TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

Naomba nikuulize kuna sehemu yoyote ambapo Tanesco waliwahi kufanikiwa ktk miradi ya aina hii? Kwenye IPTL walifanya nini? Hawakuweza ku-zoom?

Unatupeleka kwenye yale yale mambo ya kipuuzi yanayofanywa na shirika hili kila leo. Hakuna cha ku-zoom hapo ni upigaji tu! Iwe ni Songas iwe ni Dowans iwe ni IPTL hakuna kitu! Hwajawahi kuwa na maslahi ya kitaifa watu hawa. Ukiona shirika ambalo CEO wake anajiingiza ktk upigaji, hiyo ni kuonesha hata akiondolewa, mizizi bado ipo. Ndiyo haya! Kwa nini hamtaki kuachana na experiment za solar?
Kijana unaongea historia,usitukumbushe kuhusu serikali za janja janja serikali zenye makando kando ya kiupigaji hii ni serikali Mpya serikali ya hapa Kazi Tu lengo ni kuwa na Taifa la uchumi wa viwanda.

Kuhusu miradi ya solar nishakujibu hautaki kuelewa.
Kasome maswala ya energy mix,energy transition,au niombe PDF nikutumie usome hacha uvivu wezako walisoma ndio maana wapo paler juu wanafanya maamuzi ya kitaifa,ww ulikataa kusoma tulia watu wafanye yao.
 
Kijana unaongea historia,usitukumbushe kuhusu serikali za janja janja serikali zenye makando kando ya kiupigaji hii ni serikali Mpya serikali ya hapa Kazi Tu lengo ni kuwa na Taifa la uchumi wa viwanda.

Kuhusu miradi ya solar nishakujibu hautaki kuelewa.
Kasome maswala ya energy mix,energy transition,au niombe PDF nikutumie usome hacha uvivu wezako walisoma ndio maana wapo paler juu wanafanya maamuzi ya kitaifa,ww ulikataa kusoma tulia watu wafanye yao.
Tanesco haiwezi change kwa sababu tu eti kuna Magufuli. Bado software ni zile zile zenye wizi. Njia pekee ni kuwakazia muachane na uzembe wa teknolojia. Kama mungekuwa wa maana isingehitajika Ikulu kuwaonesha mini-hydro za Njombe.

Injinia wa masters, naangalia unavyopose kama mwenye elimu nzuri sana ya kutusaidia, lakini kwa ufahamu wangu, hakuna cha energy mix ya solar pannel. Uko nyuma boss! Hatuko tena kwenye solar za kukinga na vioo. Tafuta sub-atomic particle accelerator energy. Research zimeshatoka kwenye jua la asili, haliaminiki ni out of date. Hapo ndo kuna tatizo. Wanaofanya utafiti wa maana wanaachana na pannel wewe unaishauri Tanesco iingie kwenye udhaifu uliokwisha eleweka, kwa elimu ya energy mix.
 
Tanesco haiwezi change kwa sababu tu eti kuna Magufuli. Bado software ni zile zile zenye wizi. Njia pekee ni kuwakazia muachane na uzembe wa teknolojia. Kama mungekuwa wa maana isingehitajika Ikulu kuwaonesha mini-hydo za Njome.

Injinia wa masters, naangalia unavyopose kama mwenye elimu nzuri sana ya kutusaidia, lakini kwa ufahamu wangu, hakuna cha energy mix ya solar pannel. Uko nyuma boss! Hatuko tena kwenye solar za kukinga na vioo. Tafuta sub-atomic particle accelerator energy. Research zinemshatoka kwenye jua la asili, haliaminiki ni out of date. Hapo ndo kuna tatizo wanaofanya utafiti wa maana wanaachana na pannel wewe unaishauri Tanesco iingie kwenye udhaifu uliokwisha eleweka, kwa elimu ya energy mix.
Wee jamaa ushaambiwa hakuna perfect energy source kila moja inachangamoto zake kinachofanyika ni kubalance ,wanaangalia vitu vitatu 1.Security ya energy 2.Competence na 3.Environment

N.B renewable sio kwamba inachukua nafasi ya Hydro la hasha TANESCO wanaiongezea on top of Hydro na nishati nyingine.

