Kweli ww ni mataga wa kiwango cha PHD.
mita ni mali ya TANESCO na huwezi kuhama nayo.
Mm nimepanga fremu, kumbuka mita iliyofungwa, imefungwa na kusajiliwa jina jingine.
Nimekuja kwako na nimepanga fremu ya duka. Umeme unajitegemea. Siku nakaribia kuondoa nakopa umeme wa laki moja. Muda ukiisha naondoka. Hilo deni nani analipa?
Watanzania ni wagumu sana kulipa madeni. Kuna watu wanadaiwa na voda, tigo, airtel, branch na tala lkn hawajalipa mpaka leo.
Lissu hawezi kuwa na akili za kijinga kama hizi za kwako