TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

Acheni kununua lobo lobo, kwani ukinunua wa miezi mitatu unapungukiwa nini? Tubadilike wajameni!
😂Acha masihara mkuu miezi mitatu ukute mita za kuchangia utamtoza nani laki kwa ajili ya umeme
 
Hili Siyo Jipya January Akiwa Waziri Lilitokea
Leo Doto Mashaka Biteko Vyeo Kama Vyote Naye Ndiyo Hivyo Kinehe Mamii
Liishe wapi?watu wanaendelea kupata hasara tu.si unajua mbongo maisha yake ungaunga mwana.mimi najiuliza hvi hili tatizo halijawahi kutokea?mbona nakumbuka lilitokea muda flani.mbona tunaharibiana uchumi jamani.alafu daily mko maeneo YETU mnadai Kodi.
 
Hili Siyo Jipya January Akiwa Waziri Lilitokea
Leo Doto Mashaka Biteko Vyeo Kama Vyote Naye Ndiyo Hivyo Kinehe Mamii
Liishe wapi?watu wanaendelea kupata hasara tu.si unajua mbongo maisha yake ungaunga mwana.mimi najiuliza hvi hili tatizo halijawahi kutokea?mbona nakumbuka lilitokea muda flani.mbona tunaharibiana uchumi jamani.alafu daily mko maeneo YETU mnadai Kodi.
 
Pole, ndo tuache kusubiri mpaka ufike zero ndo tushtuke kununua. Tia full tank yakipungua nusu unajaza tena full, siku sheli zikigoma we unapeta tu.
Huwa najitahidi kununua mwingi tatizo wenye kutakiwa kunipa taarifa kabla haujaisha wanazembea
 
Kwa style hii eti nchi iendelee!😏
Huu mzigo wa kuiendesha nchi ni mzito sana kwa mama kizimkazi.

Sidhani kama Kuna mtanzania mwenye akili zake timamu atathubutu kumpigia kura tena.
 
Back
Top Bottom