Pia kumbuka kuna kitu kinaitwa IPCC (Intergovernmental Panel of Climatic Change) ambayo ipo chini ya UNFCCC
wao ndio maboss wetu tulishakubaliana nao kuhusu Sustainable Development Scenario (SDS) ya 2°C katika mkataba wa Paris Agreement iliyosainiwa 2016 kwamba kila nchi inabidi ipunguze hizo carbon emission kwa 5% kila mwaka ilikuwa na Zero Carbon Emmission kufikia 2050 ,sababu according to Kaya Japanese Economist hii population mpaka kufikia 2050 itakuwa imekuwa kwa 30% na kutokana na sensa ya 2015 dunia ina watu 7billions now we are talking about 10 billions juhudi za ziada zisipofanyika dunia itakuwa hatarini sana kwa hilo ongezeko la 30% sababu idadi inaongezeka na economic activities zina double japo kuna mshenzi mmoja anataka kujitoa kabla ya 2020 kuisha.
Ila sisi hatuna jeuri hiyo boss.

Kuhusu maswala ya Nuclear boss Serikali inakuja mdogo mdogo ikimaliza Stiglers inawezekana project ijayo ikawa hiyo.
Kuna changamoto kwny kubwa kwnye Umeme wa nuclear za gharama,wataaramu na usalama maana lile ni bomu sio kitu cha mchezo mchezo.
Kujenga nuclear reactor ndogo wataaram wanakadilia kama $million 750 (Trillion 1.7 za kibongo) hapo ni kujenga tu,ukishajenga kuendesha (operation) unahitaji $4000-$6000 kuzalisha Umeme wa MW1000.

Ila kuna kitu kinaitwa L.C.O.E ma engineer wa energy wanakijua hicho inawezekana uki calculate L.C.O.E (Levelized Cost of Electricity) ya hydro electricity na ukalinganisha ya Nuclear ya Nuclear ikawa kubwa kama itakuwa hvyo hakuta kuwa na aja ya kuwa na Nuclear Electricity maana cost za kuendesha nuclear reactor zinakuwa kubwa sana tutaweza kuendelea na mradi kwa kuangalia vigezo vingine kama nilivyoanisha tunaangalia Competence ya energy,security na maswala ya kimazingira.
 
Wee jamaa ushaambiwa hakuna perfect energy source kila moja inachangamoto zake kinachofanyika ni kubalance ,wanaangalia vitu vitatu 1.Security ya energy 2.Competence na 3.Environment

N.B renewable sio kwamba inachukua nafasi ya Hydro la hasha TANESCO wanaiongezea on top of Hydro na nishati nyingine.

Pia kumbuka kuna kitu kinaitwa IPCC (Intergovernmental Panel of Climatic Change) ambayo ipo chini ya UNFCCC
wao ndio maboss wetu tulishakubaliana nao kuhusu Sustainable Development Scenario (SDS) ya 2°C katika mkataba wa Paris Agreement iliyosainiwa 2016 kwamba kila nchi inabidi ipunguze hizo carbon emission kwa 5% kila mwaka ilikuwa na Zero Carbon Emmission kufikia 2050 ,sababu according to Kaya Japanese Economist hii population mpaka kufikia 2050 itakuwa imekuwa kwa 30% na kutokana na sensa ya 2015 dunia ina watu 7billions now we are talking about 10 billions juhudi za ziada zisipofanyika dunia itakuwa hatarini sana kwa hilo ongezeko la 30% sababu idadi inaongezeka na economic activities zina double japo kuna mshenzi mmoja anataka kujitoa kabla ya 2020 kuisha.
Ila sisi hatuna jeuri hiyo boss.

Kuhusu maswala ya Nuclear boss Serikali inakuja mdogo mdogo ikimaliza Stiglers inawezekana project ijayo ikawa hiyo.
Kuna changamoto kwny kubwa kwnye Umeme wa nuclear za gharama,wataaramu na usalama maana lile ni bomu sio kitu cha mchezo mchezo.
Kujenga nuclear reactor ndogo wataaram wanakadilia kama $million 750 (Trillion 1.7 za kibongo) hapo ni kujenga tu,ukishajenga kuendesha (operation) unahitaji $4000-$6000 kuzalisha Umeme wa MW1000.

