TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere kuwa na nyufa

Kama ni Maharagwandi amepitisha hii bado atatuona ma-chimpanzee !!
 
Hawajajibu suala la nyufa lakin
 
Hapa nishati pana shida.
Tatizo likiibuliwa na wananchi linakanushwa vikali na wanaojifanya kutokuona shida zilizopo.
Rejea uhaba wa mafuta,baada ya siku bei ikapanda.
Umeme kukosekana,baada ya siku mgao.
Hizi nyufa nazo nazipa siku.
 
Yale Yale ya treni ya umeme,,,Mamaeee Tunalaana asee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…