Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wananchi tunamtaka maana alikuwa ni mfuatiliaji mzuri snAtayafumua madudu hawawezi kumrudisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi tunamtaka maana alikuwa ni mfuatiliaji mzuri snAtayafumua madudu hawawezi kumrudisha
Wao wamekwambia wanamtaka?Wananchi tunamtaka maana alikuwa ni mfuatiliaji mzuri sn
Mafisadi wote hawamtaki jamaaWao wamekwambia wanamtaka?
Unataka afumue madudu yao?Mafisadi wote hawamtaki jamaa
Shida ndiyo ipo hapoUnataka afumue madudu yao?
Uongozi siyo kugombana na yeyote ni kukubali Hali halisi na kulifanyia kazi kimya kimya. Hatutakinmikurupuko kama ya jiwe na kuua watu bila sababu ya Msingi. Mpaka jpm anakufa ameshaua watu zaidi ya elfu 50 mojakwa moja au kwa prssuere. Mfano ni Nomrodi mkono ambaye account zake zote zilichukuliwa pesa akapararise na kufaTANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.
Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.
Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
Duh mambo ya jpm sijui kifo imeingiaje na shida ya umeme iliyopoUongozi siyo kugombana na yeyote ni kukubali Hali halisi na kulifanyia kazi kimya kimya. Hatutakinmikurupuko kama ya jiwe na kuua watu bila sababu ya Msingi. Mpaka jpm anakufa ameshaua watu zaidi ya elfu 50 mojakwa moja au kwa prssuere. Mfano ni Nomrodi mkono ambaye account zake zote zilichukuliwa pesa akapararise na kufa
Usimtusi waziri koma kabisaTANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.
Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.
Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
JiheshimuNdio mjifunze na mkome, mnachagua vibaka na chama cha vibaka. Wakishapata uongozi kituo cha kwanza Dubai, kufungua akaunti na kupanga deals
Katiba mbaya tuu hakuna aliyemchagua.Ndio mjifunze na mkome, mnachagua vibaka na chama cha vibaka. Wakishapata uongozi kituo cha kwanza Dubai, kufungua akaunti na kupanga deals
Hawa wanajali matumbo yao hawawezi kukusaidia wew ivi ushawahi kujiuliza kwa nini hawakati umeme ikulu alafu huku kwa ngedere na panya ndo wanakata ndo hivyo sasa saiv tunaishi ma serikali ya hovyo sanaTANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.
Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.
Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
Naunga mkono hojaNdio mjifunze na mkome, mnachagua vibaka na chama cha vibaka. Wakishapata uongozi kituo cha kwanza Dubai, kufungua akaunti na kupanga deals
Wameamua kukaa kimyaTANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.
Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.
Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
Kaacha mifupaLicha ya kwenda hata kuongelea hana habari, hii Wizara Makamba kaiua kabisa
Shetani yuleKaacha mifupa