Hongera sanaHuko nyumban kwetu wanasema unasumbuaa sana..huku nilipo umetulia
🤣🤣🤣🤣🤣Tulieni nyi s ndo mnaosema huko ni nchi nyngine mwajiita USA [emoji1787] kwaiyo pambaneni na haLi zenu[emoji1787][emoji1787] watu wa usa
Kwani waliojaa ama walioijaza ama walioshikiria Arusha Ni wa wapi unadhani kama hatuijui nchi yetu. Arusha ukiwa na biashara lazima watu wajue Kama Ni wa kwao ndio waje kununua kwako. Iko Kama Kenya umeshawahi ishiSasa mtu anaongelea Arusha unataja sehemu zingine kabisa. Yani kuna vibwengo hii nchi 🤣
Turiani huku acha kbs.Tunateseka na mgao mkali wa umeme yapata miezi miwili, Tanesco mjirekebishe.
SawaTumeunda KIKOSI KAZI kinakuja na Majibu
AsantePoleni