Tressa
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 954
- 1,043
Poa dogo.Wewe mambo safi Tressa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa dogo.Wewe mambo safi Tressa?
Naona hujamwelewa, ninafikiri alikuuliza huko uliko mambo ni safi hakuna mgawo wa umeme?Wewe mambo safi Tressa?
Hapo sasaWatangaze mgao watu wawe na uhakika na kazi zao,imagine mtu biashara yake inategemea umeme kwa inshu zinazohisiana na fridge
Kiulaini tu. Unawalipa chawa wako kama akina Nyerere wanakupigia debe unakuwa rais🤣Hii nchi ni rahisi sana kuiongoza!!hata mkimchukua MHAZABE, mmoja huko polini anaongoza fresh kabisa.kwani
Kama vinyozi sijui hali ikoje ukimuongezea na mzigo wa Tozo...Watangaze mgao watu wawe na uhakika na kazi zao,imagine mtu biashara yake inategemea umeme kwa inshu zinazohisiana na fridge
Jembe la Tanesco lilikuwa Mhongo basiMi nasema hakuna Jembe zaidi ya Mwamba JPM...
na huku mnakipigo cha Tozo hee...
Mpaka siku mpate akili watanzania
Oooh sorry sikumget ,of course 24/7 naenjoy na solar yangu Ilolo village hapa.Naona hujamwelewa, ninafikiri alikuuliza huko uliko mambo ni safi hakuna mgawo wa umeme?
Hao wanalala tu.Kama vinyozi sijui hali ikoje ukimuongezea na mzigo wa Tozo...
Mbona maji anaita Mma
Hatari sana!!kuna kile kingine kifupi cha futuhi, ukikiangalia kimechoka, halafu, kina leta mipasho kwa wanaopinga tozo!!Kiulaini tu. Unawalipa chawa wako kama akina Nyerere wanakupigia debe unakuwa rais🤣
Njaa mbaya kakaHatari sana!!kuna kile kingine kifupi cha futuhi, ukikiangalia kimechoka, halafu, kina leta mipasho kwa wanaopinga tozo!!
Unateseka ukiwa wapi dingila🤣Tuko bize na Tozo washeni vibatari.
Ndio mkuuDuh kumbe umeme nao umeathiriwa na Vita vya Ukraine!
Huko kwenu pia umeme unakatika hovyo?Ndio mkuu
Hakuna tatizo naye aliko wanamsanifu...sio kwa ubaguzi ule na upweke😂Najua na ndio maana yuko hapa kutusanifu.
Aaah...Hao wanalala tu.
Wapo waliojiongeza wanatumia mashine za betri na kuchaji