TANESCO board split on MD Rashidi's fate

TANESCO board split on MD Rashidi's fate

Unfortunately I don't believe in the whole supersistious enterprise of blessings. Neither do I need it.
Fair enough, I suppose you might as well be cursed, and for that matter you need HELP!
 
Fair enough, I suppose you might as well be cursed, and for that matter you need HELP!

As far as I am concerned a blessing and a curse are two sides of the same coin, the blessing being positive and the curse being negative.

That is to say, If I don't believe in the supersistion of blessing, I also do not believe in the supersistion of cursing.

Curse me a googolplex times.

Hata Waswahili walisema dua la kuku halimpati mwewe.

If there is anybody who need help it will be the one who believe in superstition, not the one who is rational.

Unaamini n uchawi pia? Al badiri? Voodo? Hebu nichanganyie vyote hivyo halafu nitumie tuone.
 
As far as I am concerned a blessing and a curse are two sides of the same coin, the blessing being positive and the curse being negative.

That is to say, If I don't believe in the supersistion of blessing, I also do not believe in the supersistion of cursing.

Curse me a googolplex times.

Hata Waswahili walisema dua la kuku halimpati mwewe.

If there is anybody who need help it will be the one who believe in superstition, not the one who is rational.

Unaamini n uchawi pia? Al badiri? Voodo? Hebu nichanganyie vyote hivyo halafu nitumie tuone.

Ha ha Good point you have there!
In actual fact you almost made my point. I am not only rational but also religious as well.
And I dont beleive that Bluray is Omnipontent or Infinite becase if he was, you would not be a man of this world,
But coming to uchawi,Al badri, vodoo, if at all I also believed in it I would have thrown it all the fisadis in TZ.
Like Nyerere said," anayejua kuwa uchawi upo, basi akanilogee makaburu maana wananisumbua sana huko kusini mwa Afrika."
Of course nobody took up the challenge.
Big up for not beliving in the negative , but also you need to believe in the positive.
Above all as we retire into our beds pray for Zitto to do the right thing.
 
Nakuonyesha tu kwamba kuongelea kitu kama "journalistic integrity" kwa watu fulani ni sawa sawa na kumpigia mbuzi gitaa, au kujaribu kumfundisha ng'ombe superposition ya quantum physics.

Angalau kuna watu wengine wanaelewa, kuna wengine hasara tupu hap.

Kaka nakuunga mkono kwa hili.

Tatizo humu ndani kuna watu ama hawana hulka ya kutambua na kuheshimu ethics, integrity, principles and even their vision for Tanzania is absoluty MEDIOCRE...na zaidi hawana upeo wowote wa kutambua umuhimu wa vigezo nilivyovitaja hapo juu katika masuala ya uongozi hata wa familia ukiachilia mbali wa Taifa

Ukiangalia michango yao, aina ya watu wanaowapigia debe na hata mitizamo yao katika masuala ya nchi na jamii yetu, unabaki kujiuliza tumefikaje kuwasimika watu wa aina hii katika usukuni wa OPINION MAKING sio hapa jf tu lakini hata katika vyombo vyetu vya habari...

Naamini hili ni tatizo kubwa zaidi linalosibu nchi yetu zaidi hata UFISADI.

omarilyas
 
Na kukumbatia mediocrity ndiyo hallmark ya uelewa kwako? Mimi sikumbatii hii humility potofu inayotusababisha tuwe nyuma mpaka leo, mtu akichemka kachemka na anaambiwa, kitu na box, mambo ya transparency.

Habari za kuleana kuleana, heshima heshima za uongo si ndiyo tunayoyalalamikia hap kila siku kwamba yanafuga ufisadi na kutusababishia matatizo lukuki? Kama tungekuwa na transparency tungekuwa na matatizo yote tuliyo nayo sasa? Sasa kama mimi nakuona unachemka kwa nini iwe ujinga kwangu kusema kwamba unachemka na unaongea kama mtu asiye familiar na concepts basic kama journalistic integrity? Unaona kitu academic kichizi wakati kitu kina athira direct.

Mtu akiwa hana argument anaambiwa hana argument, mtu akiwa na weak argument anaambiwa ana weak argument, mtu akija na argument hazijaenda shule anaambiwa, no apologies.

Sasa kama kuna utamaduni wa kulea mediocrity unaosema ili uonekane una akili inabidi uwe na upole wa kijinga, wa kufuga mediocrity, mimi siamini katika akili hii.

- Bwa! ha! ha! angalau hapa unakubali kwamba na wewe ni mediocrity exactly unayowalalmikia wengine, nilifikiri unajaribu kusema kwamba wewe una high IQ, kwa hilo mkuu hapana huna na wala hapa JF sio mahali pake pa kuzipima, pole sana ila ukitaka kujadili high IQ na Low IQ na pia mediocrity anytime mkuu, sasa ninavua ustaarabu na niko tayari kuongea lugha yako!

- Now lets talk kuhusu hii low and high IQ, bring it on sasa niko tayari mkuu!


FMEs!
 
