- Mkuu acha kupoteza muda wangu, vitu vyote nimeviweka hapo juu sasa suka au unyoe, huna hoja sasa tulia upewe darasa, darasa hilo juu kuhusu kilio chako cha Journalism Integrity, umepewa mifano yate hapo juu, sasa jibu hoja au nyamaza maana huna hoja pumba tupu!
- Kichwa chako mkuu kimeoza no wonder unahangika kujisema mwenyewe kwamba uwezo wa kufikiri ni zero, unajifanya unajua wakati hujui kitu unawekewa vitu hapo naaanza kujifanya kuruka kimanga **** wewe, kichwa kikubwa pumba tupu kichwani kama anavyosema.......,
- Umesema unataka integrity ya source ya ile article na kwamba kuna ruhusa ya aliyeyasema, nimekuambia kiongozi kama Zitto hahitajiki kutoa ruhusa akisema amesema, acha kuyeyusha mjinga wewe,
- Eti umesoma shule, shule gani uliyosoma hako ka-degree kamoja ka mungu nisaidie kukamaliza miaka saba! Acha wewe, tihsa wengine mkuu hapa hatutishiki na maneno ya kujisheua sheua, huku ukionyesha ujinga mbona unachagua majibu jibu yote kama umeenda shule kweli,
Sasa naenda kulala, ukinihitaji tena nitafute kesho mjinga wewe, huna shule yoyote waliosoma hawafanyi kazi unayofanya mkuu acha wewe! Bwa! ha! ha! ha! kazi kwenda kujiweka weka michuzi, wanaume tuko hapa tunakata hoja tu hakuna visingizio!
FMEs!
Angalia sana unavyozidi kujivua nguo hadharani mwenyewe mtu mzima .
Angalia sasa FMES unavyojidharaulisha mbele ya kadamnasi.
Nani kaongelea ruhusa? Mtu anayeamini katika freedom of speech kama mimi ninaweza kutoa kauli totalitarian kama za kutaka waandishi wa habari wapewe ruhusa na wanasiasa kuandika habari?
Again, unaonyesha umahiri wako wa kutojua comprehension, mimi naongelea sourcing.Kwamba hao waandishi wenu wamekuja kuokoteza habari kwenye forum, habari ambayo hata mimi au wewe unaweza kuwa umeiandika kwa kutumia jina la Zitto, wakai attribute kwa Zitto. Ruhusa iko wapi hapo?
Usichanganye mimi kusisitiza responsible journalism, by which I mean hata kama Zitto akiwa quoted offguard kwenye kona za bar huko inaweza kuwa sawa, hata kama yeye mwenyewe hataki, usiconfuse hilo (kukosa ruhusa ya Zitto) na swala jingine kabisa la kwamba, waandishi wameokoteza habari hapa bila ya kuwana uhakika kwamba aliyeandika ni Zitto, adui wa Zitto aliyeifuma account ya Zitto imekuwa logged on, au script kiddie aliye kwenye chuo kikuu kimoja huko Norway.
Ninaposema comprehension zero, ninaposema unachemka, si kama napenda kurusha maneno haya kirahisi rahisi tu, maneno yako yanakuonyesha jinsi ulivyo mtupu.Nikisoma sentensi mbili za kwanza tu incoherency kibao, siwezi hata kumaliza post, maana imejaa upupu mtupu.