TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

Mleta mada yuko sahihi...

Umeme wa solar ni wizi najibu maswali yako
1. Solar Energy vs Hydro electrict

Solar Energy works on principle of Electrons emission by photos... Hii ni process ambayo photons(Light particle zikigonga metallic surface zinasababisha electrons to move)

Sasa zile solar pannels unaziona 98% kama sio zote zimeundwa kwa Silion katika (Layer 3) ya juu ni N-TYPE na ya chini ni P-TYPE ili uweze kuzifanya electrons zitoke kwenye N-Type kwenda P-Type unahitaji only (Visible Spectrum of specific wavelength 300nm hadi 11Knm) na hii ndio challenge ya kwanza kwenye solar energy inaanzia inaitwa Effeciency... Solar cells zote zina effeciency(Uwezo wa solar cells kubadili mwanga wa jua kuwa umeme) currently maximum ni aroung 20% efficiency (in other words 80% ya mwanga wa jua hupotea bure kabisa)

Kuhusu efficiency inategemea na aina ya material iliyotengeza most efficient material ni Mono Crystalline na gharama zake kuziunda ni ghali nakuhakikishia utapita kariakoo nzima usikute solar panel ya hivi, aina ya pili na common ni poly crystalline hii efficiency yake ni around 10% na ya mwisho ni less effecient ni thin-film hizi mtu wa kawaida kabisa anaweza kuuziwa.

Kwa upande wa Hydro electric yenyewe ni AC nina hakika humu ndani ukiomba mtu akusukie generator ya mafuta inayoweza kuzalisha volt 250 hadi 400 from scratch utapata hata watu 10

2. Moja inakaza gharama
Mkuu thanks,

Ila ulichoelezea ni mechanism ya generation ya power pekee kwa solar.

Sasa tunachohitaji hapa ni breakdown ya gharama kwa unit moja inayotokana na Solar na ile inayotokana na umeme wa maji/oil/gas ili basi sisi vilaza wa maswala hayo ya umeme tuseme kweli mradi wa solar ni gharama kuliko wa maji ama vinginevyo.
 
Mkuu thanks,

Ila ulichoelezea ni mechanism ya generation ya power pekee kwa solar.

Sasa tunachohitaji hapa ni breakdown ya gharama kwa unit moja inayotokana na Solar na ile inayotokana na umeme wa maji/oil/gas ili basi sisi vilaza wa maswala hayo ya umeme tuseme kweli mradi wa solar ni gharama kuliko wa maji ama vinginevyo.
Hawezi.
Huyu nadhani bado ni mwanafunzi mahala fulani.

Hata kama bado ni mwanafunzi, inashangaza yeye kutojua kwamba kuna kampuni tayari zinazalisha umeme wa solar na kuuingiza kwenye 'grid' na kusambazwa kwa watumiaji!
 
Kwa nini gesi haijawa mwarobaini wa mahitaji ya umeme kama tulivyoaminishwa
 
Mkuu thanks,

Ila ulichoelezea ni mechanism ya generation ya power pekee kwa solar.

Sasa tunachohitaji hapa ni breakdown ya gharama kwa unit moja inayotokana na Solar na ile inayotokana na umeme wa maji/oil/gas ili basi sisi vilaza wa maswala hayo ya umeme tuseme kweli mradi wa solar ni gharama kuliko wa maji ama vinginevyo.
Ndugu yangu solar cells ni semiconductors material they shall be costly kuliko Electrical machines
 
Haihitaji kuwa mtaalam wa umeme kujua haya unayojigamba nayo hapa mkuu.

Tatizo la watu wa Tanzania ni kwamba, ukiwa na ujuaji kiduchu juu ya jambo fulani, hapo unajiona wewe umemaliza kila kitu katika eneo hilo, huku hata kueleza unachojua watu wakielewe huwezi. Sasa huko ni kujua kweli?

