Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mtu thinking capcity yake ni below 0 unategemea atoe maoni gani? Jana watu wameshupalia vijembe vya Ndugai pekee, Lakini kwangu kauli ya Tozo na gharama za umeme mtalipa tu, ilikuwa kauli ya mtanifanya nini!!Nyie wapumbavu ndio mnaofanya ccm ijifanyie inachotaka
Wadanganyika wanashangilia tu
Kuingiza kwa tsh 27000 ilikuwa mtihani kwa baadhi ya watu hiyo 300k plus wataiweza?Ngoja tuoneHuyu mama angecheza na saikolojia ya watz naona anapingana na magufuli,kama atagombea atachakazwa vibaya sana na upinzani
Cheki hilo tangazo. Acha kujitoa ufahamu.Sukuma gang mmoja kaamua kujitoa fahamu kwenye kikompyuta chake na kuandika upuuzi
Mimi nilishalipia 27,000/= nasubiri mita tu. Itakuwaje?Tembelea ofisi za Tanesco
AsantePole
Ukisoma vizuri wale wa vijijini wanaendelea kulipa ile ile 27kSasa hii kodi ya REA watu wanayokatwa itakuwa inafanya kazi gani kama siyo wizi wa waziwazi na dhuluma kwa wananchi
Sasa kama imeprintiwa na stehenari huyo aliyepiga picha amepata faida gani?Mbona km imeprintiwa Tu steshenari kisha karatasi inapigwa picha na kupostiwa?Tutajuaje km ni tanesco wenyewe