TANESCO: Taarifa Muhimu kwa baadhi ya wateja kwenye Mikoa ya Dar es salaam na Pwani

TANESCO: Taarifa Muhimu kwa baadhi ya wateja kwenye Mikoa ya Dar es salaam na Pwani

Hii technology inaweza kuonekana outed kule kwenye temperament countries nchi za baridi Kali ambapo Maji uganda wakati fulani! Kwa equatorial regions ambapo sisi tumo na jua ni mwanzo mwenga kwa mwaka....!Nashawishika kukuweka kwenye kundi Lile litengenezalo matatizo ili lifaidike na matatizo hayo wakati watu wengi wakiumia kwa matatizo hayo
Mkuu hujasomeka vizuri kabisa, mvua za tanzania hazitabiliki mpaka watu wanakisa kuvuna kisa mvua ndo ulete haya ya kujaza bwawa.......
 
Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.

We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Wats yu solution don't jxt blame
 
Mkuu unaelewa kuhusu vyanzo za uzalishaji umeme? Nuclear energy ya kuzalisha megawatt 10000?????
Umeelewa kweli ulichoandika?

Nchi kama Tanzania unaweza kuzisha umemq wa megawatt 10000 kwa nuclear? Hiki umeandika mbona ni kitu Cha ajabu?
Fafanua uhajabu wake uko wapi nikuletee mifano uone jinsi nchi ndogo Eastern Europe zina plants ndogo umeme kibao.
 
Fafanua uhajabu wake uko wapi nikuletee mifano uone jinsi nchi ndogo Eastern Europe zina plants ndogo umeme kibao.
Kwanza nimekueleza tunategemea zaidi gesi kwenye kuzalisha umeme hadi Sasa.

Pili uzalishaji wa umeme ni mwingi kuliko mahitaji kwa Sasa, tatizo lililopo ni usambazaji

Tatuz kwa Tanzania hatuwezi kutia nuclear kuzalisha umeme, sababu ni gharama kubwa sana wakati tuna gesi na tuna maji.

Naomba mifano hiyo ya nchi za ulaya unazosema pia uweke na gharama za uzalishaji kupitia nuclear. Ahsante
 
Mtu anaanzisha hoja kwa misingi isiyo ushahidi na watu wanatimbwilika,vilaza wengi sana humu
 
Sio kweli mkuu nuclear ni gharama mnoo.
Leta mfano wa mradi wa kuzalisha umeme wa nuclear na gharama zake
Acha kukariri , technology ya ufuaji umeme kwa nuclear ina evolve kila siku siku hizi Small modular reactors ambazo ni cheap , hazihitaji running cost kubwa ,ni safe ,reliable ,rahisi kuhamisha na kufunga ,kuoperate ,hazihitaji kiasi kikubwa cha maji kuoperate kama ilivyo hydroelectric power na pia ni cheap kulinganisha na hydro .
Hizi zinakuwa katika small units za kuzalisha megawati 300 nk ,so let's say tunataka kufunga mradi wa kuzalisha megawatt 3000 ,hapo zinafungwa units 10 Tu ,hiyo gharama ni ndogo kuliko kukimbizana na ujenzi wa mabwawa na kufunga turbine na kuwa na mradi usio reliable ,unaotegemea kuwepo maji ,ni upuuzi sana
Umeme kwa maisha ya leo sio luxury ni necessary commodity .
Namshangaa mduwanzi anayeweza ropoka kwamba hii nchi inajitosheleza kwa umeme ,
Ni mpumbavu pekee asiyejua lolote kuhusu hii sector ndio atakubali ana na wewe .
Advantage ya hizi small reactors ni kwamba unaweza kufunga hata maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma ya umeme ,so kwa njia hiyo hata huduma za kusambaza umeme kwa kutumia pesa nyingi kujenga transmission lines zinaondoka ,yaani kama eneo linahitaji megawati 300 inafungwa hapo unit moja portable ,inafua umeme hapo hamna gharama ya kutandaza manyaya na nguzo kwa umbali mrefu toka kwenye grid ya taifa mpaka kufika huko , gharama za kujenga mifumo ya kusafirisha umeme ni ghali pia
France ni moja ya nchi ambayo imefanikiwa katika hili na wanazalisha umeme wao kwa kutegemea nuclear kwa karibu asilimia 70 na ndio nchi ambayo haikuwa affected Sana pale mrusi aliouacha kusambaza gesi ulaya ,thats means wako energy independent
Na si umeme wa vibaba huu tunaozalisha ,huu ni umasikini ,yaani kufunga hydroelectric power plant moja ya megawati hizo chache ndio iweze kufanya demand ya watu milioni 65 iwe met ,ni upungufu wa akili
Na mkumbuke mahitaji ya nishati ya umeme yanaongezeka kila siku maana watu wanakuja wanafungua viwanda migodi na population inaongezeka kila siku .
Kuzalisha hizi megawatts chache za kwenye grid yetu ni indicator ya umasikini wa akili na umasikini wa mali , energy or power consumption ni indicator strong ya kuonyesha kama nchi inashughuli nyingi za uzalishaji wa kiuchumi na uchumi wake unakua kwa kasi , umeme si kuwasha taa na friji tu huko nyumbani ,umeme ni uchumi kwa dunia ya sasa
 
