Tanesco mwongozo wa gharama mpya ya kuunganisha huduma ya umeme kuanzia tar 5/1/2022

Tanesco mwongozo wa gharama mpya ya kuunganisha huduma ya umeme kuanzia tar 5/1/2022

vile vjj elfu mbili vilivyokuwa bado kupata umeme si ndo Basi Tena,kwa gharama hizi nani huko kjjn ataweza!!?. wale tuliokuwa tunawazodoa wameunganishiwa umeme vijumba vya nyasi chumba kimoja kumbe waliula .najuta bola na mm ningejengaga tu hata Banda la nyasi kwenye eneo langu saiv ningekuwa na umeme wa 27 elf kilaini. Sasa hizi gharama kutokanq na umbali si imekula kwangu!!
 
Ukweli utakuweka huru,
Sii wale walituambia 27,000 ila ukilipa tu imekula kwako yaani utapata umeme baada ya mwaka
Ila sasa wakichelewa na umelipa 500k
Aaah unawashukia tu
 
vile vjj elfu mbili vilivyokuwa bado kupata umeme si ndo Basi Tena,kwa gharama hizi nani huko kjjn ataweza!!?. wale tuliokuwa tunawazodoa wameunganishiwa umeme vijumba vya nyasi chumba kimoja kumbe waliula .najuta bola na mm ningejengaga tu hata Banda la nyasi kwenye eneo langu saiv ningekuwa na umeme wa 27 elf kilaini. Sasa hizi gharama kutokanq na umbali si imekula kwangu!!
Jiandae mkuu
 
Wale wa mita 3 kutoka miundo mbinu gharama zipoje?
 
Hana watoto huyo anakaa kwa shemeji alikoolewa dadake
Ni kweli nimemuoa dada yake na anaishi kwangu, sasa namzimia Wi-Fi ili hata hiku jf asiingie, abaki seblen akiangalia katuni na wajomba zake
 
Ni kweli nimemuoa dada yake na anaishi kwangu, sasa namzimia Wi-Fi ili hata hiku jf asiingie, abaki seblen akiangalia katuni na wajomba zake
[emoji23][emoji23]
 
Jamaa wapo fasta huenda template ilikuwepo kabisa, wameprint tu lakini mbona hawajafafanua kuhusu vijijini?
Alafu anasingizia katikati kuriharibiwa wakati maagizo ni ya kwake.
Huwa nashangaa sana wanaosifia Makamba ni akili kubwa.


View attachment 2069592
Nchi umeshnda apishe kashndwa kudhbit KILA ktu,mfumuko wa bei kodi lukuki HANGAYA MUST GO​
 
Mapato yanatumika ku run shirika katika issues mfano za maintenances, generation, transmission na distribution. Pia kuna gharama za uendeshaji za kawaida zinajulikana haina haja ya kuzitaja.

Pamoja na hilo lakini ujue kuwa Tanesco wao hawauzi nguzo wala vitaa vya umeme. Tanesco ni utility company (shirika linalotoa huduma).

So simply ni kuwa wao huo mchanganuo sio kwaajili ya wewe kununua nguzo au kifaa chochote ni kwaajili ya wewe kupata huduma hiyo.

Hata ukisoma quotation kabla ya kulipia unaambiwa vifaa vyote kuanzia kwenye meter waya mpaka nguzo vinabaki kuwa mali ya shirika na ndio maana hata ikitokea nguzo imeoza au meter imeharibika wa replace wao bila wewe mteja kuingia gharama yoyote.

Hivyo basi muelewe kuwa hamnunui nguzo wala kifaa chochote bali gharama mnazotozwa ni kuchangia ili ufikishiwe huduma ya umeme.
Nguzo na vifaa vyote unavyolipia ni mali ya tanesco!
 
Jamaa wapo fasta huenda template ilikuwepo kabisa, wameprint tu lakini mbona hawajafafanua kuhusu vijijini?
Alafu anasingizia katikati kuriharibiwa wakati maagizo ni ya kwake.
Huwa nashangaa sana wanaosifia Makamba ni akili kubwa.
Kuuliza sio ujinga;- watanzania ambao walikuwa wamelipia service line kwa 27,000/= na kupewa risiti na bado walikuwa hawajafungiwa umeme wataongeza fedha au nini hatoma yao?
 
Hivi kweli hawa tanesco wanaweza kuunganisha umeme kwa sh.27000 na mkashangilia shauri yenu

20220102_184409.jpg
 
Back
Top Bottom