Wewe ndiye wamjua Millard... Ikiwemo jamiiforums wangewekaChennels mbalimbali kama zipi??
Wana page yao, hawakuweka?
Redio ulisikiliza hizo siku??
Mnamsubiri millard ayo apost, shauri yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye wamjua Millard... Ikiwemo jamiiforums wangewekaChennels mbalimbali kama zipi??
Wana page yao, hawakuweka?
Redio ulisikiliza hizo siku??
Mnamsubiri millard ayo apost, shauri yenu.
Mzee taasisi kama tanesco sio kama wcb au konde gang.Wewe ndiye wamjua Millard... Ikiwemo jamiiforums wangeweka
Na wana official account humu au hujaiona?Mzee taasisi kama tanesco sio kama wcb au konde gang.
Kuna official page taarifa inatoka, then hao waandichi huzichukua huko kama zina maslahi kwao.
Unadhani ni taarifa ngapi za kiserikali hutoka kwa siku?? Ni ngapi wewe unaziona na kuzisoma na kuzifanyia kazi au kuzipuuza!! Ni chache right!!?
Basi ni kua hao watoa taarifa hawana maslahi na hizo taarifa.
Nimeona.Na wana official account humu au hujaiona?