VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Mkuu taarifa kutoka chombo gani cha habari?Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hakuna cha kucost wala niniNot to play devil's advocate
ila wamesitisha kwa utaratibu upi, hii ya kufuata maagizo tu isije ikawacost huko mbeleni
Kama ile korea ya kim jong uniUsipo Muunga Mkono Rais Magufuli wewe ni Zaidi ya Shetani .
Mungu mpe nguvu zaidi Rais wetu
Hayo niyakoKama ile korea ya kim jong uni
hamna. sema watu sasa wameshiba.Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Nadhani itabidi fedha hizo ziwekwe kwenye ESCROW ACCOUNTHapo JPM amecheza vizuri sana, sasa ni kwamba fedha zote ambazo walitakiwa kulipwa hao IPTL zimesitishwa nadhani wanasubiri rufaa iliyokatwa na TANESCO, kama TANESCO wakishindwa kesi basi fedha hizo walipwe Standard charted tu.
huo mtambo wa IPTL utaifishwe tu, nadhani na IPTL wanaweza kuacha kutuuzia UMEME, hapo ndo patamu ili mkataba uvunjwe tu
Kusitisha malipo doesnt necessarily mean wamevunja mkatabaHakuna cha kucost wala nini
Kila mkataba unakipengele cha kuuvunja