Tetesi: TANESCO hawataki kuwaunganishia umeme wateja wa Bei ya 27000

Tetesi: TANESCO hawataki kuwaunganishia umeme wateja wa Bei ya 27000

Wakuu Kuna tetesi nilisikia kuwa Tanesco hawataki kuwaunganishia umeme wateja wale waliolipia elfu ishirini na Saba (27000) , eti kisa haikuwa Bei yenye uhalisia.

Wakati nakumbuka hata Rais wakati yupo maeneo ya pale tegeta akiwa kwenye msafara wa kuelekea kaskazini, alisamama nakueleza kuwa serikali inawajali wananchi, na ndiomaana imewapunguzia Bei ya kuunganishiwa umeme, Sasa wanasemaje Ni Bei ambayo haikuwa kwenye uhalisia,inamaana wakati wanaipitisha walilazimishwa na wananchi au Ni wao wenyewe tu walihamua kwa utashi wao?

Huu Kama nikweli ni uhuni kabisa, na saizi nilikuwa namsikiliza mzungumzaji wa Tanesco alikuwa anahojiwa na Kipindi Cha Asubui Cha ITV, akisema eti zile Bei hazikuwa halisi, Sasa sisi zinatuhusu Nini. Mimi nilijenga nyumba yangu, Nikakamilisha kila kitu, na nikaenda Tanesco kutaka umeme, wakanipa bei yao halisi nikalipia. Bei ambayo walipanga wao sio Mimi mteja, na hata ingekuwa milioni inamaana ningelipia tu Kama mteja, maana nisingekuwa na namna,

Sasa hii mshachukua hela za watu, na mshakaa nazo karibia miezi minne Hadi sita, Wengine na hela zenyewe tushamaliza katika ujenzi, leo unamtuambia habari za Bei haikuwa halisi, hiyo Bei mlifosiwa kwani au.

Mimi Kuna bi mkubwa wetu amelipia umeme tangu mwezi wa kumi ni maajabu haya
Hpana mkuu ili siyo la kweli. Wateja waliolipia elfu 27 wanaunganishiwa vizuri tu . Tena hapa Bagamoyo, sema kunaucheleweshaji kidogo sababu ya uchache wa vifaa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
acheni ujinga watu walipe laki tatu na nusu wewe ulipe 27000 hivi hiyo ni gharama ya nini? nauli consultations , waya , mita ama nguzo? maiasha yamepanda nyie mnaongelea vitu vya kufikirika
 
Acheni uzushi,
Mm binafsi nimeunganishiwa nyumba zangu 2 ambazo nilizilipia 27,000.
Ila nililipiaga 2020 May, nikaunganishiwa March 2022.
We mbwiga kweli hawa wote ni watanzania japo nawe ni mtanzania tafakari nimmoja kati ya wangapi. Niliwapigia simu bila aibu wananegotiate rushwa kwa simu miradi hii imefanywa chaka la rushwa na hawa majambazi .rushwa yao kwa sasa ni ya ki institutional
 
Hao TANESCO Ni Wala Rushwa wakubwa kuliko watu wowote nchi hii Bora hata Polisi, huduma mbovu mlungula wanachukua, Makamba weka displine fukuza Wala Rushwa wote usiwaonee huruma, hatuwezi kuwa na shirika kupata huduma utoe hela wakati wanalipwa mishahara mikubwa tu.
Huwajui police wewe
 
We mbwiga kweli hawa wote ni watanzania japo nawe ni mtanzania tafakari nimmoja kati ya wangapi. Niliwapigia simu bila aibu wananegotiate rushwa kwa simu miradi hii imefanywa chaka la rushwa na hawa majambazi .rushwa yao kwa sasa ni ya ki institutional
Tuheshimiane basi,
Mm nimetoa nnachokijua, na ww umetoa unachokijua why tutukanane, what are you trying to impose?
 
Wakuu Kuna tetesi nilisikia kuwa Tanesco hawataki kuwaunganishia umeme wateja wale waliolipia elfu ishirini na Saba (27000) , eti kisa haikuwa Bei yenye uhalisia.

Wakati nakumbuka hata Rais wakati yupo maeneo ya pale tegeta akiwa kwenye msafara wa kuelekea kaskazini, alisamama nakueleza kuwa serikali inawajali wananchi, na ndiomaana imewapunguzia Bei ya kuunganishiwa umeme, Sasa wanasemaje Ni Bei ambayo haikuwa kwenye uhalisia,inamaana wakati wanaipitisha walilazimishwa na wananchi au Ni wao wenyewe tu walihamua kwa utashi wao?

Huu Kama nikweli ni uhuni kabisa, na saizi nilikuwa namsikiliza mzungumzaji wa Tanesco alikuwa anahojiwa na Kipindi Cha Asubui Cha ITV, akisema eti zile Bei hazikuwa halisi, Sasa sisi zinatuhusu Nini. Mimi nilijenga nyumba yangu, Nikakamilisha kila kitu, na nikaenda Tanesco kutaka umeme, wakanipa bei yao halisi nikalipia. Bei ambayo walipanga wao sio Mimi mteja, na hata ingekuwa milioni inamaana ningelipia tu Kama mteja, maana nisingekuwa na namna,

Sasa hii mshachukua hela za watu, na mshakaa nazo karibia miezi minne Hadi sita, Wengine na hela zenyewe tushamaliza katika ujenzi, leo unamtuambia habari za Bei haikuwa halisi, hiyo Bei mlifosiwa kwani au.

Mimi Kuna bi mkubwa wetu amelipia umeme tangu mwezi wa kumi ni maajabu haya
TANESCO

Toeni majawabu mapema mapema
 
Wasiponiunganishia Naapa Sitalipa Tena,Na Utakuwa mwisho wangu kutumia Umeme wa Tanesco Nipo Bagamoyo naona wanaunganishiana wenyewe na mimi wala Siwaulizi wanaipita nyumba yangu wanaunga inayofuata.
 