Unaponiwekea mfano wa "charger ya simu na battery" kuonyesha kuwa unajua tofauti ya umeme unaozalishwa kwa jua na 'thermal' inaonyesha kwamba hujui kitu chochote katika maswala haya.
Tena wewe unadhani kuwa tu DC au AC ndio inayotofautisha sana njia hizi mbili za kufua umeme na gharama yake, hapo inakufanya kuwa na elimu ya kuungaunga katika eneo hilo.

Mimi sina utaalamu katika mambo ya umeme, lakini elimu ya sekondary katika physics iliniwezesha kabisa kujua tofauti ya DC na AC na kwamba kugeuza DC kuwa AC sio swala la gharama kubwa kiasi cha kutaka watu waamini kuwa umeme unaozalishwa kutokana na mafuta ni bei nafuu kuliko ule wa Solar.

Kama kweli unayo elimu katika eneo hili, basi utakuwa na tatizo kubwa la kueleza unachokijua watu wakuelewe. Utaalam wa aina hii ndio unaoliangamiza taifa hili.
Najigamba kwa sababu nafahamu vyema zaidi ninachozungumza..

Tafuta watu kumi wanaotumia solar energy uwaulize kuhusu gharma yake
 
Najigamba kwa sababu nafahamu vyema zaidi ninachozungumza..

Tafuta watu kumi wanaotumia solar energy uwaulize kuhusu gharma yake
Kutokana na unayoandika hapa, sioni huo "ufahamu vyema" unaojinadi nao.

Kwa mfano hilo unaloandika hapa la "tafuta watu kumi wanaotumia solar energy", kwani hujui kwamba matumizi ya "photovoltaic panels" kwa matumizi ya nyumbani ni tofauti na kuzalisha umeme wa kuingiza kwenye gridi?

Huko nyuma ulishatoa mfano wa China, na kuna mataifa mbalimbali yanayozalisha umeme kwa ajili ya usambazaji, unadhani hawa hawajui gharama hizo?

Nikakuomba utupe mchanganuo wa gharama kati ya "thermal na solar", lakini ukapiga chenga! Sasa unataka tuseme ujuaji wako upo sehemu gani?
 
Kama kawaida ya waTanzania, unazungukazunguka tu huelezi kitu kikaeleweka vizuri na wasomaji. Sababu kuu ni kwamba hujui chochote juu ya teknolojia hiyo.

Unachanganya mambo ambayo yote huyajui. Unaufahamu wowote kuhusu umeme unaotokana na nuklia? Unachanganya makubaliano ya kimikataba kati ya Tanesco na makampuni na kuviweka fungu moja na teknolojia za kufua umeme..., jambo linaloonyesha wazi hakuna unachojua kuhusu mada uliyowasilisha hapa.

Duniani kote hakuna nchi inayotegemea njia moja pekee ya kufua umeme. Solar, upepo, nuklia, maji, makaa ya mawe, n.k., zote ni njia zinazotumika kufua umeme, na mara nyingi hutumiwa kwa mchanganyo ili kutotegemea njia moja tu.

Kama Tanesco wanaingia mikataba mibovu na makampuni yanayozalisha umeme kwa kutumia jua, hiyo haina maana kwamba njia hiyo ya solar haiwezi kutegemewa kuzalisha umeme nafuu kuliko njia zingine.

Mada yako haielezi chochote mbali ya kuchanganya mambo na kukufanya uonekane huna ufahamu wowote juu ya mambo uliyoandika juu yake.
Stupid abstract! Nuklia, duniani kote, bhla! bhla!
Umeingia mtego huo huo kwamba hakuna hata ulichoeleza zaidi ya kutukana. Unaamini huyu mtu hajui chochote? Wewe unajua nini? Tueleze ili tujue unajua chochote. Unawezaje kutumia neno duniani kote bila ushahidi. Rwanda, Burundi Congo, umewatembelea? Katika njia mbalimbali unazotaja solar imo? Nchi gani inayotumaini solar iwe ni njia muhimu, mbadala ya umeme? Shiiit!
 