Ila kuna kitu kinaitwa L.C.E.O ma engineer wa energy wanakijua hicho inawezekana uki calculate L.C.E.O (Levelized Cost of Electricity) ya hydro electricity na ukalinganisha ya Nuclear ya Nuclear ikawa kubwa kama itakuwa hvyo hakuta kuwa na aja ya kuwa na Nuclear Electricity maana cost za kuendesha nuclear reactor zinakuwa kubwa sana tutaweza kuendelea na mradi kwa kuangalia vigezo vingine kama nilivyoanisha tunaangalia Competence ya energy,security na maswala ya kimazingira.
Injinia wa masters, umerudi na theories zako! Kama ni hivyo Tanesco ina safari ndefu.

Hivi unapoandika, huwa unarudia kusoma ulichoandika kama kinaleta maana yoyote uliyokusudia? Unachokifanya ni kuandika kila kitu unachokisikia iwe ni sehemu ya mjadala huu. Hotchpotch of ideas. Bahati mbaya unaandika na mambo ambayo huyajui. Hujui kazi za IPCC. IPCC haiwezi kuingia mkataba na wewe kwa sababu haijawahi kufanya hivyo na siyo kazi yake. Hiyo 2C unayotaja haijawahi kuwa sehemu ya mkataba wa nchi zinazoendelea Ukitaka kujua mchango wetu kwenye hiyo 2C soma document ya nchi yetu inayoitwa NDC. Ukiuliza ni ipi hiyo, nitathibitisha uko fake hata Paris agreement huijui.

Kama kweli hiyo ndo ile Masters yako, nikiulizwa kueleza wewe ni nani basi, kwa lugha ya Shakespeare nitasema "The lady doth protest too much, methinks"
 
Kuna wakati unashindwa kuelewa ni wapi tunakosea hadi kuwa na mawaziri au watendaji wa sehemu nyeti kama hii Tanesco wenye maono ya kipuuzi kiasi hiki. Solar! Nchi gani Africa hii inaokolewa na solar ktk mahitaji ya umeme? Hapa ni wizi kwa mbele!
 
Wakati mwingine ni uungwana kukubali kuwa wewe ni mjinga na pengine mpumbavu inapotokea kitu unachofahamu kuhusu jambo fulani ni matokeo ya ujinga ulio nao..suala la nishati kwa maisha ya binadamu wa leo ni nyeti sana, hasa kwa vile aina nyingi za nishati zina madhara ya kimazingira kupelekea kuathiri uhai wa viumbe hai akiwemo binadamu na hivyo nishati yoyote ambayo inaleta madhara iwe ni ya muda mfupi au mrefu ni vyema kutathimini vizuri namna ya kuitumia, mengine yanayohusiana na vyanzo vya nishati ni pamoja na kujua kama nishati hiyo ni endelevu, gharama zake nk. Ukiorodhesha aina zote za vyanzovya nishati vilivyopo..jua, upepo, maji, mafuta, madini (gesi , uranium,coal nk), joto ardhi na vingine jibu unalopata kuhusu nishati gani inakidhi changamoto za kimazingira na uendelevu jibu ni jua, upepo pengine na joto ardhi..gharama haiwezi kuwa kigezo cha kudrive maamuzi unapochagua aina ya nishati.
Baada ya kufahamu hayo kinachotokea kwenye maisha yetu tunapochagua aina ya nishati tulizo nazo ni kuwa na mchanganyiko wa kutumia nishati zote...ili hata kama nchi yetu inayo nishati fulani kwa wingi, let say maji..ni muhimu pia kutumia nishati ya jua na upepo japo kwa asilimia kidogo ili kuwa na mbadala wa nishati inayotokana na maji ili kuchangia kupunguza athari za kimazingira na kuwa na uendelevu, kama nishati moja ikipata changamoto, maji yana matumizi mengi, lakinimaji yanategemea mvua, mvua zinaweza kupungua na hivyo maji kupungua pia, kama huna chanzo kingine utaathirika sana...ni muhimu na lazima kuwa na MIX ya vyanzo vyote...na hicho ndicho wanafanya TANESCO!!
Kwanza wamechelewa sana, ilitakiwa tuwe na megawat zaidi ya 300 zinazotokana na jua na upepo kwenye gridi yetu, hizi sio luxurious energy..ni reliable energy!
We jamaa ni bwege sana! Nchi gani inayotegemea solar kama backup ya kuaminika dunia hii? Hao wanaokuletea ujinga huu wa energy wana nuclear hadi kusaza! Halafu wanaanza kukuhoga vipande vya solar wanavyofanyia utafiti wewe unakuja kutukana JF ukiamini uko sahihi!
 
