzuri kwa mwanakijiji anayetaka mwanga wa kufukuza wanyama watembeao gizani tu! Kwani nchi zetu hizi maskini hatuhitaji miradi mikubwa kiasi hicho kinacholengwa na Tanesco.

Ni uharibifu wa pesa kwa kujidai kuingia kwenye renewable energy. Ni biashara ya makampuni ya kigeni kujipenyeza ndani ya TANESCO, nao wanaandika eti by 2050 Tanzania itatumia renewable energy, wakimaanisha wind na solar. Huu naweza kuita ni upuuzi.

Solar na wind bado ni luxurious energy sources ambazo tunawaachia nchi zilizoendelea kufanya majaribio. Ni aibu kwa shirika kama Tanesco kujiingiza kwenye miradi ya gharama kubwa kiasi hicho. Maneno kama renewable energy na alternative energy ni kujiridhisha tu na kuwazubaisha wanasiasa na kunufaisha makampuni ya nje ambayo yanatuuzia hizo pannels.

Katika East Africa walianza Uganda. Kwa mikogo wakatangaza kuwa na solar farm, ukweli ni kwamba hilo ni shimo la fedha. Wangeweza kupata umeme mwingi kutoka Nile kuliko hizo pannels. Sasa wameingia Tanesco nao kwa mikogo wanatangaza tender ya kufunga mitambo ya solar. Spain Andalusia inajigamba kuwa na solar farm ya kisasa kabisa na technolojia za kisasa lakini bado ni umwamba tu, wana umeme mwingi kwa njia za nuklia na mafuta.

Je, kwa nini Tanesco inajiingiza kwenye solar? Jibu ni rahisi: Kwanza hawaijui kiuhakika kiasi hicho zaidi ya kusimuliwa na makampuni yanayouza pannel na kutoa mifano ya nchi jirani na ulaya ambako hakuna nchi hata moja ilnayotegemea solar. Mfano mzuri ni ujerumani ambako Angela Merkel aliahidi kuondoa mitambo yote ya nuklia ili kuweka renewable kama hizi wanazokimbilia Tanesco. Tangu 2005 hadi leo hajafika kokote! Kumbuka huyu ni mfizikia, syansi anaijua sana. UK wao waliongeza nuklia na ikajengwa na kampuni ya China. Hivi karuibuni Afrika kusini imejenga nyuklia mpya na ni mitambo itakayokuwa mikubwa kuliko yote duniani.

Pili Tanesco kuna tamaa ya kupewa kitu kidogo na makampuni ya nje ili kubeba techolojia ya aina hii ambayo kwa tender kama hiyo, lazima itajengwa na makampuni ya nje.

Bila kujali 2050 nani atakuwa hai, Munachokifanya ni wizi mtupu na hasara kwa kizazi kijacho. Kama mna ubavu jengeni mitambo ya nyuklia.
 
Wewe ni mwongo,hujui unazungumza nini.
Acha kupotosha umma.Solar power ni nguvu ya juwa isio na mshindani.
Huko Kenya power and lighting company kama Tanesco inapumulia mashine, baada ya wananchi kuwekeza solar power kwa nyumba zao.
Wananchi walinyanyaswa sana kwa kukatika umeme mara kwa mara gharama kubwa ya umeme,lakini solar power ni UPS yaani un enterupted power supply. Tanesco hawezi hilo,hana sifa hiyo is days are numbered.
Pili solar panels una uwakika wa kupata umeme kati ya miaka 15 hadi 25.bila shida .
Shida kubwa tekinologia ni mpya kwa nchini kwetu na kuna watu wasiokuwa na sifa ndio wanatoa huduma mbovu na kupotosha nishati hiyo.
Nchi kama Ujerumani isio kuwa na mwanga wa jua kama nchi za tropic imeweza kuwa na ufanisi mkubwa wa nishati hiyo na kuuza akiba kwa mfumo wa conventional power kama Tanesco.
Tatizo si solar,tatizo ni upeo.
Miaka 5 ijayo kuna uwezekano mkubwa wa Tanesco akabakia kutoa huduma kwenye viwanda.
Twende na tekinologia.
We kajinga kweli kweli! Tunazungumzia umeme wewe unaleta mifano ya Kenya na wananchi wanaoweka solar, unaijua sababu ni nini? Usilete mifano usiyoijua mende we! Ndo ubaya wa JF. Mtu unabishana hata na ka mtu kenye elimu haba. Tunataka umeme wa kusaga nafaka, tunautaka tuendeshe mitambo ya kuranda mbao, vijana waweke barbaershops, nk. huko kenya wanafanya hayo kwa solar? Foool!