I am bold and outspoken.Kama huoni umuhimu wa principles za uandishi wa habari katika kujenga taifa bora basically unachoniambia ni kwamba sio tu hujaenda shule na kwamba hata kama umeenda shule umetupa hela tu, bali pia unaniambia kwamba hata kujielimisha mwenyewe kwa kushika vitabu na kusoma kutoka maisha umeshindwa.

- Tatizo sio anything to do na hiyo bold yako, isipokuwa unaongelea kitu ambacho hapa jukwaa la siasa sio mahali pake, na infact hata kwenye hiii topic sio mahali pake, sasa kwa mtu unayedai una high IQ, haingii akilini kwamba unaweza kuja kujenga misingi ya uandishi wa habari mahali pasipohusika, ndipo ninapokuna a very much low IQ isipokuwa unajaribu tu kujisheua sheua na kujifanya umeenda shule,

- Mkuu shule ipi hiyo waliyokufundisha kwamba Jukwaa la siasa ukafundishe sheria za uandishi wa habari? hivi hujui kwamba chini kule kuna jukwaa la sheria, labda ungeenda kule kufundisha hizo sheria zako za habari hapa sio mahali pake, sasa kama hata hili dogo tu linakupa taabu kuelewa itakuwaje makubwa ya taifa kama haya ya Zitto na misimamo yake, acha matusi wewe nenda tena shule ile uliyosoma kwa hela za hili taifa bila ya kuzirudisha umezipoteza bure mkuu!

Respect.


Field Marshall Es!
 
Namshukuru Tina kwa kuleta mjadala huu, namsikitikia Zitto kama kweli atakimbia jumla hapa JF, lakini pia naamini mwandishi wa Kulikoni alie rip hapa JF na mhariri wake kuipitisha kuwa headline story yao, inashusha credibility ya gazeti lao ambalo lilishajipambanua kwa investigative journalism hapo mwanzo, likaja kwenye witch hunting, to character assasinations sasa limeingia kwenye shoptalks za vijiweni linaelekea kaburini kama sio kugeuka la udaku!.

Naamini pamoja na mwandishi kuwako humu, na kutojitokeza kuutetea utumbo wao, hiyo inamaanisha somo kwake pia limeeleweka, natanguliza shukrani.

- Mkuu Pasco, finally you are talking, lakini ya mwandishi wa Kulikoni na anything sisi hayatuhusu hayo ni ya gazeti lao huko huko, Jf kazi yetu ni kuchambua habari muhimu kwa taifa letu bila ya kujali ameleta nani,

- Cha muhimu hapa ni kujua tu kwamba hii habari ni ya ukweli au sio kweli, hii habari so far ni kweli sasa, mengine ya sheria yake hayo ni yenu huko pembeni mkayamalize huko huko, hapa tunajadili the context na umuhimu wake kwa taifa letu, kama waandishi wamepata message au hawakupata again ni none of our JF business, kwa sababu aliyeileta habari hapa ameileta kwa njia ile ile inayokubalika hapa JF ya njia ya ID fake, na it is none of our business,

- I mean otherwise kwa nini serikali na viongozi wake wahangaike kutusikiliza JF, iwapo tunatumia majina ya bandia na kutoa dataz ambazo hatukuzipata kisheria, eti mkuu kuna dataz hapa tunazozitoa kila wakati na kuitesa serikali ambazo tumewahi kuzipata kwa njia ya halali kisheria?

- Mkulu Pasco kwa maneno yako na wale wote mnaoungana mkono, ni kwamba serikali na viongozi wetu wana haki ya kutokutusikiliza, halafu mnadai eti wanaowapinga kihoja ni medocrity sasa tunajiuliza exactly hao low IQ hapa ni nani hasa, maana mnadai waandishi hawakupata ruhusa ya Zitto na maneno yake mwenyewe, sasa tunawauliza hizi habari na data tunazojadili hapa JF kila kukicha huwa tunapewa ruhusa wahusika kuzileta hapa?

- Kama hatupewi then kwa nini msiopenda kuvunjwa kwa sheria za uandishi mnashiriki kuzijadili, sasa hapa ndio utapata exactly nani ni mediocrity na nani ni low IQ, na inasikitisha sana kutumia maneno makubwa makubwa ambayo hamuwezi kuya-define na kuyatumia inavyotakiwa na in the process mnaishia kuonyesha uwezo wenu wa kufikiri na ku-comprehend complex ishus za taifa ulipo!

- Poleni Sana Wakuu!, ila sisi tutandelea hapa Jf kuchambua ishus ambazo tunajua wazi kwamba zinaletwa bila ruhusa ya wahusika, as long as ni masilahi ya taifa letu!


Field Marshall Es!
 
Nakuonyesha tu kwamba kuongelea kitu kama "journalistic integrity" kwa watu fulani ni sawa sawa na kumpigia mbuzi gitaa, au kujaribu kumfundisha ng'ombe superposition ya quantum physics.

Angalau kuna watu wengine wanaelewa, kuna wengine hasara tupu hap.


