Mkuu hujasomeka vizuri kabisa, mvua za tanzania hazitabiliki mpaka watu wanakisa kuvuna kisa mvua ndo ulete haya ya kujaza bwawa.......Hii technology inaweza kuonekana outed kule kwenye temperament countries nchi za baridi Kali ambapo Maji uganda wakati fulani! Kwa equatorial regions ambapo sisi tumo na jua ni mwanzo mwenga kwa mwaka....!Nashawishika kukuweka kwenye kundi Lile litengenezalo matatizo ili lifaidike na matatizo hayo wakati watu wengi wakiumia kwa matatizo hayo
Wats yu solution don't jxt blameTilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.
We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Fafanua uhajabu wake uko wapi nikuletee mifano uone jinsi nchi ndogo Eastern Europe zina plants ndogo umeme kibao.Mkuu unaelewa kuhusu vyanzo za uzalishaji umeme? Nuclear energy ya kuzalisha megawatt 10000?????
Umeelewa kweli ulichoandika?
Nchi kama Tanzania unaweza kuzisha umemq wa megawatt 10000 kwa nuclear? Hiki umeandika mbona ni kitu Cha ajabu?
Nuclear and solar energy cheap en reliableWats yu solution don't jxt blame
Kwanza nimekueleza tunategemea zaidi gesi kwenye kuzalisha umeme hadi Sasa.Fafanua uhajabu wake uko wapi nikuletee mifano uone jinsi nchi ndogo Eastern Europe zina plants ndogo umeme kibao.
Sio kweli mkuu nuclear ni gharama mnoo.Nuclear and solar energy cheap en reliable
Acha kukariri , technology ya ufuaji umeme kwa nuclear ina evolve kila siku siku hizi Small modular reactors ambazo ni cheap , hazihitaji running cost kubwa ,ni safe ,reliable ,rahisi kuhamisha na kufunga ,kuoperate ,hazihitaji kiasi kikubwa cha maji kuoperate kama ilivyo hydroelectric power na pia ni cheap kulinganisha na hydro .Sio kweli mkuu nuclear ni gharama mnoo.
Leta mfano wa mradi wa kuzalisha umeme wa nuclear na gharama zake
Umeandika maelezo mengi yasiyo na maana. Kenya Wana mrado wa kuzalisha umeme kwa nuclear. Wanataka kuanza huo mradi wa kuzalisha megawatt 1000Acha kukariri , technology ya ufuaji umeme kwa nuclear ina evolve kila siku siku hizi Small modular reactors ambazo ni cheap , hazihitaji running cost kubwa ,ni safe ,reliable ,rahisi kuhamisha na kufunga ,kuoperate ,hazihitaji kiasi kikubwa cha maji kuoperate kama ilivyo hydroelectric power na pia ni cheap kulinganisha na hydro .
Hizi zinakuwa katika small units za kuzalisha megawati 300 nk ,so let's say tunataka kufunga mradi wa kuzalisha megawatt 3000 ,hapo zinafungwa units 10 Tu ,hiyo gharama ni ndogo kuliko kukimbizana na ujenzi wa mabwawa na kufunga turbine na kuwa na mradi usio reliable ,unaotegemea kuwepo maji ,ni upuuzi sana
Umeme kwa maisha ya leo sio luxury ni necessary commodity .
Namshangaa mduwanzi anayeweza ropoka kwamba hii nchi inajitosheleza kwa umeme ,
Ni mpumbavu pekee asiyejua lolote kuhusu hii sector ndio atakubali ana na wewe .
Advantage ya hizi small reactors ni kwamba unaweza kufunga hata maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma ya umeme ,so kwa njia hiyo hata huduma za kusambaza umeme kwa kutumia pesa nyingi kujenga transmission lines zinaondoka ,yaani kama eneo linahitaji megawati 300 inafungwa hapo unit moja portable ,inafua umeme hapo hamna gharama ya kutandaza manyaya na nguzo kwa umbali mrefu toka kwenye grid ya taifa mpaka kufika huko , gharama za kujenga mifumo ya kusafirisha umeme ni ghali pia
Soma na uelewe nilichoandika ,nimekwambia kuna SMR hiyo ni modern technology ya nuclear ambayo ni cheap tofauti na ile ya kujenga kinu kikubwa kimoja cha nuclear power plant kama hiyo plan ya wakenya .Umeandika maelezo mengi yasiyo na maana. Kenya Wana mrado wa kuzalisha umeme kwa nuclear. Wanataka kuanza huo mradi wa kuzalisha megawatt 1000
Gharama ya kuzalisha umeme huo wa mevawatt 1000 ni zaidi ya trillion 10. Kwenye hydro ingekua ni robo ya hiyo pesa
Acha kuandika pumba luwa nuclear ni cheap
Unaandika pumna, hiyo modern technology wewe ndio unaijua Ila Kenya na nchi zingine zote wao hawaijui kuitumia kupunguza gharama za uzalishaji? Mkiwa nyuma ya keyboard mnaongea tu pumbaPumbavu soma na uelewe nilichoandika ,nimekwambia kuna SMR hiyo ni modern technology ya nuclear ambayo ni cheap tofauti na ile ya kujenga kinu kikubwa kimoja cha nuclear power plant kama hiyo plan ya wakenya mpumbavu wewe .
