Hata sisi ndugu zako tulikuwa tunapinga usiolewe.Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.
We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Hata sisi ndugu zako tulikuwa tunapinga usiolewe.Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.
We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Small size nuclear plant ingezalisha sio chini ya magwatts 10,000. technology tungetumia ya Urusi ulinium tunao......megawat 10,000 ungetosha nchi yote bila kuangaika na Hep ya meggwstts 3000 tu, makandokando mengi gharama kubwa wezi kibao nk......hi nchi haina planners kabisa CCM wenyewe wanaangalia survival yao katika uongozi tu sio maendeleo.
Povu. Unaandika pumna utafikiri dunia nzima wewe peke yako ndio unajua nuclear itanyaje kazi kwa nafuu. Ungekua unajua hiyo technology nchi nyingi zisingeingia gharama kubwa wanazoingiaPumba mama yako
Kilaza ! Shut the fvck up !
Kajadili Simba na Yanga ,hii mada ni kubwa kuliko uwezo wako wa akili
Wakoshishakua na bando tu waandika pumba kadri wanavyojisikiaMkuu ebu waambie wakupe mfano wa hizo reactor portable wanazosema na nchi zinakofanya kazi? Kwanza nchi nyingi wanapiga marufuku matumizi ya nuclear power plant kutokana na matatizo yanayoweza kutokea iwapo kuna shida itatokea kama kimbunga au tetemeko likaharibu plant na kuanza kuvuja. Hizo nchi zilizoendelea ndo zinaongoza kuzipiga marufuku. Na nchi zinazotumia nuclear zinampango wa kuacha kuzitumia.
Tanzania hatuna vyoo na madawati mpaka sasa tutakuwa na uwezo wa kuhudumia mradi wa Nyuklia??Povu. Unaandika pumna utafikiri dunia nzima wewe peke yako ndio unajua nuclear itanyaje kazi kwa nafuu. Ungekua unajua hiyo technology nchi nyingi zisingeingia gharama kubwa wanazoingia
Mkishakua na bando tu mnaandika pumba mmavyotaka
Wakishakua na bando wanaandika pumbaTanzania hatuna vyoo na madawati mpaka sasa tutakuwa na uwezo wa kuhudumia mradi wa Nyuklia??
Kuna watu elimu haijawasaidia bado.
Hizi ndio habari wabongo mnapendaKuna habari kwamba bwawa la umeme maji yameshuka na Kuna mgao wa umeme unaendelea kimya kimya
Uzalishaji umepungua katika bwawa la mwalimu Nyerere
Hii imekaaje tanesco njooni mtujibu
Umeme kukatika asubuhi mpaka jioni je hakuna tatizo la mgao wa umeme?
Why not ?Tanzania hatuna vyoo na madawati mpaka sasa tutakuwa na uwezo wa kuhudumia mradi wa Nyuklia??
Kuna watu elimu haijawasaidia bado.
Sababu wameshakueleza hapo juu na wewe unaleta propanganda zako hapa!Kuna habari kwamba bwawa la umeme maji yameshuka na Kuna mgao wa umeme unaendelea kimya kimya
Uzalishaji umepungua katika bwawa la mwalimu Nyerere
Hii imekaaje tanesco njooni mtujibu
Umeme kukatika asubuhi mpaka jioni je hakuna tatizo la mgao wa umeme?
Wewe bwege tu. Watz sasa wanapata umeme wa uhakika kwa kuwa uzalishaji wa umeme ni wa uhakika na sasa wanaboresha njia za usafirishaji wa umeme kwenda kwa wateja ndio maana ya kukatwa kwa umeme kwa sasa na wala siyo upungufu wa umeme. Wewe endelea kubwatuka tu lakini watz waliowengi wanamkubali Rais Magufuli ile mbaya!!Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.
We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Mbona umeonesha upumbavu mkubwa sana!Tilivo sema kwamba technology ya HEP is outdated ni gharama and unreliable wengi waliona tuna mpinga JPM....huyu jama alikua mkrupukaji kutuingiza gharama zisio za lazima, sijui alipewa je Uraisi.
We angalia mpaka hilo bwawa lianze kufanya kazi kuna unafuu wowote kwenye bei za umeme per unit, kuna hatua ypyote ya maendeleo kiviwanda. Hali ni ile ile, kuongeza deni la taifa bure.
Nchi hii CCM wanaichezea sana!UPANUZI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME CHA KINYEREZI NA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME YA MSONGO WA KILOVOTI 132 KINYEREZI-GONGOLAMBOTO
Ijumaa 15 Novemba, 2024.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kuhusu maboresho ya miundombinu yanayoendelea katika Kituo cha Kinyerezi kwa kuongeza transfoma kubwa ya MVA 175 na upanuzi wa njia ya umeme ya msongo wa kilovolti 132 kutoka Kinyerezi hadi Gongo la mboto.
Maboresho haya yataathiri hali ya upatikanaji wa umeme kwa vipindi tofauti kwa baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Mkuranga, maeneo ya Mbagala, Chanika, Kisarawe, Gongo la mboto na Kipawa, kuanzia Jumamosi alfajiri ya tarehe 16 Novemba 2024 hadi Jumanne jioni ya Tarehe 19 Novemba 2024.
Kufanyika kwa maboresho haya kutawezesha umeme mwingi na wa kutosha unaozalishwa kwa sasa nchini kuwafikia wateja wa mikoa ya Pwani na Dar es Salaam kwa ubora na uhakika.
Shirika linawashukuru kwa uvumilivu wateja wake wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani ambao wataathirika na utekelezaji wa kazi hii muhimu katika kipindi chote ambacho kazi hii itakua inaendelea.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA, TANESCO- MAKAO MAKUU.
DODOMA
www.tanesco.cotz
View attachment 3153077
Ccm ni naniNchi hii CCM wanaichezea sana!
Genge la majambazi.Ccm ni nani