Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ebu twende kuleWalitoa tangazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu twende kuleWalitoa tangazo
Pole, ndo tuache kusubiri mpaka ufike zero ndo tushtuke kununua. Tia full tank yakipungua nusu unajaza tena full, siku sheli zikigoma we unapeta tu.Can you imagine tokea asubuhi eti
MPaka saivi bado huduma haijarudi tuendelee kuvuta subiraMpaka dakika hii naona huduma haijarudi Kuna mtu nimemkuta analalamika, au umefanikiwa mkuu
Mbona nimenunua sijapata kitu?Jaribuni kwa M-Pesa inakubali.
😂Acha masihara mkuu miezi mitatu ukute mita za kuchangia utamtoza nani laki kwa ajili ya umemeAcheni kununua lobo lobo, kwani ukinunua wa miezi mitatu unapungukiwa nini? Tubadilike wajameni!
Hata kuandika hujui, lobo lobo ni Nini?Acheni kununua lobo lobo, kwani ukinunua wa miezi mitatu unapungukiwa nini? Tubadilike wajameni!
DuuhM
MPaka saivi bado huduma haijarudi tuendelee kuvuta subira
Lishaisha nmenunua si muda mrefuLete Maneno.....
Je Tatizo Limeisha Ama Tungoje Kesho Tena Tujaribu Bahati Yetu
Mambo Mazuri Kesho Nitanunua Wa Kutosha Mpaka JanuaryLishaisha nmenunua si muda mrefu
Liishe wapi?watu wanaendelea kupata hasara tu.si unajua mbongo maisha yake ungaunga mwana.mimi najiuliza hvi hili tatizo halijawahi kutokea?mbona nakumbuka lilitokea muda flani.mbona tunaharibiana uchumi jamani.alafu daily mko maeneo YETU mnadai Kodi.
Liishe wapi?watu wanaendelea kupata hasara tu.si unajua mbongo maisha yake ungaunga mwana.mimi najiuliza hvi hili tatizo halijawahi kutokea?mbona nakumbuka lilitokea muda flani.mbona tunaharibiana uchumi jamani.alafu daily mko maeneo YETU mnadai Kodi.
Nimenunua sasa hivi ila token sijapata.Hii
Imeanza jana usiku. Sababu jana nilinunua mida ya saa tatu usiku na sikupata token..
Kazi ipoBora wewe Leo Mimi tangu tarehe 6/12. Nimenunua umeme kupitia tigo pesa sijapata tokeni ,nimepiga tigo huduma Kwa wateja hadi nimechoka
Huwa najitahidi kununua mwingi tatizo wenye kutakiwa kunipa taarifa kabla haujaisha wanazembeaPole, ndo tuache kusubiri mpaka ufike zero ndo tushtuke kununua. Tia full tank yakipungua nusu unajaza tena full, siku sheli zikigoma we unapeta tu.
Sio kila mtu ana uwezo wa kununua umeme wa hela ndefu.Acheni kununua lobo lobo, kwani ukinunua wa miezi mitatu unapungukiwa nini? Tubadilike wajameni!
Acheni kununua lobo lobo, kwani ukinunua wa miezi mitatu unapungukiwa nini? Tubadilike wajameni!