Kama hujui sema ufundishwe ulekezwe ndugu!!!..unajua umeme watts 1000 ni panel ngapi za solar za Germany!!!..unajua watts 1000 unaweza kufanya vitu gani au wewe unaishi kwenu na umekariri!!!..Cost-base ya solar nchi hii tunaijua kama umetumia chini ya milioni tano hayo ni mahitaji ya chumba na sebule. Hakuna haja ya kujidai kulinganisha energy mbalimbali kwa matumizi kama hayo.
Nifanya gharama haijafika 5 millions nawasha fridge,Tv, taa zote masaa 24, computer na vitu vengine vingi!!!..Kwa level ya familia sawa ila Tanesco wanafanya kwa level ya taifa
Hata huo umeme wako uliotumia kwa miaka 6 uliwahi kuangalia gharama ulizotumia kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unajadili mambo yako ya nyumbani wakati sisi tunajadili Tanesco. Kila mtu analazimisha asimulie ya nyumbani kwake. Nawe unakuja na 1000 W! Ndo nini hicho? Tunajadili jambo la kitaifa kiuchumi, siyo fridge na pasi ya umeme ya nyumbani kwako.Wewe ndio
Kama hujui sema ufundishwe ulekezwe ndugu!!!..unajua umeme watts 1000 ni panel ngapi za solar za Germany!!!..unajua watts 1000 unaweza kufanya vitu gani au wewe unaishi kwenu na umekariri!!!..
Nimeona majadiliano haya yanavyoendelea. Kikubwa ni ignorance kwa watu wengi juu ya hicho kinachoitwa Solar energy na suala la mazingira. Nikianza na huyu; yeye anaamini kuzungumzia mipango ya tanesco ya 2050 ni kuwa selfish. Anaweka na kingereza ka kimarekani kidogo ili aonekane najitambua. Naye yuko kundi la elimu mbaya tu. Hizo unazoita house gas ni kitu gani?Mzee unaongea very selfishly
Unajiangalia wewe mpaka utakapokufa
Huangalia miaka 1,000 from now utaiacha dunia katika uharibifu kiasi gani
Wewe unaona,nipo hapa,jenga umeme mwingi kwa fossils kadiri ninavyoweza then haya ma CO2 na house gasses yajae yaharibu dunia mimi nitakua nishakufa watajiju hao watakao kuwepo!
Bro,kwa selfishness kubwa kiasi hiki aisee hatuwezi fika!
Solar au wind au geothermal or whatever renewable energy source is,sio lazima upate wewe faida leo,weka punguza house gas emission kwa faida ya vitoto vyenu miaka 200 from now!
Nigga stop this nonsense!
Huweki kwa ajili yako leo wewe mamalia mwenzangu!
Stop this monkey see monkey do!
Ongezea na kuchaji simu. All in all, hiyo ni mipango yako. Tanesco ni mipango ya taifa, uchumi wa taifa na maendeleo ya taifa. Hawawezi kupanga kwa kuhesabu fridge, Tv na computer yako.Nili
Nifanya gharama haijafika 5 millions nawasha fridge,Tv, taa zote masaa 24, computer na vitu vengine vingi!!!..
Mkuu unatoka shimo gani la giza , tena gizo totoro la ufahamu.Wengi tukisikia solar energy tunajawa na hisia kwamba ni jambo la maana sana! Ni umeme mzuri kwa mwanakijiji anayetaka mwanga wa kufukuza wanayama watembeao gizani tu! Kwani nchi zetu hizi maskini hatuhitaji miradi mikubwa kiasi hicho kinacholengwa na TAnesco.
Ni uharibifu wa pesa kwa kujidai kuingia kwenye renewable energy. Ni biashara ya makampuni ya kigeni kujipenyeza ndani ya TANESCO, nao wanaandika eti by 2050 Tanzania itatumia renewable energy, wakimaanisha wind na solar. Huu naweza kuita ni upuuzi.