Kuna wakati unashindwa kuelewa ni wapi tunakosea hadi kuwa na mawaziri au watendaji wa sehemu nyeti kama hii Tanesco wenye maono ya kipuuzi kiasi hiki. Solar! Nchi gani Africa hii inaokolewa na solar ktk mahitaji ya umeme? Hapa ni wizi kwa mbele!
Mradi wa mtu huo,hapa pesa zinatoka mfuko huu,zinaenda mfuko huu,
Hizi ni deals za watu,ni Kama ilivyokuwa Dowans,simbiyon,
Takwimu zinasema,Rushwa na ufisadi vimeua wa Afrika wengi kuriko vita.
 
Hivi huyu waziri wa Nishati ana ufahamu gani na wizara yake? Au yuko kundi lipi la utawala huu? Naona kama analegezewa wakati TANESCO wanaelekekea kuizamishanzhi kwenye majaribio. Hawajifunzi kipi ni kizuri ila wanaiga wanayosikia kwa majirani na huko ulaya.
 
Hivi huyu waziri wa Nishati ana ufahamu gani na wizara yake? Au yuko kundi lipi la utawala huu? Naona kama analegezewa wakati TANESCO wanaelekekea kuizamishanzhi kwenye majaribio. Hawajifunzi kipi ni kizuri ila wanaiga wanayosikia kwa majirani na huko ulaya.
hahahahah Phd huyo waziri ndo wasomi WETU
 
Wakati mwingine ni uungwana kukubali kuwa wewe ni mjinga na pengine mpumbavu inapotokea kitu unachofahamu kuhusu jambo fulani ni matokeo ya ujinga ulio nao..suala la nishati kwa maisha ya binadamu wa leo ni nyeti sana, hasa kwa vile aina nyingi za nishati zina madhara ya kimazingira kupelekea kuathiri uhai wa viumbe hai akiwemo binadamu na hivyo nishati yoyote ambayo inaleta madhara iwe ni ya muda mfupi au mrefu ni vyema kutathimini vizuri namna ya kuitumia, mengine yanayohusiana na vyanzo vya nishati ni pamoja na kujua kama nishati hiyo ni endelevu, gharama zake nk. Ukiorodhesha aina zote za vyanzovya nishati vilivyopo..jua, upepo, maji, mafuta, madini (gesi , uranium,coal nk), joto ardhi na vingine jibu unalopata kuhusu nishati gani inakidhi changamoto za kimazingira na uendelevu jibu ni jua, upepo pengine na joto ardhi..gharama haiwezi kuwa kigezo cha kudrive maamuzi unapochagua aina ya nishati.
Baada ya kufahamu hayo kinachotokea kwenye maisha yetu tunapochagua aina ya nishati tulizo nazo ni kuwa na mchanganyiko wa kutumia nishati zote...ili hata kama nchi yetu inayo nishati fulani kwa wingi, let say maji..ni muhimu pia kutumia nishati ya jua na upepo japo kwa asilimia kidogo ili kuwa na mbadala wa nishati inayotokana na maji ili kuchangia kupunguza athari za kimazingira na kuwa na uendelevu, kama nishati moja ikipata changamoto, maji yana matumizi mengi, lakinimaji yanategemea mvua, mvua zinaweza kupungua na hivyo maji kupungua pia, kama huna chanzo kingine utaathirika sana...ni muhimu na lazima kuwa na MIX ya vyanzo vyote...na hicho ndicho wanafanya TANESCO!!
Kwanza wamechelewa sana, ilitakiwa tuwe na megawat zaidi ya 300 zinazotokana na jua na upepo kwenye gridi yetu, hizi sio luxurious energy..ni reliable energy!
Umeme wa joto ardhi ni bora kuliko wa jua na upepo. Kenya wamefaulu.
 
