Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Dereva dhaifu Sana, ni kichaa peke yake anayeweza sema dereva mitano tenaTANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.
Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na anaikubali kama ilivyo.
Tuna Viongozi ambao hawajui umuimu wa umeme kwenye kazi za kila siku na kiasi gani cha mapato kinaweza potea. Wao ni kuuza tuu Nchi, jana Mbuga, Leo Bandari. Kesho Madini.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Upo tayari kuingia msituni ?
Km anapita aisome February Maropehii Wizara Makamba kaiua kabisa
Wametuona NYANIDereva dhaifu Sana, ni kichaa peke yake anayeweza sema dereva mitano tena
Wametuona NYANINdio mjifunze na mkome, mnachagua vibaka na chama cha vibaka. Wakishapata uongozi kituo cha kwanza Dubai, kufungua akaunti na kupanga deals
Tapeli sn yuleKm anapita aisome February Marope
Wametuona NYANI kaa msituni toka lini NYANI akapewa umeme?Hivi ninavyoongea Tanga wamekata umeme na jana siku nzima hakukuwa na Umeme.
Nimepata taarifa pia Bagamoyo-Pwani wamekata na kumekuwa na trend kila alhamisi wanakata siku nzima.
Kapiga ufa bwawa aongezewe maokoto bahati mbaya kaondolewa Ila wadau wake bado wapo bodi ya wakurugenzi aliunda yeyeTapeli sn yule
Wametuona NYANI au sio?
Inatakiwa ivunjwe haraka sn bahati mbaya maza anasubiri maelekezo toka kwa JKKapiga ufa bwawa aongezewe maokoto bahati mbaya kaondolewa Ila wadau wake bado wapo bodi ya wakurugenzi aliunda yeye
Ndio hivyo Mzee kipara katolewa ila bado ana backup plan imekaa paleInatakiwa ivunjwe haraka sn bahati mbaya maza anasubiri maelekezo toka kwa JK
Pale arudishwe Kalemani anajua wizi wote wa TANESCO amekulia paleNdio hivyo Mzee kipara katolewa ila bado ana backup plan imekaa pale
Atayafumua madudu hawawezi kumrudishaPale arudishwe Kalemani anajua wizi wote wa TANESCO amekulia pale