- Mkuu unajua swali ni kwamba hili la "Journalistic Integrity" umeligundua lini kwamba ni tatizo hapa JF? Mimi ninachojua ni kwamba siku zote haoa zinaletwa habari nyingi ambazzo hazijawahi kutolewa ruhusa na wanaohusika hasa viongozi wa taifa letu, lakini hata siku moja sijakuona ukilia kwamba Journalistic Integrity imeharibiwa, sasa leo kwa sababu yamemkuta Zitto ndio imekwua kilio cha Journalistic Integrity, sasa hiyo ndio hasara yenyewe mkuu kwa wewe mwenyewe unayeililia,

- Kuanzia leo mkuu waombe watawala wa JF, tuanze kufuata hayo ya Journalistic Integrity na iwe kwa viongozi wote sio mpaka zkiguswa Zitto tu ndio inakwua tatizo, mkuu poleni sana maana kama unavyosema mwenyewe tunakwua kama tunampigia mbuzi gitaa tunapowaambieni kwamba sheria za journalistis Integrity hapa sio mahali pake yaani kwenye ishu inayomuhusu Zitto tu, that is a big joke!

FMEs!
 
Kaka nakuunga mkono kwa hili.

Tatizo humu ndani kuna watu ama hawana hulka ya kutambua na kuheshimu ethics, integrity, principles and even their vision for Tanzania is absoluty MEDIOCRE..

- Mkuu Omaar, kama kweli wewe ungekua unalifahamu vizuri hili usingekuwepo hapa JF, ambapo kila kukicha tunachambua ishus za taifa na viongozi, ambazo huletwa hapa bila ruhusa za wahusika, sasa muwe waangalifu maana mnaishia kujitukana wenyewe!

.na zaidi hawana upeo wowote wa kutambua umuhimu wa vigezo nilivyovitaja hapo juu katika masuala ya uongozi hata wa familia ukiachilia mbali wa Taifa Ukiangalia michango yao, aina ya watu wanaowapigia debe na hata mitizamo yao katika masuala ya nchi na jamii yetu, unabaki kujiuliza tumefikaje kuwasimika watu wa aina hii katika usukuni wa OPINION MAKING sio hapa jf tu lakini hata katika vyombo vyetu vya habari...Naamini hili ni tatizo kubwa zaidi linalosibu nchi yetu zaidi hata UFISADI.
omarilyas

- Upeo wa bina-adam hupimwa na maneno na matendo ya yule bina-adam, hivi kweli mkuu Omaaar tukienda hivyo Avenue, mkuu utasimama hapa JF kama hivi unavyotukana watu hapa? Eti kweli mkuu unataka twende hiyo Avenue are you serious unatka tukuchambue on that Avenue?

- Maana kwa haya maneno kama ninakuelewa ni kwamba wewe ndiye mwenye uwezo mkubwa sana kimawazo, katika kufikiri binafsi na kuiongoza familia yako kama unayo kwa hiyo wewe ndiye unayefaa kuwa Opinion Maker mkuu Omaaar eti ni kweli haya mkuu?

- Watu wengine bwana mbona mnachekesha sana, tupingane kwa hoja wakuu hayo ya personal pelekeni huko pembeni hatuyahitaji hapa JF, huu ni uwanja wa siasa na kwa kawaida huwa tunajadili ishus zinazoletwa hapa kwanza kwa kudai ukweli wake, ndio maana kule chini kuna uwanja wa tetesi, habari yoyote isiyo na ukweli hushushwa kule, msianze ya pesonal maana hamtayaweza! tujadili taifa!

Respect.


FMEs!
 
- ..........inasikitisha sana kutumia maneno makubwa makubwa ambayo hamuwezi kuya-define na kuyatumia inavyotakiwa na in the process mnaishia kuonyesha uwezo wenu wa kufikiri na ku-comprehend complex ishus za taifa ulipo!............Field Marshall Es!

........in addition..........inasikitisha sana pia kuona watu wanafikiri kuwa wanajua.........kumbe hawajui kuwa hawajui.........and the same person anaongelea mediocrity, logic and IQ........duh!
 

- Mkuu unajua swali ni kwamba hili la "Journalistic Integrity" umeligundua lini kwamba ni tatizo hapa JF? Mimi ninachojua ni kwamba siku zote haoa zinaletwa habari nyingi ambazzo hazijawahi kutolewa ruhusa na wanaohusika hasa viongozi wa taifa letu, lakini hata siku moja sijakuona ukilia kwamba Journalistic Integrity imeharibiwa, sasa leo kwa sababu yamemkuta Zitto ndio imekwua kilio cha Journalistic Integrity, sasa hiyo ndio hasara yenyewe mkuu kwa wewe mwenyewe unayeililia,

- Kuanzia leo mkuu waombe watawala wa JF, tuanze kufuata hayo ya Journalistic Integrity na iwe kwa viongozi wote sio mpaka zkiguswa Zitto tu ndio inakwua tatizo, mkuu poleni sana maana kama unavyosema mwenyewe tunakwua kama tunampigia mbuzi gitaa tunapowaambieni kwamba sheria za journalistis Integrity hapa sio mahali pake yaani kwenye ishu inayomuhusu Zitto tu, that is a big joke!

