white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Bado yupo sana!!Hangaya must go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado yupo sana!!Hangaya must go
Hii ndiyo reality, ile 27,000 ilikua ni ya kuombea kura.
Ninadhani shirika halina pesa za kujiendesha, kuna wajanja wanakula hapo. Kuna umuhimu wa kuwa na cope-rate companies si hizi zinazotegemea ruzuku kutoka serikalini.Sio sahihi, umeme ni biashara yao…. ilipaswa wasambaze bure kisha wauze LUKU.
Big no. It's about how right and wisely you set your priorities.Gharama za kuendesha shughuli za serikali kuu si mchezo.
Hii imlipangwa mwaka 2021. Kura ulikuwa umeshapiga.Hii ndiyo reality, ile 27,000 ilikua ni ya kuombea kura.
Mmh ina maana February naye anataka apewe vidonge vyake? Nani anampotosha nani? Au anamdanganya?
Ufafanuzi wa gharama unahitajika. Hapa ukweli mteja analipa gharama zote za kuungiwa umeme. Mapato yatokanayo na kuuza umeme yanakwenda wapi?Bado TRA na TBS kwa wanaoagiza magari nje
REA ni kwa ajili ya vijijini bado itaendelea kuwa 27,000.Sasa hii kodi ya REA watu wanayokatwa itakuwa inafanya kazi gani kama siyo wizi wa waziwazi na dhuluma kwa wananchi
Mwaka mpya na mambo mapya,,View attachment 2069444View attachment 2069446
Je kura zitakazoanza kupastikaHii ndiyo reality, ile 27,000 ilikua ni ya kuombea kura.
Hivi unajua unachoongea ni kama kuwaambia wananchi kila mtu atengeneze barabara yake..., Mfumo (infrastructure) ni mali ya Tanesco... Mapato endelevu na matumizi ya wateja..., bila kuongeza wigo wa wateja utakosa hizi pesa (kuunganisha wateja ni investment for long term gain) ukizingatia hizo mita na nguzo zitaendelea kuwa mali ya Tanesco daima...Kwa hiyo wewe unatakaje alafu wewe hii nchi ajakabiziwe chizi kama mwanzo sasa nchi hipo mikononi kwa mtu anaejielewa mwenye hofu ya mungu mwenye huruma kwa binadamu wezie hiyo elfu 27 kwa nchi mzima unadhani tanesco ingekuwa na Hali gani kwa miaka mitano mbele lazima kuwepo na madaraja ya bei ya kuunganishiwa umeme vijijini na mijini. Kama mama aliongea hivyo hakina ndugai wenye strees ya 2025 walimshauli vibaya ili alibikiwe wao wapate cha kuongea lakini kwa uwezo wamungu kawashitukia .kwa ufupi kama hupo mijini lipia bei elekezi na kama hupo vijijini lipia bei elekezi
Mawazo ya mama anaamini Kila mtza anasomesha watoto feza ada milioni 12.Kuingiza kwa tsh 27000 ilikuwa mtihani kwa baadhi ya watu hiyo 300k plus wataiweza?Ngoja tuone