Solar na wind bado ni luxarious energy sources ambazo tunawaachia nchi zilizoendelea kufanya majaribio. Ni aibu kwa shirika kama Tanesco kujiingiza kwenye miradi ya gharama kubwa kiasi hicho. Maneno kama renewable energy na alternative energy ni kujiridhisha tu na kuwazubaisha wanasiasa na kunufaisha makampuni ya nje ambayo yanatuuzia hizo pannels.
Katika East Africa walianza Uganda. Kwa mikogo wakatangaza kuwa na solar farm, ukweli ni kwamba hilo ni shimo la fedha. Wangeweza kupata umeme mwingi kutoka Nile kuliko hizo pannels. Sasa wameingia Tanesco nao kwa mikogo wanatangaza tender ya kufunga mitambo ya solar. Spain Andalusia inajigamba kuwa na solar farm ya kisasa kabisa na technolojia za kisasa lakini bado ni umwamba tu, wana umeme mwingi kwa njia za nuklia na mafuta.
Je, kwa nini Tanesco inajiingiza kwenye solar? Jibu ni rahisi: Kwanza hawaijui kiuhakika kiasi hicho zaidi ya kusimuliwa na makampuni yanayouza pannel na kutoa mifano ya nchi jirani na ulaya ambako hakuna nchi hata moja ilnayotegemea solar. Mfano mzuri ni ujerumani ambako Angela Merkel aliahidi kuondoa mitambo yote ya nuklia ili kuweka renewable kama hizi wanazokimbilia Tanesco. Tangu 2005 hadi leo hajafika kokote! Kumbuka huyu ni mfizikia, syansi anaijua sana. UK wao waliongeza nuklia na ikajengwa na kampuni ya China. Hivi karuibuni Afrika kusini imejenga nuklia mpya na ni mitambo itakayokuwa mikubwa kuliko yote duniani.
Pili Tanesco kuna tamaa ya kupewa kitu kidogo na makampuni ya nje ili kubeba techolojia ya aina hii ambayo kwa tender kama hiyo, lazima itajengwa na makampuni ya nje.
Bila kujali 2050 nani atakuwa hai, Munachokifanya ni wizi mtupu na hasara kwa kizazi kijacho. Kama muma ubavu jengeni mitambo ya nuklia.
Very true.......Wakati mwingine ni uungwana kukubali kuwa wewe ni mjinga na pengine mpumbavu inapotokea kitu unachofahamu kuhusu jambo fulani ni matokeo ya ujinga ulio nao..suala la nishati kwa maisha ya binadamu wa leo ni nyeti sana, hasa kwa vile aina nyingi za nishati zina madhara ya kimazingira kupelekea kuathiri uhai wa viumbe hai akiwemo binadamu na hivyo nishati yoyote ambayo inaleta madhara iwe ni ya muda mfupi au mrefu ni vyema kutathimini vizuri namna ya kuitumia, mengine yanayohusiana na vyanzo vya nishati ni pamoja na kujua kama nishati hiyo ni endelevu, gharama zake nk. Ukiorodhesha aina zote za vyanzovya nishati vilivyopo..jua, upepo, maji, mafuta, madini (gesi , uranium,coal nk), joto ardhi na vingine jibu unalopata kuhusu nishati gani inakidhi changamoto za kimazingira na uendelevu jibu ni jua, upepo pengine na joto ardhi..gharama haiwezi kuwa kigezo cha kudrive maamuzi unapochagua aina ya nishati.
Baada ya kufahamu hayo kinachotokea kwenye maisha yetu tunapochagua aina ya nishati tulizo nazo ni kuwa na mchanganyiko wa kutumia nishati zote...ili hata kama nchi yetu inayo nishati fulani kwa wingi, let say maji..ni muhimu pia kutumia nishati ya jua na upepo japo kwa asilimia kidogo ili kuwa na mbadala wa nishati inayotokana na maji ili kuchangia kupunguza athari za kimazingira na kuwa na uendelevu, kama nishati moja ikipata changamoto, maji yana matumizi mengi, lakinimaji yanategemea mvua, mvua zinaweza kupungua na hivyo maji kupungua pia, kama huna chanzo kingine utaathirika sana...ni muhimu na lazima kuwa na MIX ya vyanzo vyote...na hicho ndicho wanafanya TANESCO!!
