Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Tatizo mnafatilia habari za kina harmo kubambia matako tiktok za maana mnapuuza.
Walitoa tangazo.
Walitoa tangazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si waombe Tu msaada kwa wenye wataaam.yaani hitilafu kwenye Luku mnachukua cku nzima?mnajua athari yake kiuchumi?Habari wanajamvi,
Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.
Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.
HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
Wangeliweka channels mbalimbali si pages zao tu.Tatizo mnafatilia habari za kina harmo kubambia matako tiktok za maana mnapuuza.
Walitoa tangazo.
Pole sana aisee...ila watafanya marekebisho kama walivyoahidiNataman kulia mambo yanaharibika hii nchi jamani😭
Imeanza jana usiku. Sababu jana nilinunua mida ya saa tatu usiku na sikupata token..Can you imagine tokea asubuhi eti
Nchi ipo ya mikono ya wanyang'anyiHabari wanajamvi,
Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.
Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.
HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
Bora wewe Leo Mimi tangu tarehe 6/12. Nimenunua umeme kupitia tigo pesa sijapata tokeni ,nimepiga tigo huduma Kwa wateja hadi nimechokaHabari wanajamvi,
Leo tangu saa moja asubuhi najaribu kununua umeme kwa simu inashindikana, baada ya kujaribu mara kadhaa bila mafanikio kwa kutumia Vodacom, nikasema labda Voda wanazingua network.
Nikaopt kununua kwa Tigo, still imeshindikana. Nimepiga simu huduma kwa wateja Tigo wamenambia sio shida yao, means ni TANESCO na system yao ya LUKU. Imagine tangu saa moja mpaka sasa ishu bado haijawa solved.
HII NCHI NI TAKATAKA WALLAH!
Hawa kenge hawajali hilo kikubwa wao wanasubiri mwisho wa mweziSi waombe Tu msaada kwa wenye wataaam.yaani hitilafu kwenye Luku mnachukua cku nzima?mnajua athari yake kiuchumi?
Mpaka dakika hii naona huduma haijarudi Kuna mtu nimemkuta analalamika, au umefanikiwa mkuuThank you my dear, hapa imekula kwangu
Liishe wapi?watu wanaendelea kupata hasara tu.si unajua mbongo maisha yake ungaunga mwana.mimi najiuliza hvi hili tatizo halijawahi kutokea?mbona nakumbuka lilitokea muda flani.mbona tunaharibiana uchumi jamani.alafu daily mko maeneo YETU mnadai Kodi.Lete Maneno.....
Je Tatizo Limeisha Ama Tungoje Kesho Tena Tujaribu Bahati Yetu
We c mnufaika WA mfumo.hujui Maisha halisi ya mtanganyika.sijakosea, MTANGANYIKAAcheni kununua lobo lobo, kwani ukinunua wa miezi mitatu unapungukiwa nini? Tubadilike wajameni!
Bado hujapata token zako mpaka sasa?Hii
Imeanza jana usiku. Sababu jana nilinunua mida ya saa tatu usiku na sikupata token..