Tetesi: TANESCO yadaiwa kusitisha malipo ya mwezi kwa IPTL na wengineo

Tetesi: TANESCO yadaiwa kusitisha malipo ya mwezi kwa IPTL na wengineo

Status
Not open for further replies.
Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......

Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......

Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.

Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...

Ushauri tushushe pia bei ya umeme....

Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Wamiliki Wa iptl wako ndani ya chama cha jpm
 
Tunataka watulipe hizo pesa zote tulizo kua tunawapa hao IPTL hakuma kulindana hizo zote ni kodi zetu wananchi
 
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.

Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hili PEPO linaloitwa IPTL Professor Magu akifanikiwa kuling'oa TANESCO then nitamwamini rasmi na nitampa support kwa 100%.
 
Ccm sasa itapata wapi sasa pesa ya kununulia kufia na kanga za kuwadanganyia wadanganyika? Au itakuwa funded direct from Hazina?
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.

Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
wasiwasi wangu.


BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
Hicho ndicho kinafuata wala si zaidi
 
Hili PEPO linaloitwa IPTL Professor Magu akifanikiwa kuling'oa TANESCO then nitamwamini rasmi na nitampa support kwa 100%.
Sasa mbona lipumba anakula pesa zote za kubana matumizi hamthubutu kumkataza aacha kutumia pesa za walipa kodi kudhoofisha Ukawa na kuua CUF
 
Kwa hili nitaamuunga mkono , lakn sio kusimamisha bali kuvunja mkataba. Maana kusimamisha anytime wataendelea
 
Daaaah asante sana hawa wanyonyaji......

Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......

Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.

Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...

Ushauri tushushe pia bei ya umeme....

Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Haya ndio maneno yanayotakiwa kujadiliwa hapa na sio yale ya akina Lipumba Vs Maalim ambayo hayana tija kwetu,watu wanapotalakiana haifai mtu usiyehusika kuingilia mambo ya ndoa yao
 
Mungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.

Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?

Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha
Hao ndio wanaoongoza uchumi wa nchi yetu na wako karibu mno na moyo kiasi kwamba ukitaka kuwatumbua ni lazima utagusa moyo. Unajua madhara ya kugusa moyo? Mimi simo!
 
Mungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.

Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?

Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha

Aysee!! Km ni kweli Rais wtu ana uchungu na nchi yke!! Safi saaaan,tumwombee,mm wa Kwanza
 
Not to play devil's advocate
ila wamesitisha kwa utaratibu upi? hii ya kufuata maagizo tu isije ikawacost huko mbeleni
Hivi kama sheria zimeabana kote unadhani agizo halitoshi!Au mpak ukawa waingie ikulu ndio watasitisha haya malipo??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom