mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Mkuu,, tutafika tyu,, hata tozo ilikuwa hivi hivi mwisho wa siku tukayazoea maisha...Kwa hali hii tutafika kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,, tutafika tyu,, hata tozo ilikuwa hivi hivi mwisho wa siku tukayazoea maisha...Kwa hali hii tutafika kweli?
Nikwambie sasa kuwa Magu hakuweza kama ilivyokuwa inasemwa... LEO KAANGALIE FOLENI YA WANAOSUBIRI MITA KWA HIYO 27,000/- It was not practical.. ilikuwa ni mihemko ya kisiasa tu...
Mbona km imeprintiwa Tu steshenari kisha karatasi inapigwa picha na kupostiwa?Tutajuaje km ni tanesco wenyewe
Ni Kama ilikua programmed muda mrefu ila hawakuwa na Nguvu,, imebid mwenye nchi kwa mujibu wa katiba awaboost!!Jamaa walikuwa wameishaandaa tangazo kabisa wanasubiria
Duuu we noma.Mi nipo DSM na nimelipia jana[04/01/2022] hiyo 27k. Sijui itakuwaje. Ngoja nisubirie
Mwendazake anakusalimia , amenituma kuulizia habari za upendo wake kwa taifa lake.Uzuri wale wale walio sifia kuwa bi mkubwa anaupiga mwingi,wale waliokuwa na mimba za chuki za mwendazake na wale waliokuwa wakilalamika mitandaoni "vyuma vimekaza" nao wanalipa bei hiyo hiyo.
Kuna wale nao waliokuwa wakilalamika "nchi haina uhuru wa kujieleza "
Haya sasa kwa mujibu yao wana uhuru wa kujieleza, ila tozo zime ongezeka kimya, bei ya mafuta imeongezeka kimya,mgao wa umeme na maji kimya, kutokana na impact ya ongozeko la mafuta baadhi ya bidhaa zimepanda bei still kimya na leo hii tena TANESCO wameangusha kombora jingine au inawezekana sasa hivi hawa wanaharakati na baadhi ya wanasiasa waliokuwa wakilalamika enzi ya Mwendazake wanaishi Burundi.
Kuna mpuuzi mmoja alisema "acha legacy ijitete " alizani labda mzimu ndio utakao jutetea. Muda ndio una itetea legacy ya Mwendazake.
Ukizingatia shows ya Tanesco ipo chini ya mzee wa Schedule Maintenance, tuwe wapole tu.
Wacheni porojo za kutetea ujinga! Serikali inao uwezo wa kushusha bei ya umeme ikitaka!Kuna waya, vikombe, yale machuma ya kushikilia waya, kuna kuchimba mashimo, kuna kuweka stay wire, kuna kuu-treat huo mti ili ufae kutumika, kuna kuusafirisha toka kwa mkulima hati unaposimikwa...
Ni sawa na anayechanga mchango wa harusi halafu anahesabu bia na chakula tu alichokula.. anasahau kiti alichokalia kakichangia, MC, muziki, mapambo, ukumbi, vinywaji, usafiri, zawadi kwa maharusi etc
Nakwenda Kumuona One Sigala Mtaalam Wa Kiswahili Atupe Jina La KodiKodi iitweje?
Mapato yanatumika ku run shirika katika issues mfano za maintenances, generation, transmission na distribution. Pia kuna gharama za uendeshaji za kawaida zinajulikana haina haja ya kuzitaja.Ufafanuzi wa gharama unahitajika. Hapa ukweli mteja analipa gharama zote za kuungiwa umeme. Mapato yatokanayo na kuuza umeme yanakwenda wapi?
Pamoja na hilo lakini ujue kuwa Tanesco wao hawauzi nguzo wala vitaa vya umeme. Tanesco ni utility company (shirika linalotoa huduma).Nguzo za umeme kwa wakulima kununua haizidi elf 30 kwa mti mmoja.
Hii laki 530000 kwa nguzo moja inakaaje hii
Upo sahihi kabisa mkuu.Mbona km imeprintiwa Tu steshenari kisha karatasi inapigwa picha na kupostiwa?Tutajuaje km ni tanesco wenyewe
Tamko Rasmi Limetoka Uliyoiona Ipo Sahihi SanaUpo sahihi kabisa mkuu.