TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

Ingawa hii issue imepita ukisema walitoa Tangazo mtu anaweza kudhani kwamba walitoa Tangazo kabla ili mtu ajitayarishe..., LAKINI hapa ni kwamba wametoa Tangazo..., Yaani ni kama mtu unaungua moto alafu ushaungua na kuwa majivu ndio alarm ya moto inakwambia KUNA MOTO...

TANESCO Jirekebisheni... This is not Cool !!!!
Hapo ni kama kutoa taarifa ya kuelezea tatizo na si kutoa tangazo la watu kujiandaa in advance kama wafanyavyo kampuni za simu zinapoboresha mifumo Yao ya kifedha
 
Mtandao si umerudi

Uzi ufungwe sasa [emoji1]

Au tuendele kulalamika

Ova
Uzi kufungwa mpaka pale ambapo TANESCO watakuwa hawana excuses tena, nadhani wote tutakuwa tumeshakufa maana sio leo wala kesho🤣
 
Ishu ni kwamba tangazo lilitoka wakati tayari tatizo limeanza, hata kama tungekuwa aware na hayo mambo still isingesaidia Mkuu.
Tangazo lipitoka kabla.
Sikilizeni redio.
Tatizo lenu mnasubiri hadi millard ayo apost.
Matangazo hayo hutolewa mapema asubuhi kwenye vile vipindi vya magazeti redioni.
 
Wangeliweka channels mbalimbali si pages zao tu.
Sema hili tatizo la server yao kubuma limekuwa sugu sijui kwanini wasiwe na backup
Chennels mbalimbali kama zipi??
Wana page yao, hawakuweka?
Redio ulisikiliza hizo siku??

Mnamsubiri millard ayo apost, shauri yenu.
 
Everything about Tanesco is shambolic; minister, BOD, staff, network etc
 
Back
Top Bottom