TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

Habari wanajamvi,

Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.

Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.

HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
Si waombe Tu msaada kwa wenye wataaam.yaani hitilafu kwenye Luku mnachukua cku nzima?mnajua athari yake kiuchumi?
 
Habari wanajamvi,

Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.

Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.

HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
Nchi ipo ya mikono ya wanyang'anyi
 
Habari wanajamvi,

Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.

Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.

HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
Bora wewe Leo Mimi tangu tarehe 6/12. Nimenunua umeme kupitia tigo pesa sijapata tokeni ,nimepiga tigo huduma Kwa wateja hadi nimechoka
 
Lete Maneno.....
Je Tatizo Limeisha Ama Tungoje Kesho Tena Tujaribu Bahati Yetu
Liishe wapi?watu wanaendelea kupata hasara tu.si unajua mbongo maisha yake ungaunga mwana.mimi najiuliza hvi hili tatizo halijawahi kutokea?mbona nakumbuka lilitokea muda flani.mbona tunaharibiana uchumi jamani.alafu daily mko maeneo YETU mnadai Kodi.
 
Muamala umesitishwa. Pesa zako zimerudishwa kwenye akaunti yako ya Tigo Pesa ombi lako halijafanikiwa. Tafadhali jaribu tena baadae.
 
Back
Top Bottom