FMEs!

Mimi mbona nalalamika na waandishi wa habari kila siku hapa FMES? Ina maana ndiyo leo unaniona nalalamikia uandishi wa habari? Mbona kuna threads lukuki nawabalasa hawa waandishi wa habari mbuzi?

Halafu zaidi ya hapo, hata kama ningekuwa naanza leo, the fact kwamba naanza leo kuwabalasa waandishi wa habari haliondoi makosa yao, kama yapo.Kwa hiyo swala la msingi liwe whether makosa yapo au hayapo, sio nimeanza kuyaona lini.

Mimi nimeongelea journalistic integrity zilipofanyiwa photoshop picha za Salim, nimeongelea integrity mara kibao tu hapa ukitaka naweza kukaa chini nikaachambua posts zangu.Wasomaji makini wananijua nilivyokuwa nawakandya king'ong'o waandishi wa kibongo.

Nawakandya kama wengine wanavyosema sala ya bwana.

Nawakandya ninavyoamka, nawakandya ninavyolala.

Juzi tu nimetoka kuwasemea mbovu waandishi wa habari wamemnukuu rais Karume wa Zanzibar bila kuweka direct quotes na kufanya serious distortion ya message.Kama huoni haya yote eithr husomi JF au unayafumbia macho kwa sababu zako.Na mimi najua kwamba unasoma, kwa sababu posts ni lukuki, kwa hiyo labda weye utueleze kwa nini unataka kusema uongo kwamba mimi sijaongelea journalistic integrity mpaka leo kwenye issue ya Zitto?

Leo unataka kusema hujona hayo yote? Umeyaona leo ninavyoongelea hii issue allegedly ya Zitto?

Sasa kibao kinakugeukia wewe, kama hujaona hizi mara zote na umeona mara hii tu ninapoizungumzia hii issue anayosemwa Zitto, inawezekana weye ndiye mwenye kijiba na Zitto?

Kama nilivyosema, arguments weak, inconsistent, illogical, incoherent basi tabu tupu.
 
FMES,
Mkuu wangu taratibu, taratibu nasi tupate kufahamu kinachoendelea. Hizi habari zilizoandikwa hapa kama sikosei ziliandikwa siku zile Zitto alipozungumzia kuhusu ununuzi wa Dowans, na pia ilifikia wakati alimsifia Rashid kwa sababu alikuwa upande wa Wataalam..na wapo wengi hapa wanaojaribu leo kuharibu jina la Zitto walikubaliana na Zitto kwamba Wanasiasa ndio pingamizi kubwa la Watalaam wetu kiasi kwamba sifa zilitolewa kuhusiana na maamuzi ya Wataalam dhidi ya wanasiasa kina Shelukindo..Rashid alipewa sifa na wengi tu hapa JF kwa kuwa alikuwa upande wa Wataalam na sisi kina mapimaji tulifahamu kwamba Zitto kawekwa sawa tu. hakuna cha Mtaalam wala mjomba wake isipokuwa ni deal la Rostam na Lowassa kuonyesha umuhimu wa Dowans.

Wengi wetu tulipinga sana mawazo ya Zitto.. Na nakumbuka tulifika mbali sana kiasi kwamba Zitto mwenyewe alipotea kwa muda mrefu pasipo kuingia hapa JF..Sasa kinachonishangaza ni kwamba haya maneno yamenukuliwa tena na kurudishwa hata baada ya huyo Zitto kugeuza ushauri wake kwa serikali na kupendekeza Dowans itaifishwe...Na katika maelezo yake ya mwisho sikusoma mahala wala sehemu ambayo Zitto alimsifia Rashid kama CEO bora kuliko wote ktk mashirika yetu YOTE.

Ndicho kilichonisukuma mimi kuuliza, pengine nilipitwa na hadithi hii mpya..Sidhani kama Zitto anaweza kumsifia Rashid kiasi hicho wakati akielewa wazi kwamba Tanzania tuna dams za Hdro power zenye uwezo wa kuzalisha MW 4,700 lakini tunazalisha ONLY less than 15 percent na hakuna kiongozi yeyote aliyeweza kurudisha nguvu hizo hata zikafikia nusu ya mtaji tulokuwa nao mkononi. Ni katika mtaji kama huu tunayakuta mashirika yote ya Umma ambayo yalitaifishwa yalivyoboronga tukamlaumu Nyerere, wakati sisi wenyewe tumeshindwa kabisa kuyaendeleza tukiwa ktk mfumo bora wa kiuchumi..
Hivyo, swala hapa la uongozi bora sijui Rashid amepimwa ktk kundi la viongozi wabovu na uafadhali wake ama vinginevyo...
 