Hata tunayo REA unajua sababu kwa nini Kenya hawawezi kufanya rural electrification? hawawezi, na njia pekee ni watu binafsi kujiwekea Solar. Sisi tunaweza kwa sababu ya social settings na land ownership tuliyonayo. Kenya umeme uko Nairobi na kurudi kusini tu basi! Ukiingia miji na vijiji vya kaskazini mwa Nairobi huwezi. Sasa kama uko Tanesco na unaamua kwa kufuata yaliyotokea Kenya kwa ufahamu mdogo huu, ndo hiyo hatari tunayozungumzia kwamba Tanesco ina watu vihiyo.
 
Muda si mrefu naachana na hawa Tanesco,nitakuwa na umeme jua wangu natumbukiza kama 10M halafu ndio Tanesco watakuwa historia kwangu , hata uje umeme wa bwawa la Nyerere nimeamua kuwapa kisogo hawa Tanesco,hawaeleweki mara umeme unakatwa siku nzima,mara mtumiaji mkubwa ananunua umeme tofauti na anayetumia kidogo,badala ya kumjali anayetumia zaidi umeme wao wanamjali asiyetumia umeme, sasa kwa heri Tanesco nitakuwa off grid kwa kila kitu hadi maji.
Hongera! If you have 10 M to dispose of for home DC energy consumption then, you have good business paying back at a rate of 60% such that, in the next 4 years, you will be able to refurbish your system with new storage batteries. Uko kwenye Ndoto, boss!
 
Hongera! If you have 10 M to dispose of for home DC energy consumption then, you have good business paying back at a rate of 60% such that, in the next 4 years, you will be able to refurbish your system with new storage batteries. Uko kwenye Ndoto, boss!
Watu wengi hawajui electricity wala physics in general ndio maana wanazani Umeme wa solar ni cheap kisa unatoka kwenye Jua...

Hawajui kuzalisha Volt 1 ya DC ni ghali sana Kuliko Volt 1 ya AC. Yaani kwa matumizi ya Kawaida ya nyumbani gharama ya solar ni hata mara 10000

Hawa watu wangejifunza challenge wanayopata Magari ya Tesla kwenye Kucharge Hizo Battery and costfull the process is
 
Solar Ni DC power ni ina high cost per unit price from production to maintenance
Kwa taarifa yako tu ni kuwa kadri siku zinavyoongezeka kupungua kwa gharama za vifaa vinavyotumika kuzalisha umeme jua inazidi kupungua siku hadi siku kutokana na uboreshaji wa teknolojia. Mfano, miaka ya tisini solar panel bei yake ilikuwa karibu shilingi TZS 10,000/ Wp lakini kwa sasa inakaribia shilingi TZS 1,300/Wp. Na inazidi kushuka. Hii hali inaenda hata kwa vifaa kama batteries, charge controller, inverters, nakadhalika.

Kwa msingi huo, ni makosa kupiga kampeni dhidi ya matumizi ya umeme wa solar kwa sababu ya eti gharama kubwa za umeme huo wakati trends zinaonyesha bei ya umeme huo inashuka kadri siku zinavyosonga.
 
Wengi tukisikia solar energy tunajawa na hisia kwamba ni jambo la maana sana! Ni umeme mzuri kwa mwanakijiji anayetaka mwanga wa kufukuza wanyama watembeao gizani tu! Kwani nchi zetu hizi maskini hatuhitaji miradi mikubwa kiasi hicho kinacholengwa na Tanesco.