Stupid abstract! Nuklia, duniani kote, bhla! bhla!
Umeingia mtego huo huo kwamba hakuna hata ulichoeleza zaidi ya kutukana. Unaamini huyu mtu hajui chochote? Wewe unajua nini? Tueleze ili tujue unajua chochote. Unawezaje kutumia neno duniani kote bila ushahidi. Rwanda, Burundi Congo, umewatembelea? Katika njia mbalimbali unazotaja solar imo? Nchi gani inayotumaini solar iwe ni njia muhimu, mbadala ya umeme? Shiiit!
Wewe ni mpuuzi mmoja tu aliyelewa bangi. Sina muda na wapuuzi kama wewe. Go f*c* yourself.

The last part of your diatribe merits a sensible response.

Unauliza, ni "nchi gani inayotumia solar iwe ni njia muhimu, mbadala ya umeme"? Ondoa ulevi wako, halafu unionyeshe katika maandishi niliyoweka humu nilipoandika maneno kama hayo uliyotumia wewe au yenye maana inayofanana na maana ya maneno yako. Ni wapi nilipoandika solar iwe mbadala? "Muhimu", ndio; kwa sababu inaweza kuchukua nafasi ya 'thermal'.
Na kama sehemu ya "energy source mix", 'of course. Sijaandika popote kuonyesha kwamba itakuwa 'mbadala'. Kwa hiyo achana na ulevi wa bangi unapochangia humu ndani.
Nimekujibu kiungwana kwa sababu ni mara ya kwanza kukutana na mpumbavu kama wewe. Hutapata 'privilege' kama hiyo tena hoodlum!
 
Stupid abstract! Nuklia, duniani kote, bhla! bhla!
Umeingia mtego huo huo kwamba hakuna hata ulichoeleza zaidi ya kutukana. Unaamini huyu mtu hajui chochote? Wewe unajua nini? Tueleze ili tujue unajua chochote. Unawezaje kutumia neno duniani kote bila ushahidi. Rwanda, Burundi Congo, umewatembelea? Katika njia mbalimbali unazotaja solar imo? Nchi gani inayotumaini solar iwe ni njia muhimu, mbadala ya umeme? Shiiit!
Niliamua kuacha kujadili hii mada baad ya kuona shida ya watu kuelewa vitu vidogo...

Mfano inawezekana kutoa Nishati kutoka kwenye maji (kwa kutenganisha Hydrogen na Oksijeni) mtu wa kawaida ukimwambia maji ni Rahisi anaweza kuona hii Njia ni cheap kuliko kununua mafuta, kumbe process ya kuipata hiyo Hydrogen na kuifanya kuwa nishati ni ghali kuliko hata kununua mafuta...

Kuna wazee wetu waliwahi kuwekeza fedha kadhaa kwenye umeme wa solar kwa matumizi ya Nyumbani baada ya mwaka wakajuta
 
Hakuna safe and clean Energy kuliko Nuclear fusion. changamoto ni kutengeneza Reactors zake...so ukitaka cheap and reliable energy ni Maji, mafuta na gesi
Mkuu, kuna kitu hakiko sawa katika uamini wako. Unapoweka "mafuta" katika orodha hiyo, inastia shaka una maanisha kitu gani. Umeme wa mafuta ni wa aghali sana kuliko njia nyingine yoyote kwa sasa. Huwezi kamwe kuiweka njia hiyo katika orodha ya 'cheap'.

Na hili la "nuclear fusion", nadhani una maana ya "nuclear fission". Nimeona ukirudiarudia kosa hilo.
 
Mkuu, kuna kitu hakiko sawa katika uamini wako. Unapoweka "mafuta" katika orodha hiyo, inastia shaka una maanisha kitu gani. Umeme wa mafuta ni wa aghali sana kuliko njia nyingine yoyote kwa sasa. Huwezi kamwe kuiweka njia hiyo katika orodha ya 'cheap'.

Na hili la "nuclear fusion", nadhani una maana ya "nuclear fission". Nimeona ukirudiarudia kosa hilo.

Kuna aina mbili za kugenerate Energy from Nuclear process
1. Nuclear fission
2. Nuclear Fusion

Nuclear fusion​

Yenyewe unaunganisha two atomic nuclei, mfano ni namna nyota zinazalisha energy yake

Nuclear Fission
Unavunja radioactive material kama Uranium
 
Kuna wazee wetu waliwahi kuwekeza fedha kadhaa kwenye umeme wa solar kwa matumizi ya Nyumbani baada ya mwaka wakajuta
Huu "umeme wa nyumbani" mkuu wangu 'Intelligent Electronics', ndio unaochanganya unayoyaweka hapa. Huu ni umeme unaotokana na hivi vi-'solar' panels watu wanavyoweka kwenye mapaa ya nyumba zao na kuchaji simu na kuwashia balbu.
Kuna umeme wa solar unaozalishwa maksudi kwa kuingizwa kwenye gridi, kuunganishwa na ule unaozalishwa na njia nyingine mbalimbali za kuzalisha umeme. Bila shaka huu ndio uliokuwa unauandika juu yake ulipokuwa ukiwataja waChina kuwa nchi ya pili duniani. Kuna tofauti kubwa kati ya solar hizi mbili.

Hapa ndipo unapotakiwa kuweka focus ya mawazo yako katika kutofautisha njia hizo. Bila shaka, Tanesco hawana nia kabisa ya kutumia 'Photovoltaic panels' katika kuzalisha umeme wao wa gridi. Uganda wanazalisha umeme wa gridi kwa solar, hata Kenya wanao kiasi kidogo, mbali kabisa na huo wa 'solar panels' zinazotumika majumbani mwa watu binafsi. Umeme wa mafuta kamwe hauwezi kuwa nafuu zaidi ya umeme wa solar, per unit.
 
Kuna aina mbili za kugenerate Energy from Nuclear process
1. Nuclear fission
2. Nuclear Fusion

Nuclear fusion​

Yenyewe unaunganisha two atomic nuclei, mfano ni namna nyota zinazalisha energy yake

Nuclear Fission
Unavunja radioactive material kama Uranium
Hii ni sawa, lakini sijui reactor yoyote kwa hivi sasa inayotumia "nuclear fussion" Kama ipo, basi sina taarifa nayo. Ni nchi gani inatumia hii njia?
 
Kuna wazee wetu waliwahi kuwekeza fedha kadhaa kwenye umeme wa solar kwa matumizi ya Nyumbani baada ya mwaka
Kuhusu suala la wazee wetu hao, tunahitaji kujua nini kilitokea toka:
1. ununuzi wa vifaa hivyo ( kuna vifaa fake, mfano unakuta battries robo tatu ya cells zake vipande vya 'sabuni' ama solar panels nusu nzima ya cells ni karatasi silizomwagiwa wino wa 'givii'),

2.usimikaji wa mtambo huo wa solar ( kunawafungaji hawafuati masharti ya ufungaji, mfano juzi kuna mwenzetu hapa alikuwa na tatizo la ufungaji tukaelezena), na

3.uendeshaji/matumizi ya mtambo ( kama una weka load ya 6000 Wh/day wakati uwezo wa mtambo ni kubeba 3500 Wh/day lazima mtambo ufe tu na hasa kama Charge controller ama inverter ya mtambo hawezi kudetect over discharge sawsawa). Yaani, kuna mtindo wa watumiaji wanaambiwa kuwa mtambo, mfano unaweza kuchaji simu 50 kwa siku...yeye kwasababu wataje ni wengi anafunga chargers 150! Mwisho wa siku ni kuharibu betteries za simu za watu na mtambomwake mwenyewe!

Namba moja na mbili hapo juu, ili kuepuka matatizo hayo, watafute Tanzania Renewable Energy Association (TAREA) watakupatia dealers wa vifaa sahihi/ orijino vya solar orijino. Pia TAREA watakupatia technicians waliobobea kwenye kufunga mitambo ya solar Tanzania nzima. TAREA wana website ambayo ina page yenye directory ya dealers, engineers, technicians wanaohusika na masuala ya solar na teknolojia nyingine za nishati jadidifu

====
Kwa maelezo hayo hapo juu, ni kuhujumu kampeini sahihi na halali za kuhimiza matumizi ya nishati itokanayo na jua kwa kuleta habari za mapungufu ya mitambo ya kuzalisha nishati itokanayo na jua bila ushahidi usiotiliwa shaka!
 
h2020-wp1820-cc-activities_en.pdf

EU Green Deal opportunity.

