Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAL must go.FAM must gooooooo
Hakuna anayemkataa Mbowe, wewe tu.Umeelewa sasa kwa nini tunamkataa Mbowe?
Video za wanachama wa mikoa yote hukuziona?Hakuna anayemkataa Mbowe, wewe tu.
Wale ni vijana wakihuni tu, wajumbe wenye akili timamu utaona shughuli yao.Video za wanachama wa mikoa yote hukuziona?
Mamluki wakubwa nyieInadaiwa wanakata umeme na kuwasha mara kwa mara
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa Ukumbini hapo.
Nashauri wazime umeme wa Tanesco wawashe Generator.
Kwi Kwi KwiMamluki wakubwa nyie
Sio muda mwenyekiti anakuwa John cheyoKwi Kwi Kwi
Inadaiwa wanakata umeme na kuwasha mara kwa mara
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa Ukumbini hapo.
Nashauri wazime umeme wa Tanesco wawashe Generator.
Kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu M/kiti fuatilia LIVE - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Umeme hata huku kwetu hamna na siyo leo tuInadaiwa wanakata umeme na kuwasha mara kwa mara
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa Ukumbini hapo.
Nashauri wazime umeme wa Tanesco wawashe Generator.
Kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu M/kiti fuatilia LIVE - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Ndiowamekata tena..?
wawashe jenereta moja kwa moja waachane na umeme wa masimango!Ndio