joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Uzuri wale wale walio sifia kuwa bi mkubwa anaupiga mwingi,wale waliokuwa na mimba za chuki za mwendazake na wale waliokuwa wakilalamika mitandaoni "vyuma vimekaza" nao wanalipa bei hiyo hiyo.
Kuna wale nao waliokuwa wakilalamika "nchi haina uhuru wa kujieleza "
Haya sasa kwa mujibu yao wana uhuru wa kujieleza, ila tozo zime ongezeka kimya, bei ya mafuta imeongezeka kimya,mgao wa umeme na maji kimya, kutokana na impact ya ongozeko la mafuta baadhi ya bidhaa zimepanda bei still kimya na leo hii tena TANESCO wameangusha kombora jingine au inawezekana sasa hivi hawa wanaharakati na baadhi ya wanasiasa waliokuwa wakilalamika enzi ya Mwendazake wanaishi Burundi.
Kuna mpuuzi mmoja alisema "acha legacy ijitete " alizani labda mzimu ndio utakao jutetea. Muda ndio una itetea legacy ya Mwendazake.
Ukizingatia shows ya Tanesco ipo chini ya mzee wa Schedule Maintenance, tuwe wapole tu.
Kuna wale nao waliokuwa wakilalamika "nchi haina uhuru wa kujieleza "
Haya sasa kwa mujibu yao wana uhuru wa kujieleza, ila tozo zime ongezeka kimya, bei ya mafuta imeongezeka kimya,mgao wa umeme na maji kimya, kutokana na impact ya ongozeko la mafuta baadhi ya bidhaa zimepanda bei still kimya na leo hii tena TANESCO wameangusha kombora jingine au inawezekana sasa hivi hawa wanaharakati na baadhi ya wanasiasa waliokuwa wakilalamika enzi ya Mwendazake wanaishi Burundi.
Kuna mpuuzi mmoja alisema "acha legacy ijitete " alizani labda mzimu ndio utakao jutetea. Muda ndio una itetea legacy ya Mwendazake.
Ukizingatia shows ya Tanesco ipo chini ya mzee wa Schedule Maintenance, tuwe wapole tu.