Mimi mbona nalalamika na waandishi wa habari kila siku hapa FMES? Ina maana ndiyo leo unaniona nalalamikia uandishi wa habari? Mbona kuna threads lukuki nawabalasa hawa waandishi wa habari mbuzi? Halafu zaidi ya hapo, hata kama ningekuwa naanza leo, the fact kwamba naanza leo kuwabalasa waandishi wa habari haliondoi makosa yao, kama yapo.Kwa hiyo swala la msingi liwe whether makosa yapo au hayapo, sio nimeanza kuyaona lini. Mimi nimeongelea journalistic integrity zilipofanyiwa photoshop picha za Salim, nimeongelea integrity mara kibao tu hapa ukitaka naweza kukaa chini nikaachambua posts zangu.Wasomaji makini wananijua nilivyokuwa nawakandya king'ong'o waandishi wa kibongo.

- Mkuu Bluray, ninasema hivi the whole idea ya kuwepo hapa JF na hasa huu uwanja wa siasa ni kujadili siasa, sikatai kwamba as a nation tuna tatizo la integrity na uandishi, lakini tuna matatizo kila kona ya taifa letu na ndio maana tupo hapa JF, mimi bado ninaheshimu mawazo yako isipokuwa matusi kwamba yoyote anayekupinga hoja zako, basi ni hafai na maneno yako mengi ya dharau kwamba umesoma sana hilo ninalikataa.


Nawakandya kama wengine wanavyosema sala ya bwana. Nawakandya ninavyoamka, nawakandya ninavyolala. Juzi tu nimetoka kuwasemea mbovu waandishi wa habari wamemnukuu rais Karume wa Zanzibar bila kuweka direct quotes na kufanya serious distortion ya message.Kama huoni haya yote eithr husomi JF au unayafumbia macho kwa sababu zako.Na mimi najua kwamba unasoma, kwa sababu posts ni lukuki, kwa hiyo labda weye utueleze kwa nini unataka kusema uongo kwamba mimi sijaongelea journalistic integrity mpaka leo kwenye issue ya Zitto? Leo unataka kusema hujona hayo yote? Umeyaona leo ninavyoongelea hii issue allegedly ya Zitto?
- Hapa ninakukubali kwamba waandishi wana matatizo, lakini bado haina uhusiano wowote na the ishu ya Zitto na gazeti la Kulikoni, ingawa ninaweza kukubali kwamba sijawahi kupay-attention kuhusu kilio chako na waandishi lakini ningeelewa zaidi kama ungeliwa-boycott kwa kutochangia tena habari zao hapa JF, ukasubiri zile habari tu zilizokuwa approved legally na wahusika, na by the way unaweza ukazi-point habari ambazo zipo hapa JF ulizowahi kuzichangia ambazo kwa muono wako ni legally approved na wahusika kabla ya kuletwa hapa JF?

Sasa kibao kinakugeukia wewe, kama hujaona hizi mara zote na umeona mara hii tu ninapoizungumzia hii issue anayosemwa Zitto, inawezekana weye ndiye mwenye kijiba na Zitto? Kama nilivyosema, arguments weak, inconsistent, illogical, incoherent basi tabu tupu.

- Kama ni kijiba mkuu basi ninatakiwa kuwa na kijiba na viongozi wengi sana wa taifa letu, vipi ni tabia yako kuwa na vijiba na watu wasiokuunga mkono hoja zako nini mkuu maana sio rahisi kuisema njia ambayo hujawahi kuipitia yaani ya vijiba vijiba, Bwa! ha! ha!

- Unajua mkuu wangu it works both ways, yaani naziona arguments zako kuwa ni absolutely foolish, licha ya kua weak na sababu muhimu ni moja tu kwamba habari zote zinazokuja hapa JF hazijawahi kuruhusiwa legally na mtu yoyote na wewe upo hapa siku zote ni member, sasa kwa nini unachangia mada ambazo zina matatizo yale yale integrity na uandishi huku wewe ukiwa bingwa wa kujali sheria ndio ninashindwa kuelewa,

- Na mtu clean kwama unavyodai you are, kwa nini hata kuingia na jina la bandia huoni hilo nalo ni tatizo sana na integrity na hoja zako, I mean talking about weak arguments unaona unavyopwaya mkuu na hizi integrity zako, maana mtu mwenye akili timamu akikusikia kwamba unadai integrity kwenye forums ambayo watu wanaingia kwa majina bandia, na wewe included itakuwaje mkuu si atakushangaa sana kwamba kumbe na wewe wale wale! wapindishaji wa mambo, Bwa! ha! ha! mkuu Brulay tujadili hoja mkuu sio viroja!

- Anyways, ninaomba kupumzika sasa maana nimesema ya kutosha, ila kumbuka kwamba mtu ambaye ni bingwa wa integrity kama unavyodai to be hawezi kuingia kwenye forums yenye members wenye majina ya bandia na kuanza kudai integrity ! Bwa! ha! ha! inachekesha sana mkuu, alamsiki mkuu!

Respect.


FMEs!
 
