kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,672
- 3,055
Na 2020 kuna tukio tena. . .!!!hala hala hayo malipo yanayositishwa yasije yakaanzishiwa ESCROW nyingine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na 2020 kuna tukio tena. . .!!!hala hala hayo malipo yanayositishwa yasije yakaanzishiwa ESCROW nyingine!
Shetani amegoma kuilipa IPTL
Wamiliki Wa iptl wako ndani ya chama cha jpmDaaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
Ushauri tushushe pia bei ya umeme....
Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Hili PEPO linaloitwa IPTL Professor Magu akifanikiwa kuling'oa TANESCO then nitamwamini rasmi na nitampa support kwa 100%.Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo.
Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu, utata unaoigubika mikataba ya makampuni hayo na hasa katika utekelezaji wake. IPTL imekuwa kiini cha migogoro ihusuyo TANESCO kwa miaka kadhaa sasa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hicho ndicho kinafuata wala si zaidiwasiwasi wangu.
BAADA YA KUSITISHA HAO JAMAA WASIJE KWENDA MAHAKAMANI NA KUSHINDA KESI KISHA TAIFA LIKAINGIA GHARAMA ZA KULIPISHWA MABILIONI YA SHILINGI. NI HAYO TU
Pesa anayokula lipumba toka kwa mkulu ni kubwa kuliko ya IPTLTunataka watulipe hizo pesa zote tulizo kua tunawapa hao IPTL hakuma kulindana hizo zote ni kodi zetu wananchi
Sasa mbona lipumba anakula pesa zote za kubana matumizi hamthubutu kumkataza aacha kutumia pesa za walipa kodi kudhoofisha Ukawa na kuua CUFHili PEPO linaloitwa IPTL Professor Magu akifanikiwa kuling'oa TANESCO then nitamwamini rasmi na nitampa support kwa 100%.
Kwa lipi nimuunge mkono au hiyo tetes?Usipo Muunga Mkono Rais Magufuli wewe ni Zaidi ya Shetani .
Mungu mpe nguvu zaidi Rais wetu
Tunawataka walioingia mikataba hiyo
Haya ndio maneno yanayotakiwa kujadiliwa hapa na sio yale ya akina Lipumba Vs Maalim ambayo hayana tija kwetu,watu wanapotalakiana haifai mtu usiyehusika kuingilia mambo ya ndoa yaoDaaaah asante sana hawa wanyonyaji......
Magufuli akifanikisha hili nitamuunga mkono kwa Mara ya kwanza......
Sina utani katika vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni huu mkataba wa kishenzi sana.
Tuungane kupinga hii mikataba ya kulinyonyaji katika taifa letu...
Ushauri tushushe pia bei ya umeme....
Ingia kote kabisa wafulumushe mafisadi hii nchi waliigeuza shamba lao pekee.....
Hao ndio wanaoongoza uchumi wa nchi yetu na wako karibu mno na moyo kiasi kwamba ukitaka kuwatumbua ni lazima utagusa moyo. Unajua madhara ya kugusa moyo? Mimi simo!Mungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.
Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?
Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha
Kumuunga mkono kwenye nini?Usipo Muunga Mkono Rais Magufuli wewe ni Zaidi ya Shetani .
Mungu mpe nguvu zaidi Rais wetu
Escrow si CCM walikubaliana kwamba hazikuwa za umma wakagawana?Nadhani itabidi fedha hizo ziwekwe kwenye ESCROW ACCOUNT
Mungu Mkubwa, JAMANI Huyu mdudu IPTL hivi atakwisha lini? Rais JPM naomba uanze Kunyonga watu hasa wale waliosaini mkataba wa kuiongezea muda kampuni hii kinyume cha mkataba.
Hili lidudu IPTL ni la nani? kwa nini linaisumbua nchi hivi?
Tena ikibidi JPM Angusha Kombora kwenye mitambo yao tu kama hujuma, tumechoka, nimechoka, bora nchi iwe na mgao kuliko kuwa na hili lidubuwasha
Hivi kama sheria zimeabana kote unadhani agizo halitoshi!Au mpak ukawa waingie ikulu ndio watasitisha haya malipo??Not to play devil's advocate
ila wamesitisha kwa utaratibu upi? hii ya kufuata maagizo tu isije ikawacost huko mbeleni