Business opportunities for Energy companies / Energy Engineers

Wasiliana kupitia Inbox yangu, Commercial Adviser, Turboden/ EC Energy.
 
Wewe ni mpuuzi mmoja tu aliyelewa bangi. Sina muda na wapuuzi kama wewe. Go f*c* yourself.

The last part of your diatribe merits a sensible response.

Unauliza, ni "nchi gani inayotumia solar iwe ni njia muhimu, mbadala ya umeme"? Ondoa ulevi wako, halafu unionyeshe katika maandishi niliyoweka humu nilipoandika maneno kama hayo uliyotumia wewe au yenye maana inayofanana na maana ya maneno yako. Ni wapi nilipoandika solar iwe mbadala? "Muhimu", ndio; kwa sababu inaweza kuchukua nafasi ya 'thermal'.
Na kama sehemu ya "energy source mix", 'of course. Sijaandika popote kuonyesha kwamba itakuwa 'mbadala'. Kwa hiyo achana na ulevi wa bangi unapochangia humu ndani.
Nimekujibu kiungwana kwa sababu ni mara ya kwanza kukutana na mpumbavu kama wewe. Hutapata 'privilege' kama hiyo tena hoodlum!
Wewe ni ka-mtu kazembe tu! Hakuna mradi wa solar unaosifika kuwa cheap energy source, haupo!! Miradi mingi ya solar inakosa sifa hizo na wale wanaoifagilia wanataja sana mambo ya carbon saving, which is totally stupidity for a country like Tanzania kuamini faida ya mradi iwe ni carbon saving wakati tunaelewa leeway tuliyonayo kwenye mambo ya carbon.

Kuna sehemu unasifia Uganda na Kenya, nicampoop! Ukitaka kujua akili haikutendei mema, Linganisha gharama za Bujagali hdro power na solar farm ya kabulasoke au Soroti solar project. Nahisi unajiandikia kwa kusikia tu.
Eti hata Tanesco na wewe mwenyewe unakuja na mifano ya Uganda na Kenya na bhlabhla! eti ni cheap energy. Fallacy! Kuna wakati naamini munaenda shule kukariri vitabu tu! Afrika ikiendelea kuwa na watu wa aina yako serikalini tutafanyiwa majaribio hadi kiama.
 
Wewe ni ka-mtu kazembe tu! Hakuna mradi wa solar unaosifika kuwa cheap energy source, haupo!! Miradi mingi ya solar inakosa sifa hizo na wale wanaoifagilia wanataja sana mambo ya carbon saving, which is totally stupidity for a country like Tanzania kuamini faida ya mradi iwe ni carbon saving wakati tunaelewa leeway tuliyonayo kwenye mambo ya carbon.

Kuna sehemu unasifia Uganda na Kenya, nicampoop! Ukitaka kujua akili haikutendei mema, Linganisha gharama za Bujagali hdro power na solar farm ya kabulasoke au Soroti solar project. Nahisi unajiandikia kwa kusikia tu.
Eti hata Tanesco na wewe mwenyewe unakuja na mifano ya Uganda na Kenya na bhlabhla! eti ni cheap energy. Fallacy! Kuna wakati naamini munaenda shule kukariri vitabu tu! Afrika ikiendelea kuwa na watu wa aina yako serikalini tutafanyiwa majaribio hadi kiama.
Achana na hao watu ukisikia mtu anasema solar ni cheap kuliko Hydropower achana nae mara moja... either haelewi kabisa anachosema au anahadithiwa zile story jua ni bure basi ukitumia solar utapata nafuu...
 
Back
Top Bottom