Zitto nafarijika sana ninapokuona online hata kama umekaa kimya. Zitto wewe ni kichwa, uchangiaji wako humu unatokana na potential ulionayo, the more you give out, the more you get in, kwa kukaa kimya, kususa au kupumzika, kutakufanya uwe stagnant, just swallowing in without taking out kutakufikisha mahali you will full up to the point you can't take anymore na brain yako itakuwa saturated very soon sio kwa kuweka akiba ili siku ukishusha ushushe haswa, utajashangaa siku unataka kushusha, kunaweza tokea blast!.

- Mkulu Pasco, huyu unayemsema ni Zitto yupi mbunge au mwingine, ndio maana tumesema mnaposema wanaowapinga kihoja kwamba wana Low IQ, tunashindwa kuelewa exactly nani hasa mwenye High IQ na nani mwenye Low IQ?

- However on a serious note: promise sasa ninapumzika nimesema ya kutosha mwenye macho aone mwenye masikio asikie, Mkulu Zitto waswahili wana msemo mmoja unasema hivi "ngoma ikila sana basi iko njiani kupasuka", wakuu wote mlioshiriki this great debate thanks a lot Wakulu Pasco Mzee wa high IQ, Mzee wa High IQ Bluray, Mkulu wa longtime Ogah, Ndugu yangu Lole Gwakisa, ninasema shukrani kwa mjadala deep sana, in the process nimejifunza mengi sana na kwa hapa naomba kuweka kalamu chini na tukutane tena kwenye mijadala mingine ila one thing ni tusisahau kwamba taifa alyways ni mbele kwanza!

Respect.


FMEs!
 
Field Marshall unaweka chininkalamu kwa msingi gani wakati mjadala haujaisha?

Umeniita mimi mtetezi wa Zitto wakati mimi mtetezi wa maadili ya uandishi wa habari, umeniomba nikuletee matundiko niliyoweka hapa kuthibitisha kwamba mimi nilikuwa mtetezi wa maadili ya uandishi wa habari kabla ya hili swala la Zitto.

Haya hapa nakuwekea, sema jengine.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...eading-zenu-kwenye-magazeti-3.html#post677742

Angalia mtiririko wangu katika thread hii

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/44084-karume-no-elections-next-year-in-zanzibar-if.html

Hususan kuanzia post ya tatu hapa

https://www.jamiiforums.com/660633-post3.html

Halafu mifano mingine michache ya harakaharaka kuhusu activism yangu for "Journalistic Integrity" kabla ya hii issue ya Zitto, activism ambayo itanionyesha kuwa ni non partisan advocate wa journalistic integrity regardless ya siasa, contrary ya unavyotaka kuni paint wewe hapa.


https://www.jamiiforums.com/670154-post23.html

https://www.jamiiforums.com/667945-post38.html

https://www.jamiiforums.com/665989-post6.html

Kama una matatizo kuona hiyo link ya kwanza ninakucopia hapa chini

Niliandika haya 16th November 2009,

Niliquote article


President Karume told reporters at Zanzibar Airport on Saturday evening that the elections would not be held if all eligible Zanzibaris would not be registered.

Nikakosoa uandishi potofu huu kama nilivyoonyesha katika link hapo juu, nawakilisha tena chini hapa.


Haya niliandika November 16, naongelea "Journalistic Integrity". Kwa hiyo usiseme nimeanza kusema journalistic integrity kwenye issue ya Zitto kwa sababu ya kumtetea Zitto, kwa sababu ya unazi, utakuwa muongo.Ninaweza hata kukuletea posts nilizomlima Zitto hapa.



As much as I would like to go into the issue, I must point out a distracting dereliction of the most basic rules of journalistic integrity, attribution, sourcing and quotations.

Before going out any further, I would not like to neglect the possibility of President Karume making such a nonsensical statement as the above quoted.The only reason I am letting him off the hook and concentrating on the journalistic integrity of the reporter is because Karume is not quoted directly as having said the attributed.

The above quoted statement, made by the journalist, is not supported anywhere else in the piece by a direct quote.This lead me to conclude that - discounting the case of a Karume overpromising slip - the journalist's powers of comprehension, interpretation and narration are severely lacking.

Indeed, the only direct quote attributed to President Karume is "We want both the winners and losers to accept the results this is possible only if the elections are free and fair,"
The fallacy of the far above quoted statement statements lies in the unverifiability of the registration of all eligible Zanzibaris. How can you ensure that all eligible Zanzibaris are registered? There are eligible Zanzibaris in Likoni Mombasa and Stockholm Sweden, are they going to be registered too? What about those who are in Zanzibar and eligible but do not care for the electoral system, are they going to be forced just to be able to say all eligible voters are registered?

This points to the ever deteriorating quality of our so called journalism.Even a person with the most basic of understanding of logic would question the validity of an exercise to register "all eligible Zanzibaris". The callous irresponsibility demonstrated by this macabre cancer is deepened by the fact that it is not merely an isolated incident, but an established trend.

This simpleton-like mentality of giving sweeping unverifiable statements must be stopped at once if our reporting is to be taken seriously, and if indeed the president did utter these words, this intellectually sombre diction betrays a horrible plight for our nation.