Tuheshimiane basi,
Mm nimetoa nnachokijua, na ww umetoa unachokijua why tutukanane, what are you trying to impose?
Sorry dist111 nimekengeuka kwa sababu experience yangu juu ya hilo shirika ni hazizidi week 3 . Siwapendi
 
Wasiponiunganishia Naapa Sitalipa Tena,Na Utakuwa mwisho wangu kutumia Umeme wa Tanesco Nipo Bagamoyo naona wanaunganishiana wenyewe na mimi wala Siwaulizi wanaipita nyumba yangu wanaunga inayofuata.
Wafuate usikie W anasemaje wakizingua peleka mahakamani . Contract ishakamilika watakuunganishia ama wakupe compensation .serikali ina upuuzi Mwingi sana
 
Makamba bado anaendelea kulamba asali hapiganii maslahi ya wateja kwenye wizara yake
 
kwaiyo wateja walifosi kwenda kutumbukiza hizo hela kwenye account za Tanesco bila kuandikiwa wakalipie na wao wenyewe Tanesco, kama Ni hivyo wateja Wana makosa wapewe economic cases,

dada we shida yako ningebariki unachosema wewe kuwa January ndio tatizo, kwani January Makamba yeye ndio alipanga au kupangua hizo Bei?? Au huna kumbukumbu
Chief hangaya alisimama katika wilaya moja katika mkoa wa tanga na alisema serikali kwakuwajali imeshusha bei ya kuunganishiwa umeme kwasasa ni tsh27000 huyohuyo hangaya baada ya kuvembewa akasema hii bei haina uhalisia so mkeka uje ule ule wazee wa kukata na kuwasha dk 0 tu wakaweka mtangazo bei elekezi tatizo lipo pale magogoni maana hewa ya pale na chamwino hazifanani
 
Sio kweli waliolipia 27,000 kabla ya bei kubadilishwa wote wataunganishwa ni suala la muda tu demand ilikuwa juu sana yaani wateja waliolipia walikuwa wengi mno tofauti kabisa na vifaa vilivyopo ni sawa umelipa 27k lakini gharama halisi ya vifaa pamoja na mita inazidi 250k unadhani hiyo nyingine wanaipata wapi? Serikali haitoi ruzuku
Mkuu kwani wakati simba mwenye sharubu anatangaza wao hawakujua hilo +hangaya wakati anahubiri kule tanga?hayo yalikuwa maelekezo ya kamati ya bunge bei elekezi iwe 27 ili taaanesikoooo wawe na makusanyo ya kutosha kupitia mauzo ya luku
 
Matapeli wakati wa kampeni vs baada ya kuingia Ikulu:

Wakati wa kampeni:👇😁😁😁

Baada ya kuingia Ikulu:👇🐒🐒🐒
 
Chief hangaya alisimama katika wilaya moja katika mkoa wa tanga na alisema serikali kwakuwajali imeshusha bei ya kuunganishiwa umeme kwasasa ni tsh27000 huyohuyo hangaya baada ya kuvembewa akasema hii bei haina uhalisia so mkeka uje ule ule wazee wa kukata na kuwasha dk 0 tu wakaweka mtangazo bei elekezi tatizo lipo pale magogoni maana hewa ya pale na chamwino hazifanani
Serikali inajichanganya sana
 
Wasiponiunganishia Naapa Sitalipa Tena,Na Utakuwa mwisho wangu kutumia Umeme wa Tanesco Nipo Bagamoyo naona wanaunganishiana wenyewe na mimi wala Siwaulizi wanaipita nyumba yangu wanaunga inayofuata.
mkuu hawa tunawashtaki soon, sio haki, mi nipo Zambia,nikirudi huko nataka nianze mchakato huo
 
Wakuu Kuna tetesi nilisikia kuwa Tanesco hawataki kuwaunganishia umeme wateja wale waliolipia elfu ishirini na Saba (27000) , eti kisa haikuwa Bei yenye uhalisia.

Wakati nakumbuka hata Rais wakati yupo maeneo ya pale tegeta akiwa kwenye msafara wa kuelekea kaskazini, alisamama nakueleza kuwa serikali inawajali wananchi, na ndiomaana imewapunguzia Bei ya kuunganishiwa umeme, Sasa wanasemaje Ni Bei ambayo haikuwa kwenye uhalisia,inamaana wakati wanaipitisha walilazimishwa na wananchi au Ni wao wenyewe tu walihamua kwa utashi wao?

Huu Kama nikweli ni uhuni kabisa, na saizi nilikuwa namsikiliza mzungumzaji wa Tanesco alikuwa anahojiwa na Kipindi Cha Asubui Cha ITV, akisema eti zile Bei hazikuwa halisi, Sasa sisi zinatuhusu Nini. Mimi nilijenga nyumba yangu, Nikakamilisha kila kitu, na nikaenda Tanesco kutaka umeme, wakanipa bei yao halisi nikalipia. Bei ambayo walipanga wao sio Mimi mteja, na hata ingekuwa milioni inamaana ningelipia tu Kama mteja, maana nisingekuwa na namna,

Sasa hii mshachukua hela za watu, na mshakaa nazo karibia miezi minne Hadi sita, Wengine na hela zenyewe tushamaliza katika ujenzi, leo unamtuambia habari za Bei haikuwa halisi, hiyo Bei mlifosiwa kwani au.

Mimi Kuna bi mkubwa wetu amelipia umeme tangu mwezi wa kumi ni maajabu haya
Tunapaswa kuundoa mfumo ccm madarakani mapema ni hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom