Tanesco mwongozo wa gharama mpya ya kuunganisha huduma ya umeme kuanzia tar 5/1/2022

Tanesco mwongozo wa gharama mpya ya kuunganisha huduma ya umeme kuanzia tar 5/1/2022

Uzuri wale wale walio sifia kuwa bi mkubwa anaupiga mwingi,wale waliokuwa na mimba za chuki za mwendazake na wale waliokuwa wakilalamika mitandaoni "vyuma vimekaza" nao wanalipa bei hiyo hiyo.

Kuna wale nao waliokuwa wakilalamika "nchi haina uhuru wa kujieleza "
Haya sasa kwa mujibu yao wana uhuru wa kujieleza, ila tozo zime ongezeka kimya, bei ya mafuta imeongezeka kimya,mgao wa umeme na maji kimya, kutokana na impact ya ongozeko la mafuta baadhi ya bidhaa zimepanda bei still kimya na leo hii tena TANESCO wameangusha kombora jingine au inawezekana sasa hivi hawa wanaharakati na baadhi ya wanasiasa waliokuwa wakilalamika enzi ya Mwendazake wanaishi Burundi.

Kuna mpuuzi mmoja alisema "acha legacy ijitete " alizani labda mzimu ndio utakao jutetea. Muda ndio una itetea legacy ya Mwendazake.

Ukizingatia shows ya Tanesco ipo chini ya mzee wa Schedule Maintenance, tuwe wapole tu.
 
Nguzo za umeme kwa wakulima kununua haizidi elf 30 kwa mti mmoja.
Hii laki 530000 kwa nguzo moja inakaaje hii
 
Hii imlipangwa mwaka 2021. Kura ulikuwa umeshapiga.

Serikali imeamua kujivua jukumu la kuwahudumia wananchi badala yake sasa wananchi wanajihudumia.
 
kwa kifupi kuweka umeme kwenye nyumba kwa wengi itakuwa anasa. Wengi hawatamudu nilitegemea kungekuwa na bei ambayo ni medium sasa kilakitu ameachiwa mwananchi halafu unaambiwa miundombinu ya umeme inabaki kuwa mali ya TANESCO
Kwa hili Rais afikirie upya . Umeme ni miongoni mwa sekta inayogusa maisha ya mtu moja kwa moja.
Rais mwenyewe wa kufikiria yuko wapi
 
Hii ilikuwa kwa ajili ya watu wa vijijini.

Mwaka jana wakaweka watu wote. Na hii ndio yenye kupigiwa kelele.
 
Ufafanuzi wa gharama unahitajika. Hapa ukweli mteja analipa gharama zote za kuungiwa umeme. Mapato yatokanayo na kuuza umeme yanakwenda wapi?
Mapato yao hayakuhusu, maana na wewe unakuwa ushatumia umeme wao kwenye kiyoyozi, friji, redio, TV, pasi, pampu, taa etc etc na hawakuulizi chochote unapotumia. Ni kama vile umeenda kwa mangi umenunua mchele ukaenda kula na watoto wako halafu bado unataka ujuwe hela aliyoipata mangi kwa wewe kununua mchele kwake anaitumiaje..!!!! HAIPO HIYO..
 
Nguzo za umeme kwa wakulima kununua haizidi elf 30 kwa mti mmoja.
Hii laki 530000 kwa nguzo moja inakaaje hii
Kuna waya, vikombe, yale machuma ya kushikilia waya, kuna kuchimba mashimo, kuna kuweka stay wire, kuna kuu-treat huo mti ili ufae kutumika, kuna kuusafirisha toka kwa mkulima hati unaposimikwa...

Ni sawa na anayechanga mchango wa harusi halafu anahesabu bia na chakula tu alichokula.. anasahau kiti alichokalia kakichangia, MC, muziki, mapambo, ukumbi, vinywaji, usafiri, zawadi kwa maharusi etc
 
Ok
Kuna waya, vikombe, yale machuma ya kushikilia waya, kuna kuchimba mashimo, kuna kuweka stay wire, kuna kuu-treat huo mti ili ufae kutumika, kuna kuusafirisha toka kwa mkulima hati unaposimikwa...

Ni sawa na anayechanga mchango wa harusi halafu anahesabu bia na chakula tu alichokula.. anasahau kiti alichokalia kakichangia, MC, muziki, mapambo, ukumbi, vinywaji, usafiri, zawadi kwa maharusi etc
Vijijini awaelewi hilo watakuambia magu aliwezaje
 
Sasa Magufuli aliwezaje kuwaunganishia umeme watanzania popote pale kwa elfu 27 tu?
Kuna kitu hakipo sawa kwa Samia Suluhu, na kitamuangamiza.
 
IMG-20220105-WA0492.jpg
 
Nikwambie sasa kuwa Magu hakuweza kama ilivyokuwa inasemwa... LEO KAANGALIE FOLENI YA WANAOSUBIRI MITA KWA HIYO 27,000/- It was not practical.. ilikuwa ni mihemko ya kisiasa tu...
Vijijini awaelewi hilo
 
Kwa hiyo wewe unatakaje alafu wewe hii nchi ajakabiziwe chizi kama mwanzo sasa nchi hipo mikononi kwa mtu anaejielewa mwenye hofu ya mungu mwenye huruma kwa binadamu wezie hiyo elfu 27 kwa nchi mzima unadhani tanesco ingekuwa na Hali gani kwa miaka mitano mbele lazima kuwepo na madaraja ya bei ya kuunganishiwa umeme vijijini na mijini. Kama mama aliongea hivyo hakina ndugai wenye strees ya 2025 walimshauli vibaya ili alibikiwe wao wapate cha kuongea lakini kwa uwezo wamungu kawashitukia .kwa ufupi kama hupo mijini lipia bei elekezi na kama hupo vijijini lipia bei elekezi

Wewe humu jf hujaingia mwenyewe lazima kuna mtu amekuunganisha humu.
 
Mkwepe kodi, mkatae mikopo na huduma mtake?Watanzania waache kulalamika kabla hujapiga kelele za kodi we umelipa kiasi gani?
 
Mi nipo DSM na nimelipia jana[04/01/2022] hiyo 27k. Sijui itakuwaje. Ngoja nisubirie
 
Back
Top Bottom