Show me someone who cannot organize words and I will show you one that cannot organize thoughts.
 
FMES,

- Kama ni kijiba mkuu basi ninatakiwa kuwa na kijiba na viongozi wengi sana wa taifa letu, vipi ni tabia yako kuwa na vijiba na watu wasiokuunga mkono hoja zako nini mkuu maana sio rahisi kuisema njia ambayo hujawahi kuipitia yaani ya vijiba vijiba, Bwa! ha! ha!

Mimi ni tabia yangu kusagasaga hoja zisizo na uti wa mgongo kama zako, na kama utaona hicho ni kijiba hayo ni maoni yako

- Unajua mkuu wangu it works both ways, yaani naziona arguments zako kuwa ni absolutely foolish, licha ya kua weak na sababu muhimu ni moja tu kwamba habari zote zinazokuja hapa JF hazijawahi kuruhusiwa legally na mtu yoyote na wewe upo hapa siku zote ni member, sasa kwa nini unachangia mada ambazo zina matatizo yale yale integrity na uandishi huku wewe ukiwa bingwa wa kujali sheria ndio ninashindwa kuelewa,

There you go again with your vague plethora of uneducated randomness, "kuruhusiwa legally" maana yake nini? Mimi naongelea credibility ya source, ongea kuhusu credibility ya source nitakuelewa, wewe usharukia kwenye "kuruhusiwa legally". Tatizo muandishi wenu kama nyie, wote mmekimbia umande, hamjui na hamjali kwamba huwezi kuokoteza habari kwenye internet forum ukazi publish bila verification.

Sasa this is quite different na articles za watu waliohojiwa in person, habari zikaandikwa magazetini halafu zikaletwa JF. J aribu kujifunza na kuona tofauti.

Na kama kuna tatizo jingine la integrity ya uandishi, ni kawaida yangu kusema, kila siku, kwenye habari za watu wengi tu, si Zitto. Mifano hiyo hapo juu.Nimeongea hili alipoonewa Dully Sykes rapper wa bongoflava ambaye simjui siasa zake, nimeongea hili alivyokuwa distorted bila direct quote Amani Karume wa CCM na ninaongea kitu hiki hiki waandishi wanavyoandika bila proper sourcing katika issue ya Zitto wa CHADEMA. Nimeenda full political spectrum, kutoka mtoto wa mjini asiyejulikana political affiliation, kwenda Karume stalwart wa CCM, kwenda Zitto wa upinzani, sasa na wewe nikuulize mbona hukunijia juu nilivyoongelea kwamba habari ya Karume imekuwa distorted? Au ni kwa sababu unaendekeza ushabiki fulani?

- Na mtu clean kwama unavyodai you are, kwa nini hata kuingia na jina la bandia huoni hilo nalo ni tatizo sana na integrity na hoja zako, I mean talking about weak arguments unaona unavyopwaya mkuu na hizi integrity zako, maana mtu mwenye akili timamu akikusikia kwamba unadai integrity kwenye forums ambayo watu wanaingia kwa majina bandia, na wewe included itakuwaje mkuu si atakushangaa sana kwamba kumbe na wewe wale wale! wapindishaji wa mambo, Bwa! ha! ha! mkuu Brulay tujadili hoja mkuu sio viroja!

Wapi nimesema mimi mtu clean? Nionyeshe niliposema mimi mtu clean.Hapa tuna matatizo on so many levels.Matatizo ya comprehension, matatizo ya honesty, matatizo bila shaka ya upeo.

Wapi nimesema mimi mtu clean?

Kuingia na jina la forum ni haki ya hii forum.Na wala haifuatishi kwamba ukiingia na jina lako ndiyo utatoa the best contribution.Kuna maswala mengine mazito yanahitaji privacy na anonimity kuyasema kikamilifu, wewe mwenyewe umeingia na jina la bandia.Kulikuwa na kina "Publius" huko kina Andrew Jackson na John Jay wameandika "The Federalist Papers", walikuwa wanamwaga utirio wa uhakika kuhusu freedom na democracy Marekani miaka hiyo wakati Marekani ndiyo kwanza inakaa sawa, lakini nchi haikuwa tayari kwa ideas zao, wakatumia pen names.Hili si jambo geni, lishatokea sana.

Mara nyingine natamani forum nzima ingekuwa anonymous, kila post anonymous, labda tungeweza kuangalia zaidi kinachozemwa badala ya anayesema.Maana wengine tushaanza ku form bias, kwamba kitu akisema Bluray lazima kiwe hivi, FMES kiwe vile.

Kwa hiyo ncontrary to your idea kwamba mtu anayekuja na jina lake hapa ndiye msafi sana, actually mimi naona kuja na jina lako kunakupunguzia uhuru wa kuongea.Kuna watu wanamkoma nyani giladi hapa, wanaweka wazi mpaka ufisadi wa families zao wenyewe katika maslahi ya umma, sasa wewe unasema watu hawa waje kwa majina yao? Haiingii akilini, kwa sababu haitajenga bali itabomoa tu.