Acha kukariri , technology ya ufuaji umeme kwa nuclear ina evolve kila siku siku hizi Small modular reactors ambazo ni cheap , hazihitaji running cost kubwa ,ni safe ,reliable ,rahisi kuhamisha na kufunga ,kuoperate ,hazihitaji kiasi kikubwa cha maji kuoperate kama ilivyo hydroelectric power na pia ni cheap kulinganisha na hydro .
Hizi zinakuwa katika small units za kuzalisha megawati 300 nk ,so let's say tunataka kufunga mradi wa kuzalisha megawatt 3000 ,hapo zinafungwa units 10 Tu ,hiyo gharama ni ndogo kuliko kukimbizana na ujenzi wa mabwawa na kufunga turbine na kuwa na mradi usio reliable ,unaotegemea kuwepo maji ,ni upuuzi sana
Umeme kwa maisha ya leo sio luxury ni necessary commodity .
Namshangaa mduwanzi anayeweza ropoka kwamba hii nchi inajitosheleza kwa umeme ,
Ni mpumbavu pekee asiyejua lolote kuhusu hii sector ndio atakubali ana na wewe .
Advantage ya hizi small reactors ni kwamba unaweza kufunga hata maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma ya umeme ,so kwa njia hiyo hata huduma za kusambaza umeme kwa kutumia pesa nyingi kujenga transmission lines zinaondoka ,yaani kama eneo linahitaji megawati 300 inafungwa hapo unit moja portable ,inafua umeme hapo hamna gharama ya kutandaza manyaya na nguzo kwa umbali mrefu toka kwenye grid ya taifa mpaka kufika huko , gharama za kujenga mifumo ya kusafirisha umeme ni ghali pia
Umeandika maelezo mengi yasiyo na maana. Kenya Wana mrado wa kuzalisha umeme kwa nuclear. Wanataka kuanza huo mradi wa kuzalisha megawatt 1000

Gharama ya kuzalisha umeme huo wa mevawatt 1000 ni zaidi ya trillion 10. Kwenye hydro ingekua ni robo ya hiyo pesa

Acha kuandika pumba luwa nuclear ni cheap
 
Umeandika maelezo mengi yasiyo na maana. Kenya Wana mrado wa kuzalisha umeme kwa nuclear. Wanataka kuanza huo mradi wa kuzalisha megawatt 1000

Gharama ya kuzalisha umeme huo wa mevawatt 1000 ni zaidi ya trillion 10. Kwenye hydro ingekua ni robo ya hiyo pesa

Acha kuandika pumba luwa nuclear ni cheap
Soma na uelewe nilichoandika ,nimekwambia kuna SMR hiyo ni modern technology ya nuclear ambayo ni cheap tofauti na ile ya kujenga kinu kikubwa kimoja cha nuclear power plant kama hiyo plan ya wakenya .

Na nimekwambia uangalie pia na reliability ,huwezi kuwa na grid ya taifa ya umeme wa mgao kama hii takataka ya hapa Bongo , Nchi gani ambayo mvua zilikataa tu na grid ya umeme inaanza blackouts na load shedding za nusu siku kama huu upuuzi unaoendelea sasa hivi ? ,,Hapa ninapoongea na wewe hamna umeme humu mtaani ,unajua ni shughuli ngapi za watu zimeathirika na hili ?
Umeme ni wa thamani kuliko mabilioni wanayotumia ccm kuharibu uchaguzi na kununua pikipiki za Samia Nchi nzima .
Hii nchi inahitaji priorities na ndipo hapo tutaendelea kufail
Leo hii unaweza tech giants waje kuwekeza kwenye migodi mikubwa , heavy factories , data centers Na investment kubwa kama hizo kwa umeme huu wa kuungaunga na soltape wa hapa Bongo ?
Data center moja ina consume si chini ya megawati 25-30 tena hiyo ni estimate ya chini
Pata picha
 
Pumbavu soma na uelewe nilichoandika ,nimekwambia kuna SMR hiyo ni modern technology ya nuclear ambayo ni cheap tofauti na ile ya kujenga kinu kikubwa kimoja cha nuclear power plant kama hiyo plan ya wakenya mpumbavu wewe .
Unaandika pumna, hiyo modern technology wewe ndio unaijua Ila Kenya na nchi zingine zote wao hawaijui kuitumia kupunguza gharama za uzalishaji? Mkiwa nyuma ya keyboard mnaongea tu pumba
 
