Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mkuu thanks,Mleta mada yuko sahihi...
Umeme wa solar ni wizi najibu maswali yako
1. Solar Energy vs Hydro electrict
Solar Energy works on principle of Electrons emission by photos... Hii ni process ambayo photons(Light particle zikigonga metallic surface zinasababisha electrons to move)
Sasa zile solar pannels unaziona 98% kama sio zote zimeundwa kwa Silion katika (Layer 3) ya juu ni N-TYPE na ya chini ni P-TYPE ili uweze kuzifanya electrons zitoke kwenye N-Type kwenda P-Type unahitaji only (Visible Spectrum of specific wavelength 300nm hadi 11Knm) na hii ndio challenge ya kwanza kwenye solar energy inaanzia inaitwa Effeciency... Solar cells zote zina effeciency(Uwezo wa solar cells kubadili mwanga wa jua kuwa umeme) currently maximum ni aroung 20% efficiency (in other words 80% ya mwanga wa jua hupotea bure kabisa)
Kuhusu efficiency inategemea na aina ya material iliyotengeza most efficient material ni Mono Crystalline na gharama zake kuziunda ni ghali nakuhakikishia utapita kariakoo nzima usikute solar panel ya hivi, aina ya pili na common ni poly crystalline hii efficiency yake ni around 10% na ya mwisho ni less effecient ni thin-film hizi mtu wa kawaida kabisa anaweza kuuziwa.
Kwa upande wa Hydro electric yenyewe ni AC nina hakika humu ndani ukiomba mtu akusukie generator ya mafuta inayoweza kuzalisha volt 250 hadi 400 from scratch utapata hata watu 10
2. Moja inakaza gharama
Ila ulichoelezea ni mechanism ya generation ya power pekee kwa solar.
Sasa tunachohitaji hapa ni breakdown ya gharama kwa unit moja inayotokana na Solar na ile inayotokana na umeme wa maji/oil/gas ili basi sisi vilaza wa maswala hayo ya umeme tuseme kweli mradi wa solar ni gharama kuliko wa maji ama vinginevyo.