Kwa hiyo, hiyo hoja ya kuja na jina langu ni distortion tu kutoka main issue hapa, haina msingi, ni weak kabisa.Unarukaruka tu kutoka hapa kwenda kule all over the place kama mfa maji ambaye kashindwa kudeal na mambo ya journalistic integrity sasa anataka kuwayayusha watu na vijimambo lukuki.

Unaposema "tujadili hoja, si viroja" unajisema mwenyewe.Umeshindwa kujadili hoja ya "Journalistic Integrity" sasa unarukia viroja visivyo msingi vya kutaka kulazimisha watu waingie na majina yao wakati chata letu la JF linaprotect privacy na aninimity kwa hali ya juu ili watu waweze kumkoma nyani bila mashaka yoyote, wewe mwenyewe ukiwa mmoja wa wafaidika wa provision hii.

Acha kuchekesha kwa kuja na self defeating arguments.

- Anyways, ninaomba kupumzika sasa maana nimesema ya kutosha, ila kumbuka kwamba mtu ambaye ni bingwa wa integrity kama unavyodai to be hawezi kuingia kwenye forums yenye members wenye majina ya bandia na kuanza kudai integrity ! Bwa! ha! ha! inachekesha sana mkuu, alamsiki mkuu!

Respect.

FMEs!

Lazima uombe maji ya kunywa kwa sababu unapata kipigo intellectually ambacho hukuwahi kupata. Huelewi maana ya integrity, huwezi kumwambia mtu "kama wewe una integrity nenda kaanike social security number yako kwenye internet, unaogopa nini, wewe si una integrity"

Kuna kitu kinaitwa privacy, inaonekana hiki kitu kimekupitia kushoto.Kila mtu yuko entitled to privacy.Mimi included, wewe included, ndiyo maana hukuja na jina lako hapa, umekuja na alias.Mtu kuja na alias haina maana mtu kakosa integrity - nenda kasome historia ya "The Federalist Papers" na mtu aliyejulikana kwa jina la Publius uone jinsi watu walivyoshusha issues za taifa lao vilivyo, wanasomwa mpaka kesho katika madarasa ya falsafa na sayansi ya siasa, lakini wali value privacy yao na walifanya hivi kwa kutumia pen names.

Again,

Nakufunga kwa kamba yako mwenyewe, nakuhukumu kwa sheria uliyoileta mwenyewe. Stick to hoja, acha viroja.

Hoja tulikuwa tunaongelea journalistic integrity, imekushinda unaenda kuokoteza viroja vya kunitaka kuniingiza mkenge ni jeorpardize privacy yangu halafu wewe na Gestapo wako wa CCM mje kutaka kuniharass?

I wasn't born yesterday. Kisoda ulichofungua kimeandikwa "Jaribu Tena"
 
Mimi nilifanya kazi kwa karibu sana na Dr Rashid. lakini all in all itazameni NMB alivyoibeba na hata kuifanya pesa hata BOT kuifanya atleast pesa ya Tanzania kuwa stable ( pitia miaka mitatu kabla kuwa Gavana na miaka mitatu baada ya kuondoka ugavana).

Sasa hivi ni mwenyekiti wa Nafikiri bank ya Azania. Ni mtu anayeaminika sana katika fani ya Finance.

Kila Bin'Adam ana upungufu wake lakini sifa zake lazima tumpe.

Labda sijui siku hizi huko Tanzania. lakini zamani Shirika kama hilo la Umma, Dg ni kama kibarua tu kuna wengi sana wanamkono wao ndani ya shirika na hata DG anapokea maelekezo tu na yeye anabaki kuwa mtekelezaji.
Kuna Waziri, katibu Mkuu, akurugenzo wengi tu wa Wizara nishati, Mwenyekiti wa Bodi , wanasiasa ambao wajumbe wa bodi. hao wote wanamwongoza DG.

Sasa hata akiwa na jipya halina nafasi na yeye kubaki kama mlalamikiwa.

Tukumbuke siku za nyuma alitoa mpaka notice ya kujiuzuru sababu ya wakubwa wengi kumwingilia shughuli zake.

Dr nakuheshimu sana na nakuamini kwa umakini wako...........tumpe mwingine tuone atafanyani?

Mzee nakubaliana na wewe kabisa. Tatizo la nchi yetu ukienda inavyotakiwa katika maadili ya kazi utakumbana na vizuizi vingi na nina imani ndicho kilchopelekea Dr Rashid kumwandikia barua Rais ya kutaka kujiuzulu.

Kwa waliokuwa karibu na wanaomfahamu vizuri Dr. Rashid katika utendaji wake walimshauri vizuri raisi kwa kutokubali kujiuzulu kwake.

Nina uhakika akiwekwa CEO mwengine Tanesco itarudi pale ilipotoka na kingine ninachojiuliza kama hizo kasha alizokuwa nazo ni za kweli kwanini wamcheleweshe mpaka sasa?

Ni majungu tu ya wasiopenda maendeleo ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom