TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

Tanesco hawafanyi biashara ipo kutoa service ya umeme kwa raia.. Inatakiwa isijiendeshe kwa hasara na faida ireinvest kuzalisha umeme zaidi
 
Kabla ya yote, kuna haja ya kuboresha mfumo wao wa malipo. Nasema hivi kwa kuwa kuna taasisi kwa ujumla wao zinadaiwa mabilioni ya shilingi, na haionekani kama kuna njia za kuwabana ili walipe. Sasa unachopendekeza kisije kikaliua shirika kabisa.
 
Wazo lako liko nyuma ya Muda sana .
Njia ya Tanesco kupata Faida nikuondoa corruption and embezzlement +ccm chama chakavu
 
..Ushauri wangu kakope kwa wakopeshaji ili ukanunue umeme kwani kuna taasisi zinajinadi kukopesha. La sivyo itafikia hadi kukopa sadaka kanisani pia itakua uzi
Mkuu, itoshe kusema tu ya kwamba hauna hoja zaidi za kupanic. Umepanic sana sasa sijui unampanikia nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…