Kwanza wamechelewa sana, ilitakiwa tuwe na megawat zaidi ya 300 zinazotokana na jua na upepo kwenye gridi yetu, hizi sio luxurious energy..ni reliable energy!
Kweli mkuu! Hii haina utofauti na yazima moto.Hii ndo nimesema dk chache zilizopita! Lini nchi isiyo na umeme, third world ikategemea solar na wind? Wahuni tu hawa. hili ni kama la watu wa fire na drones za kuzimia moto!
Wakati wa Muhongo tulielezwa mipango ya nuklia, wameiacha sasa wako Solar?
Mradi wa Mwakyembe na wind za Singida uko wapi vile!
Tanesco acheni usanii!
Nimeona majadiliano haya yanavyoendelea. Kikubwa ni ignorance kwa watu wengi juu ya hicho kinachoitwa Solar energy na suala la mazingira. Nikianza na huyu; yeye anaamini kuzungumzia mipango ya tanesco ya 2050 ni kuwa selfish. Anaweka na kingereza ka kimarekani kidogo ili aonekane najitambua. Naye yuko kundi la elimu mbaya tu. Hizo unazoita house gas ni kitu gani?
Kimataifa third world hailazimishwi kutimiza matakwa ya emission kwa sababu za kiuchumi. Hatuna uchumi unaoweza kuyatimiza na tukijilazimisha kuyatimiza hatutafika kokote. Wanaolazimika ni walioendelea kwa sababu zinazoeleweka ingawa wao pia zinawapa taabu sana! sasa wewe unawashabikia Tanesco kujiingiza huko kwa sababu ambazo umesamehewa! huko ni kuturudisha nyuma bila sababu. Waambie wahangaike na hydro. Achana na bhla! bhla! Mambo ya mazingira siyo uelewa wako.
Ulaya na US imetuacha nyuma kwa karne mbili! Pamoja na hayo, hakuna nchi inayotumia umeme wa solar au wind hata kwa robo ya mahitaji yake. Kwa nini wewe ujikweze kwa kisingizio cha mazingira?
Mmmmh! Angalia meseji yako ya mwanzo angalia tena hicho ulichoandika. kama dunia hii in mtu anayefahamu Green houses gases, fahamu huyo yuko kundi tofauti. Hiki ni nini? Nonsense! Bado unashiriki mjadala unaohitaji ufahamu!Nikipofika kwenye eti hujui green houses gases nikajua naongea na chizi
Good riddance!
Kama kitu hujui na unatumia mtandao, umeshindwa kuingia google au yahoo ukapata tofauti ya unachokijua na kilichoandikwa? Solar firm ni nini sasa? Siyo kila kitu uchangie, mengine waachie wenyewe.Mleta mada sio solar farm nadhani hyo pronunciation ulivosikia ukafikiri ni farm, hyo inataandikwa solar firm nadhani hili swala hulijui vizuri usipotoshe
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiandike kama uko sayari tofauti boss. Simply, niambie uliweka betri za aina gani ambazo zimekupa service kwa miaka 15? Taja jina la betri, tuanzie hapo. Kumbuka life span ya solar pannel haizidi miaka 20 pia.Nina uzoefu wa kutumia sola power Dar tangu 2005. Nilifunga ya kutosha kutumia taa za nje na za ndani, fridge, mafeni na tv. Mchana natumia pump ya maji (borehole ya mita 65) kumwagilia bustani. Mashine ya kufua na pressure pump pia. Na kufunga na kufungua gate.
Sijapata maintenance cost yoyote kwa miaka 15 hadi sasa, na hakuna dalili ya kupata maintenance costs. Kwa kawaida mchana natumia sola na usiku Tanesco, ila kukiwa na shida ya umeme wa Tanesco natumia sola usiku pia. Yaani sikatikiwi umeme.
I recovered my investment long ago.
Sola ni mwarobaini wa umeme, hasa sehemu ambazo haziko kwenye grid. Hata kwenye grid, ni vema kuwa na angalau backup ya solar. It's reliable, reasonanly priced and maintenance free. Kwenye Parokia yangu lazima nishauri tuweke sola kama backup, na sio generator la diesel, kelele na moshi.
Hii ni sahihi! Hii ni Clean development Mechanism na Carbon trading. Kwa maana nyingine anayeweka pannel anategemea kupata pesa kutoka kwa yule anayechafua, kwa kuuza carbon equivalence. Sasa hapa JF sijui wapo wangapi wanaoweza kuelewa hilo. Angalia mifano wanayotoa ya kuwasha taa na pump za maji. Ni watu wanajadili maisha ya kwenye nyumba zao badala ya taifa.Mashirika ya umma Tanzania ndio kwenye vichaka vya ufisadi wa hali ya juu kwa ivyo si ajabu hawa watu kuja ni miradi ya ovyo ovyo.
Gharama za kuwekeza kwenye renewable energy sio ndogo kabisa, return inachukua muda.
Asilimia kubwa ya makampuni yanayofanya ivyo nchi za ulaya yanapata government incentives au yanachangiwa na makampuni yanayozalisha CO2 and other toxic gases in large quantities kama vile oil refiniries, viwanda vya vyuma, uzalishaji wa makaratasi etc with polluting industries.
Ivyo kupitia environmental policies zao ndani ya EU kuna limit za kuchafua au ukitaka kuendelea na uzalishaji inabidi uwekeze kwenye greener energy kama part ya carbon trade off au ulipe fine ukizidisha allowed emissions na ndio hizo hela serikari inazotumia kuwekeza kwenye greener policies zao.
Hizo farm zenyewe hili ziwe meaningful kuzalisha umeme labda tuseme sawa na ‘kinyerezi I’ si ajabu ukakuta unahitaji more than 100 acres za ardhi sasa hiyo ardhi ya kuchezea utaitoa wapi in the long run.
Kwa Tanzania kuwekeza kwenye renewable energy sio shida kwa sasa kwa hali ya uchumi wa Tanzania na average pato la kila mtu. Hila kama tuna imani ipo siku asilimia kubwa ya nyumba za Tanzania zitakuwa na airconditions, jiko la umeme au gas, washing machine, friji, TV, pasi ya umeme etc kama nyumba za wazungu. Kutakuwa na network ya train ya umeme nchi nzima, viwanda vitakuwa vinaajiri labda 60% ya watanzania, etc with development and the rise of energy demand ni upuuzi kujiingiza kwenye renewable energy kwa sasa.
Chances are kwa sasa kuna kampuni huko EU inataka kufanya trade off wao waendelee kuchafua kwao under EU rules ukiwekeza third world kwenye renewable energy inahesabika kama sehemu ya Carbon Trade off, ni upuuzi kama huu na tamaa ya hongo ndio utakuwa nyuma ya pazia otherwise hakuna mzungu atakuja kuwekeza Tanzania kwenye renewable kibiashara the return takes too long, kama ni biashara angetaka gesi maana tunayo ya kutosha and has more quick return.
Mkuu JF kama ni muelewa wa masuala fulani siku zote angalia line of reasoning za mtu if you want to get a meaningful debate.Hii ni sahihi! Hii ni Clean development Mechanism na Carbon trading. Kwa maana nyingine anayeweka pannel anategemea kupata pesa kutoka kwa yule anayechafua, kwa kuuza carbon equivalence. Sasa hapa JF sijui wapo wangapi wanaoweza kuelewa hilo. Angalia mifano wanayotoa ya kuwasha taa na pump za maji. Ni watu wanajadili maisha ya kwenye nyumba zao badala ya taifa.