Again a very egoistic comment.Ila naomba ukumbuke kwamba niko huru kuleta chochote JF,usinipangie,wewe sio moderator.Yawasaidie wengine kivipi. Dumb head!
Hata hao wengine wana miguu na akili ya kwenda tanesco. Kwamba wewe ni saint unawaendea tanesco.kila.mtu mwenye tatizo la luku/umeme. Acha kujichosha na kujipa umuhim bila sababu.
leo na kesho mikoa 15 kukosa umemeuzuri kwa sasa umeme kukata ni historia
You really can't see?Uovu umekupofusha,pole.Yawasaidie wengine kivipi. Dumb head!
Hata hao wengine wana miguu na akili ya kwenda tanesco. Kwamba wewe ni saint unawaendea tanesco.kila.mtu mwenye tatizo la luku/umeme. Acha kujichosha na kujipa umuhim bila sababu.
Mkuu huko nimeshapiga weee,lakini wapi,no connection.Hiyo namba ni janga mkuu.Wasiliana nao kupitia,hapa utaulizwa Mkoa,Wilaya,Kata,Mtaa na Ofisi ya karibu ya Tanesco
0748 550 000
customer.service@tanesco.co.tz
communications.manager@tanesco.co.tz
Kama walikua wanakupa 28unit Ina maana ulikua haukatwi kabisa debt ya jengo mana mana umeme wa 10k unapata 23unit na debt 1500.....TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
ni hitilafu ndogondogo mkuuleo na kesho mikoa 15 kukosa umeme
Unajua,maneno mengine mnayotumia myapime.Nina deni?Unaniibia mali yangu halafu siku ikitokea hujaniibia unaniambia nina deni?Yeah,hapo ndipo binadamu mlipofika,mmedanganywa mpaka hata haki zenu mna for go in the name of Sheria zilizotungwa kinyemela ili kuwanyang'anya haki zenu!No not me,I will never give in to such repressive actions.Kama walikua wanakupa 28unit Ina maana ulikua haukatwi kabisa debt ya jengo mana mana umeme wa 10k unapata 23unit na debt 1500.....
So wewe inaonekana ulikua na deni la miez minne Chief
Hata mimi wamenifanyia hivyo hivyo Mkuu. Huu ni wizi mchana kweupe kama hatutapata maelezo ya ziada. Tizama hii receipt..TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
Je wanaoikupa izo 28 unit uwa wanakuinyesha debts wamekata kiasi gan mkuu usipanic sms zako za miez ya nyuma ziangalie vizurUnajua,maneno mengine mnayotumia myapime.Nina deni?Unaniibia mali yangu halafu siku ikitokea hujaniibia unaniambia nina deni?Yeah,hapo ndipo binadamu mlipofika,mmedanganywa mpaka hata haki zenu mna for go in the name of Sheria zilizotungwa kinyemela ili kuwanyang'anya haki zenu!No not me,I will never give in to such repressive actions.
ngija na mie nikinunua mwez huu nitareta mrejesho Mana nimenunua 30/6/24 lbd kuna wizi kweliHata mimi wamenifanyia hivyo hivyo Mkuu. Huu ni wizi mchana kweupe kama hatutapata maelezo ya ziada. Tizama hii receipt..
Malipo yamekamilika.24313772568
9001241831948450357
11.2KWH
1350 0256 0291 4971 9717
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00 01/07/24 19:48
Nikawapigia wakasema itakuwa sikulipa madeni ya nyuma kitu ambacho ni uongo kabisa kwa mujibu wa receipt yangu ya mwezi wa 6 sidaiwi deni lolote la kodi.
Malipo yamekamilika.24313772568
9001241592242185973
1.4KWH
2601 8609 9430 4526 3448
Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 1500.00
TOTAL 2,000.00 07/06/24 22:42
Wangeweka wazi tu.Ng
ngija na mie nikinunua mwez huu nitareta mrejesho Mana nimenunua 30/6/24 lbd kuna wizi kweli
Tupeane pole,ila obviously upo wizi unaoendelea.Receipts hizi zingekuwa hard copies ingekuwa rahisa sana kuwa corner,lakini with soft copies ni vigumu,kwa kuwa ukishaingiza umeme wako unafuta tu message.Nchi hii ni janga jamani,dah!Hata mimi wamenifanyia hivyo hivyo Mkuu. Huu ni wizi mchana kweupe kama hatutapata maelezo ya ziada. Tizama hii receipt..
Malipo yamekamilika.24313772568
9001241831948450357
11.2KWH
1350 0256 0291 4971 9717
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00 01/07/24 19:48
Nikawapigia wakasema itakuwa sikulipa madeni ya nyuma kitu ambacho ni uongo kabisa kwa mujibu wa receipt yangu ya mwezi wa 6 sidaiwi deni lolote la kodi.
Malipo yamekamilika.24313772568
9001241592242185973
1.4KWH
2601 8609 9430 4526 3448
Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 1500.00
TOTAL 2,000.00 07/06/24 22:42
Mbaya zaidi hiyo hela wanayokata wanakwenda kuilia bata huko ughaibuni.Huu ni unyang'anyi uliohalalishwa na sheria,I will never endorse it.