Pumba mama yakoUnaandika pumna, hiyo modern technology wewe ndio unaijua Ila Kenya na nchi zingine zote wao hawaijui kuitumia kupunguza gharama za uzalishaji? Mkiwa nyuma ya keyboard mnaongea tu pumba
Eti umeme mwingi na wa kutosha
Nchi za Ulaya na Marekani wanahangaika saivi kutengeneza vyanzo vya umeme vya nyuklia, sisi huku tunapambana na umeme wa maji
Kwa mabadiliko haya ya tabia nchi tukiendelea kutegemea huu umeme wa maji tusitegemee kuondokana na mgao wa umeme kamwe!
Kenya wamepata kibali kutengeneza umeme wa nyuklia. Sisi madini ya Uranium tunayo alafu kila siku tunapoteza mahela kwenye miradi ya umeme wa maji wakati Tume ya Atomic wamekaa tu hawajui hata wafanye nini.
Nchi hii shida ni kuwa na viongozi wasio na akili full stop. Wanaupeo mdogo sana wa kufikiri na kuona mbali.
Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.
We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Kwanza ungejua kiasi cha umeme Canada inacho zalisha kwenya vyazo vake vya nuclear, na wanahitaji kiasi gani kutimiza mahitaji yao? Jiulize kwanini hawakuanza na HEP kwanza, umeme wa canada inao zalisha kwa solar na Nuclear plant ni mara 100 kwa umeme Tanzania inao tumia yani 1%Kama teknoloji ya Hydro dam imepitwa na wakati mbona CANADA wanajenga bwa jipya ?
Mbona USA wanakarabati mabwawa yao na kuyaongeza nguvu ya uzalishaji ?
View attachment 3153582
Mkuu ebu waambie wakupe mfano wa hizo reactor portable wanazosema na nchi zinakofanya kazi? Kwanza nchi nyingi wanapiga marufuku matumizi ya nuclear power plant kutokana na matatizo yanayoweza kutokea iwapo kuna shida itatokea kama kimbunga au tetemeko likaharibu plant na kuanza kuvuja. Hizo nchi zilizoendelea ndo zinaongoza kuzipiga marufuku. Na nchi zinazotumia nuclear zinampango wa kuacha kuzitumia.Unaandika pumna, hiyo modern technology wewe ndio unaijua Ila Kenya na nchi zingine zote wao hawaijui kuitumia kupunguza gharama za uzalishaji? Mkiwa nyuma ya keyboard mnaongea tu pumba
Ushajiuliza kwanini hawaongezi uwezo kwenye kutumia Nuclear plant yaani waongeze plant nyingine kuliko kujenga bwawa? Au wao ni wajinga wana hela za kuchezea tu kujenga HEP? Ebu tupe sababu hasa ya kujenga bwawa badala ya plant ni niniKwanza ungejua kiasi cha umeme Canada inacho zalisha kwenya vyazo vake vya nuclear, na wanahitaji kiasi gani kutimiza mahitaji yao? Jiulize kwanini hawakuanza na HEP kwanza, umeme wa canada inao zalisha kwa solar na Nuclear plant ni mara 100 kwa umeme Tanzania inao tumia yani 1%
Kwanza ungejua kiasi cha umeme Canada inacho zalisha kwenya vyazo vake vya nuclear, na wanahitaji kiasi gani kutimiza mahitaji yao? Jiulize kwanini hawakuanza na HEP kwanza, umeme wa canada inao zalisha kwa solar na Nuclear plant ni mara 100 kwa umeme Tanzania inao tumia yani 1%