VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
========
Moderator:
JamiiForums imefuatilia na kubaini kuwa taarifa hii ni ya uwongo na hivyo mjadala umefungwa.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
========
Moderator:
JamiiForums imefuatilia na kubaini kuwa taarifa hii ni ya uwongo na hivyo mjadala umefungwa.