Ni uharibifu wa pesa kwa kujidai kuingia kwenye renewable energy. Ni biashara ya makampuni ya kigeni kujipenyeza ndani ya TANESCO, nao wanaandika eti by 2050 Tanzania itatumia renewable energy, wakimaanisha wind na solar. Huu naweza kuita ni upuuzi.

Solar na wind bado ni luxurious energy sources ambazo tunawaachia nchi zilizoendelea kufanya majaribio. Ni aibu kwa shirika kama Tanesco kujiingiza kwenye miradi ya gharama kubwa kiasi hicho. Maneno kama renewable energy na alternative energy ni kujiridhisha tu na kuwazubaisha wanasiasa na kunufaisha makampuni ya nje ambayo yanatuuzia hizo pannels.

Katika East Africa walianza Uganda. Kwa mikogo wakatangaza kuwa na solar farm, ukweli ni kwamba hilo ni shimo la fedha. Wangeweza kupata umeme mwingi kutoka Nile kuliko hizo pannels. Sasa wameingia Tanesco nao kwa mikogo wanatangaza tender ya kufunga mitambo ya solar. Spain Andalusia inajigamba kuwa na solar farm ya kisasa kabisa na technolojia za kisasa lakini bado ni umwamba tu, wana umeme mwingi kwa njia za nuklia na mafuta.

Je, kwa nini Tanesco inajiingiza kwenye solar? Jibu ni rahisi: Kwanza hawaijui kiuhakika kiasi hicho zaidi ya kusimuliwa na makampuni yanayouza pannel na kutoa mifano ya nchi jirani na ulaya ambako hakuna nchi hata moja ilnayotegemea solar. Mfano mzuri ni ujerumani ambako Angela Merkel aliahidi kuondoa mitambo yote ya nuklia ili kuweka renewable kama hizi wanazokimbilia Tanesco. Tangu 2005 hadi leo hajafika kokote! Kumbuka huyu ni mfizikia, syansi anaijua sana. UK wao waliongeza nuklia na ikajengwa na kampuni ya China. Hivi karuibuni Afrika kusini imejenga nyuklia mpya na ni mitambo itakayokuwa mikubwa kuliko yote duniani.

Pili Tanesco kuna tamaa ya kupewa kitu kidogo na makampuni ya nje ili kubeba techolojia ya aina hii ambayo kwa tender kama hiyo, lazima itajengwa na makampuni ya nje.

Bila kujali 2050 nani atakuwa hai, Munachokifanya ni wizi mtupu na hasara kwa kizazi kijacho. Kama mna ubavu jengeni mitambo ya nyuklia.

Katika umeme ambao siupendi ni wa SOLAR ,gharama za kuwekeza kubwa halafu mwanga hafifu hauna uhakika wa kulast 24hrs.......Ni wizi bora wainvest kwenye Nuclear Reactor.
 
Watu wengi hawajui electricity wala physics in general ndio maana wanazani Umeme wa solar ni cheap kisa unatoka kwenye Jua...

Hawajui kuzalisha Volt 1 ya DC ni ghali sana Kuliko Volt 1 ya AC. Yaani kwa matumizi ya Kawaida ya nyumbani gharama ya solar ni hata mara 10000

Hawa watu wangejifunza challenge wanayopata Magari ya Tesla kwenye Kucharge Hizo Battery and costfull the process is
Ni kweli gharama za kuzalisha umeme wa jua ziko juu kidogo kulinganisha na umeme huo wa AC.

Lakini kwa taarifa yako kusafirisha umeme wa DC ni bei ndogo zaidi kuliko kusafirisha AC. Na hapa ndipo panatia hasara maana loss njiani ni kubwa kwa AC. Suala la gharama za umeme si uzalishaji tu hata usambazaji. Pia gharama za uendeshaji za umeme wa solar ni ndogo kuliko za huo umeme unaopigia kampeni ya kufa na kupona!
 
Back
Top Bottom