Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo unajuwa kuna deep stateBaada ya masaa machache kutangaza wamekuja na hii tena.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) laahirisha zoezi la kuzima mfumo wa ununuzi wa umeme wa LUKU kama ilivyobainisha saa chache zilizopita.
TANESCO wanaeleza kuwa watatoa taarifa pindi zoezi hili likitaka kutekelezwa kwa wakati mwingine.
Pia Soma: TANESCO kuzima mfumo wa ununuzi LUKU siku nne (Agosti 22 - 25, 2022)
Tangazo lao lilikuwa halieleweki na hivyo kuleta mkanganyiko mkubwa!Baada ya masaa machache kutangaza wamekuja na hii tena.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) laahirisha zoezi la kuzima mfumo wa ununuzi wa umeme wa LUKU kama ilivyobainisha saa chache zilizopita.
TANESCO wanaeleza kuwa watatoa taarifa pindi zoezi hili likitaka kutekelezwa kwa wakati mwingine.
Pia Soma: TANESCO kuzima mfumo wa ununuzi LUKU siku nne (Agosti 22 - 25, 2022)
Hawa tanesco na kipara wao miyeyusho kweli! Huenda wamebadili Nia Yao baada ya kuisoma luku yangu niliyoijaza token saa moja iliyopita ili nikwepe kero za kulala Giza! Wameniharibia bajeti yangu kabisa! Kipara nitakuotesha nywele ipo siku!Baada ya masaa machache kutangaza wamekuja na hii tena.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) laahirisha zoezi la kuzima mfumo wa ununuzi wa umeme wa LUKU kama ilivyobainisha saa chache zilizopita.
TANESCO wanaeleza kuwa watatoa taarifa pindi zoezi hili likitaka kutekelezwa kwa wakati mwingine.
Pia Soma: TANESCO kuzima mfumo wa ununuzi LUKU siku nne (Agosti 22 - 25, 2022)
kwani usiku napo hakuna umuhimu,ni uzembe tu wa wataalamu wetuunarudi pale pale
umesoma tangazo vizuri wamesema ni kuanzia saa 4 usiku mpk saa 1 asubuhi kwa siku 4
sio kwamba HUDUMA haitapatikana kwa SIKU 4 mfululizo
mchana itakuwepo
Akili ndogo ya Januari makamba. Na Rais analiona hili lakini hachukui hatua.Je Tanesco kuzima issue ya LUku hizo tarehe 22-25 ambazo ni siku za sensa hawaoni kama ni tatizo kwa nchi.
Sensa itahtaji umeme muda wote kwenye kila KATA
Unategea wakati wa sensa. Akili ya kichwa au tundu kuu?Namna hii NCHI haiwezi kupiga HATUA
kimaendeleo
kuingikia maamuzi ya SHIRIKA
SHIRIKA linataka kuboresha MFUMO
then SERIKALI mnaleta SIASA katika MAMBO ya TECHNOLOGY
Mifumo ya COMPUTER kupata UPDATE ni muhimu kwa USALAMA wa DATA na kupata UFANISI
SERIKALI iache UNAA kwenye mambo ya MSINGI
Halafu TANESCO imetoa taarifa mapema na imetupa NAFASI mchana tununue USIKU ndio marekebisho
Sijui mnaelewa maana ya usiku wa manane ? Ilipaswa iwe saa nane mpaka saa kumi usiku mwisho hata zikiwa siku nane sio mbaya.unarudi pale pale
umesoma tangazo vizuri wamesema ni kuanzia saa 4 usiku mpk saa 1 asubuhi kwa siku 4
sio kwamba HUDUMA haitapatikana kwa SIKU 4 mfululizo
mchana itakuwepo
OkayBaada ya masaa machache kutangaza wamekuja na hii tena.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) laahirisha zoezi la kuzima mfumo wa ununuzi wa umeme wa LUKU kama ilivyobainisha saa chache zilizopita.
TANESCO wanaeleza kuwa watatoa taarifa pindi zoezi hili likitaka kutekelezwa kwa wakati mwingine.
Pia Soma: TANESCO kuzima mfumo wa ununuzi LUKU siku nne (Agosti 22 - 25, 2022)
Mwaka 2022.... Usitoe watu kwenye mambo ya kitaifa.. tunaangazia mkataba wa bandari.Okay