Wakati mwingine ni uungwana kukubali kuwa wewe ni mjinga na pengine mpumbavu inapotokea kitu unachofahamu kuhusu jambo fulani ni matokeo ya ujinga ulio nao..suala la nishati kwa maisha ya binadamu wa leo ni nyeti sana, hasa kwa vile aina nyingi za nishati zina madhara ya kimazingira kupelekea kuathiri uhai wa viumbe hai akiwemo binadamu na hivyo nishati yoyote ambayo inaleta madhara iwe ni ya muda mfupi au mrefu ni vyema kutathimini vizuri namna ya kuitumia, mengine yanayohusiana na vyanzo vya nishati ni pamoja na kujua kama nishati hiyo ni endelevu, gharama zake nk. Ukiorodhesha aina zote za vyanzovya nishati vilivyopo..jua, upepo, maji, mafuta, madini (gesi , uranium,coal nk), joto ardhi na vingine jibu unalopata kuhusu nishati gani inakidhi changamoto za kimazingira na uendelevu jibu ni jua, upepo pengine na joto ardhi..gharama haiwezi kuwa kigezo cha kudrive maamuzi unapochagua aina ya nishati.
Baada ya kufahamu hayo kinachotokea kwenye maisha yetu tunapochagua aina ya nishati tulizo nazo ni kuwa na mchanganyiko wa kutumia nishati zote...ili hata kama nchi yetu inayo nishati fulani kwa wingi, let say maji..ni muhimu pia kutumia nishati ya jua na upepo japo kwa asilimia kidogo ili kuwa na mbadala wa nishati inayotokana na maji ili kuchangia kupunguza athari za kimazingira na kuwa na uendelevu, kama nishati moja ikipata changamoto, maji yana matumizi mengi, lakinimaji yanategemea mvua, mvua zinaweza kupungua na hivyo maji kupungua pia, kama huna chanzo kingine utaathirika sana...ni muhimu na lazima kuwa na MIX ya vyanzo vyote...na hicho ndicho wanafanya TANESCO!!
Kwanza wamechelewa sana, ilitakiwa tuwe na megawat zaidi ya 300 zinazotokana na jua na upepo kwenye gridi yetu, hizi sio luxurious energy..ni reliable energy!
Kweli unasema ni reliable energy? Nchi gani inategemea hizi reliable energy zako? foool!
Wewe umeponzwa na matangazo ya biashara ya hao wazalishaji wa solar pannel. Ukitaka kuelewa ubovu wa ufahamu wako, jiulize ilikuwaje Ujerumani ya Angela Merkel iliachana na mpango huo tangu aiingie madarakani kwa ahadi ya kuachana na nuclear.
 
Kuna wakati unashindwa kuelewa ni wapi tunakosea hadi kuwa na mawaziri au watendaji wa sehemu nyeti kama hii Tanesco wenye maono ya kipuuzi kiasi hiki. Solar! Nchi gani Africa hii inaokolewa na solar ktk mahitaji ya umeme? Hapa ni wizi kwa mbele!
Hisia yangu ni kwamba udugu na urafiki unaleta shida. Kuna watu wanaiba kwa kuruhusiwa na ngazi za juu. Waziri na watendaji naona wameruhusiwa kuiba kwa makusudi. Wanatengeza future yao kwa miradi kama hii bila kizuizi, lakini ni hakika kwamba kitendo hiki ni kuzamisha pesa za walipa kodi wa nchi hii.
 
Inanikumbusha Nehemia wakati anaanza miradi yake ya ovyo NHC baadhi ya watu walikuwa wanapiga kelele huyo mtu anaenda haribu model ya shirika hiyo mikopo anayochukua na hizo bidhaa zake hazina demand.

Matokeo yake project zimesimamishwa way late, mikopo aliyochukua aliwapandishia wapangaji kwenye nyumba na ofisi za NHC alizozikuta mpaka kwa asilimia 300% ndio wanaolipa hayo madeni aliyochukua mpaka leo.

Walioshindwa kuendana na kodi zake nyumba walizokaa miaka wamezikimbia, demand ya nyumba sehemu za maeneo sio vile leo na wala kupata sio shida.

