TANESCO inakata umeme kutwa viongozi wamekaa kimya. Nchi hii sasa ipo tu hamna dereva

TANESCO inakata umeme kutwa viongozi wamekaa kimya. Nchi hii sasa ipo tu hamna dereva

Mzalendo07

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
71
Reaction score
120
TANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.

Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.

Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
 
Ikulu kuna Back up Genereta za kutosha, The same kwa Waziri mkuu, Makamo wa Raisi na Mawaziri wote, hivyo hakuna anaye hangaika na umeme kukatikanwala haumuhusu, mgao unahusu Kajamba nani
 
Hivi ninavyoongea Tanga wamekata umeme na jana siku nzima hakukuwa na Umeme.

Nimepata taarifa pia Bagamoyo-Pwani wamekata na kumekuwa na trend kila alhamisi wanakata siku nzima.
 
TANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.

Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.

Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
Dereva dhaifu Sana, ni kichaa peke yake anayeweza sema dereva mitano tena
 
Hivi ninavyoongea Tanga wamekata umeme na jana siku nzima hakukuwa na Umeme.

Nimepata taarifa pia Bagamoyo-Pwani wamekata na kumekuwa na trend kila alhamisi wanakata siku nzima.
Wametuona NYANI kaa msituni toka lini NYANI akapewa umeme?
 
Taa-nesko ina mkurugenzi anaitwa maharage unategemea nini. Ila ajabu ni pale hata huyo aliyewateua nae analalamika kuwa mawaziri na watendaji wengine hawawajibiki ipasavyo. Hakuna wa kumfunga paka kengele
 
Back
Top Bottom