Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Zito kisha kapoteza mwelekeo siku nyingi ninyi hamjui tu. kisha nunuliwa, hana kauli yake tena. Msimamo wote umeyeyuka.
utumbo mwingine huo!
kwa hiyo na mimi nikisema RWECHU ni fisadi then watu wataniamini?
Mkuu ukiweka vithibitisho havitaisaidia JF tu, ila vitaongeza heshima yako wewe! maana mawazo yako hayana tofauti na ya mtaani , na kwa tabia hii CCM haitatoka madarakani mkuu, kwa nini umejiingiza kwenye kundi la wapumbavu! wewe sio mmoja wapo, story za vijiweni hazitusaidii
Just imagine wewe ndio Zito na mtu kaandika ulivyoandika wewe na pengine ni completely false.Ikiwa kweli ukatuhabarisha tutapona wengi!
Rwechu huyu sio wewe usiige wengine, wameshajichokea