Wapangaji waliobaki ndio inabidi walipe hayo madeni na serikali inaamia Dodoma si muda mapato yao yatapungua kwenye majengo waliyokuwa wamekodisha hiyo deficit watapelekewa wapangaji wanaobaki wafidie.

Raisi Kikwete aliekuwa ana mkingia kifua Nehemia afanye hizo project ana nyumba yake nzuri tu Msoga, ana nyumba mikocheni na sasa anapewa zawadi nyingine Kawe beach. Na watoto wake wote wana majumba yao ya kifahari.

Wanaoumia kwenye huu upuuzi wao wa hizi investment za kijinga siku zote ni watanzania wanaotumia hizo huduma. Mambo yao yakiaribika wakianza kudaiwa wanaongeza tozo kwa watumiaji they don’t care kwani wao ndio wenye final burden.
 
Hivi huyu waziri wa Nishati ana ufahamu gani na wizara yake? Au yuko kundi lipi la utawala huu? Naona kama analegezewa wakati TANESCO wanaelekekea kuizamishanzhi kwenye majaribio. Hawajifunzi kipi ni kizuri ila wanaiga wanayosikia kwa majirani na huko ulaya.
Unajua tumefikia hatua ya kuiga hata wizi! Hata mishahara ya wizi ya wabunge tuliiga kwa majirani. Sitta akisema wenzetu wanalipwaje?
TANESCO imejaa wizi enzi na enzi. Hao akina Mhando waliotiwa kibano na mkewe na baadaye kuachiwa eti wameshinda. Waziri huyu namtilia mashaka ya uelewa wake ingawa anaonekana kudeka na jina la Chato.
 
We jamaa ni bwege sana! Nchi gani inayotegemea solar kama backup ya kuaminika dunia hii? Hao wanaokuletea ujinga huu wa energy wana nuclear hadi kusaza! Halafu wanaanza kukuhoga vipande vya solar wanavyofanyia utafiti wewe unakuja kutukana JF ukiamini uko sahihi!
Huelewi hata unachoandika, kwa ujinga ulio nao Mwenyezi Mungu kutukirimia sisi huku jua kwa miezi 9 linaloweza kutumika kama nishati tofauti na mabara mengine alikuwa bwege..think! kila kitu alichoweka Mola kina maana yake kwa mahali husika, kuna kundi kubwa la watanzania wenye umri fulani wana kasoro ya reasoning, anapita kote huko pengine hadi Phd level lakini hajafuta ujinga wewe ni mmoja wao.
 
Kweli unasema ni reliable energy? Nchi gani inategemea hizi reliable energy zako? foool!
Wewe umeponzwa na matangazo ya biashara ya hao wazalishaji wa solar pannel. Ukitaka kuelewa ubovu wa ufahamu wako, jiulize ilikuwaje Ujerumani ya Angela Merkel iliachana na mpango huo tangu aiingie madarakani kwa ahadi ya kuachana na nuclear.
Wewe unataka iwe nchi gani ndio ukubali ni reliable energy, ujerumani ndio kipimo chako..uko ok kichwani wewe? Tanzania au Afrika na Ujerumani wanalingana, kiuchumi, viwanda, mazingira na maendeleo kwa ujumla, njia waliyopitia ujerumani kufika hapo iliwachukua muda gani, afrika je wako hatua gani, ni lazima kila wanachokiacha ujerumani kukitumia basi hakifai, jua tunalolipata africa miezi 9 na ujerumani ni hivyo...akili ya kukopi kopi tu na kufananisha hata visivyoweza fananishwa..akili ya kifaranga cha kuku kabisa.
 
Gharama za kuendesha hydroelectric power ni ndogo mno. Gharama za kuendesha mitambo ya gesi inaeleweka kiasi. Sasa hizi wind turbine zina complication kubwa pamoja na kuhitaji maintenance mara kwa mara. Hiyo solar energy haiko reliable sana wala haitoi nishati ya kutosha.
Hakuna haja ya kukimbilia uko kwa sasa.
Haya maeneo ya solar energy na wind turbine. Nayajua vizuri sana .Wala wasijaribu hatuna uwezo huo gharama ni kubwa
 
Back
Top Bottom