ZIto anatapatapa,anatafuta umaarufu ambao umaarufu wake umeshuka sana,especial ktk tabaka la wasomi,haingii akilin ku suport Dk Rashi ilhal anatuhuma nyingi sana za kutmia fedha za shirika kukarabati nyumba na kujiuzia kwa bei chee
sikatai,Dr anaweza kuwa ni one of the best CEO kiutendaji,lakini je usafi wake si wa kutilwa mashaka??
Hatoshi kuwa mwalimu mzuri darasani at the same time ukawa huna nidhamu,mwizi,malaya etc afu still akina zito watake uendelee kufundisha kisa we kichwa..nooo,hiyo haipo kabisa Being a Good CEO is not enough kuwa mtndaj mzuri tu,maadili yako ni muhimu zaid,hata lowasa alikuwa mtendaji mzuri sana, lakini je maadili yake vp,anamaadili ya uongozi,zito anlisemaje hili???
huyu dogo anakurupuka sana.
LETS US STOP DISCUSS ABOUT ZITTO,A YOUNG MAN WHO HAS BEEN LOST A TOTAL DARKNESS,A YOUNG MAN WHO IS BEING USED BY POLITICIANS TO DESTROY OPOSTIONS PARTIES IN TANZANIA.
Zitto please,kama siasa zimekushinda,you just look for other things to do,it seems you have lost a truck as far sa politics is concerned.
THATS WHY UMEKUWA MCHEMFU SANA,KILA UNACHOPOST HAPA NDANI HUWAGA NAJIKUTA NAKUPINGA TU