Unaandika pumna, hiyo modern technology wewe ndio unaijua Ila Kenya na nchi zingine zote wao hawaijui kuitumia kupunguza gharama za uzalishaji? Mkiwa nyuma ya keyboard mnaongea tu pumba
Pumba mama yako
Kilaza ! Shut the fvck up !
Kajadili Simba na Yanga ,hii mada ni kubwa kuliko uwezo wako wa akili
 
Nchi za Ulaya na Marekani wanahangaika saivi kutengeneza vyanzo vya umeme vya nyuklia, sisi huku tunapambana na umeme wa maji

Kwa mabadiliko haya ya tabia nchi tukiendelea kutegemea huu umeme wa maji tusitegemee kuondokana na mgao wa umeme kamwe!

Kenya wamepata kibali kutengeneza umeme wa nyuklia. Sisi madini ya Uranium tunayo alafu kila siku tunapoteza mahela kwenye miradi ya umeme wa maji wakati Tume ya Atomic wamekaa tu hawajui hata wafanye nini.

Nchi hii shida ni kuwa na viongozi wasio na akili full stop. Wanaupeo mdogo sana wa kufikiri na kuona mbali.

Wewe ni Muongo.

CANADA wapo site sasa hivi wanajenga bwawa kubwa la umeme kenye thamani zaidi ya mara 4 ya thamani la bwawa letu jipya.

Marekani kwenyewe wanaboresha mabwawa yao kuyaongezea uzalishaji

China na wao wapo kwenye maandalizi wa kujenga bwawa kubwa kuliko yote duniani.


Je hao wote hawana akili ? Hawajui nyuklia ?
 
Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.

We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.

Kama teknoloji ya Hydro dam imepitwa na wakati mbona CANADA wanajenga bwa jipya ?

Mbona USA wanakarabati mabwawa yao na kuyaongeza nguvu ya uzalishaji ?


Screenshot_20241023-203847_Firefox.jpg
 
Kama teknoloji ya Hydro dam imepitwa na wakati mbona CANADA wanajenga bwa jipya ?

Mbona USA wanakarabati mabwawa yao na kuyaongeza nguvu ya uzalishaji ?


View attachment 3153582
Kwanza ungejua kiasi cha umeme Canada inacho zalisha kwenya vyazo vake vya nuclear, na wanahitaji kiasi gani kutimiza mahitaji yao? Jiulize kwanini hawakuanza na HEP kwanza, umeme wa canada inao zalisha kwa solar na Nuclear plant ni mara 100 kwa umeme Tanzania inao tumia yani 1%
 
Unaandika pumna, hiyo modern technology wewe ndio unaijua Ila Kenya na nchi zingine zote wao hawaijui kuitumia kupunguza gharama za uzalishaji? Mkiwa nyuma ya keyboard mnaongea tu pumba
Mkuu ebu waambie wakupe mfano wa hizo reactor portable wanazosema na nchi zinakofanya kazi? Kwanza nchi nyingi wanapiga marufuku matumizi ya nuclear power plant kutokana na matatizo yanayoweza kutokea iwapo kuna shida itatokea kama kimbunga au tetemeko likaharibu plant na kuanza kuvuja. Hizo nchi zilizoendelea ndo zinaongoza kuzipiga marufuku. Na nchi zinazotumia nuclear zinampango wa kuacha kuzitumia.
 
Kwanza ungejua kiasi cha umeme Canada inacho zalisha kwenya vyazo vake vya nuclear, na wanahitaji kiasi gani kutimiza mahitaji yao? Jiulize kwanini hawakuanza na HEP kwanza, umeme wa canada inao zalisha kwa solar na Nuclear plant ni mara 100 kwa umeme Tanzania inao tumia yani 1%
Ushajiuliza kwanini hawaongezi uwezo kwenye kutumia Nuclear plant yaani waongeze plant nyingine kuliko kujenga bwawa? Au wao ni wajinga wana hela za kuchezea tu kujenga HEP? Ebu tupe sababu hasa ya kujenga bwawa badala ya plant ni nini
 
Kwanza ungejua kiasi cha umeme Canada inacho zalisha kwenya vyazo vake vya nuclear, na wanahitaji kiasi gani kutimiza mahitaji yao? Jiulize kwanini hawakuanza na HEP kwanza, umeme wa canada inao zalisha kwa solar na Nuclear plant ni mara 100 kwa umeme Tanzania inao tumia yani 1%

Hivi unaijua dola bilioni 12 ilivyo hela nyingi ?

Hilo bwawa wanalojenga Canada ndio project ya umeme iliyokula hela nyingi kwa canada kuliko project za umeme zote walizowai kufanya.

Umeona wapi Mzungu aweke mabilioni ya dola kwenye umeme ulililopitwa na wakati ?
Screenshot_20241023-203847_Firefox.jpg
 
Back
Top Bottom