Hapa nakubaliana na wewe, na yeye anapaswa kuwa raisi. Ila Hadi Sasa kaonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye kuzungumza na kujua mambo mbalimbaliJamaa wa mfumo dume wanataka kumnyanyapaa SSH kwa jinsia yake na ndio hawa aliowasema siku ile ikulu kwamba wanasema yeye ni rais wa mpito.
Imekula kwao mazima, huyu ni mpaka 2025 Oktoba na akichanganya vyema karata zake ni mpaka 2030 Mungu akituweka hai.
Siku 10 ni Nyingi sana hasa kwa wanaotegemea Umeme Kujiingizia kipato kwa siku,..Tuwe wavumilivu si wameleza sababu na kwa muda wa siku 10 tu
MUulize MakambaKwani bwawa la Nyerere litajaa lini?
Ongeza 0 moja!Siku 10 ni Nyingi sana hasa kwa wanaotegemea Umeme Kujiingizia kipato kwa siku,..
Sio ukame tena? Au mitambo kutofanyiwa service kwa kuogopa kufukuzwa kazi?Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 kwa nchi nzima ili kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Mgao huo utaanza Februari Mosi hadi 10 mwaka huu.
========
TANESCO KUFANYA MABORESHO KWENYE VITUO VYAKE VYA UZALISHAJI UMEME VYA KINYEREZI I NA UBUNGO III
Katika jitihada za kuboresha upatikanaji wa umeme nchini, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linaendelea na maboresho kwenye vituo vyake vya uzalishaji umeme vya Kinyerezi I itakayozalisha megawati 185 na Ubungo III megawati 112.
Akizungumza na wanahabari leo Januari 28, 2022 Mkurugenzi mkuu wa Shirika hilo, Maharage Chande amesema mpaka sasa uzalishaji kutoka mitambo ya Ubungo III umefikia Megawati 60 ambazo tayari zimeunganishwa kwenye gridi ya Taifa.
Amesema kwa sasa kazi ya kupanua kituo cha Kinyerezi I inaendelea na megawati 70 za awali zitaingia kwenye mfumo wa gridi mwezi Aprili 2022 na ifikapo mwezi Agosti 2022 kazi hiyo itakuwa imekamilika na kupelekea Kituo cha Kinyerezi I ambacho sasa kinazalisha megawati 150 kuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 335.
ββMitambo hii inayoongezwa ili iweze kuzalisha umeme, inapelekea mahitaji ya gesi asilia kuongezeka ambapo inalazimu kufanya uboreshaji wa mfumo wa gesi kwenye mifumo ya TPDC (Tanzania Petroleum Development Company) na PAET (Pan African Energy Tanzania)ββ amesema Maharage.
Aliongeza kuwa zoezi la uboreshaji litafanyika kwenye visima vya gesi vilivyopo Songosongo kuanzia tarehe 01 hadi 10 Februari 2022, ambapo kukamilika kwake kutahakikisha gesi ya ziada inayohitajika inapatikana.
Hivyo utekelezaji wa maboresho hayo utapelekea mapungufu ya gesi kwenye mitambo ya kuzalishia umeme wa gesi asilia na kulazimika kuzimwa kwa baadhi ya mitambo ili kupisha zoezi hilo muhimu.
Sambamba na matengenezo hayo, hali hiyo itasababisha upungufu wa uzalishaji umeme na kuathiri baadhi ya maeneo, amesema wananchi watapata taarifa za makatizo ya umeme kama zitakavyotolewa na mikoa husika.
Maboresho hayo kwenye vituo vya vya uzalishaji umeme vya Kinyerezi I na Ubungo III yatasaidia kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini na kupunguza malalamiko ya wateja ya kutokuwa na umeme wa uhakika na unaotabirika.
TANESCO
Hivi maboresho waliyokuwa wanadai wanafanya majuzi yalikuwa maboresho gani? Hadi wakamsingizia Magufuli kuhusu uchakavu wa miundo mbinu?Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 kwa nchi nzima ili kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Mgao huo utaanza Februari Mosi hadi 10 mwaka huu.
========
TANESCO KUFANYA MABORESHO KWENYE VITUO VYAKE VYA UZALISHAJI UMEME VYA KINYEREZI I NA UBUNGO III
Katika jitihada za kuboresha upatikanaji wa umeme nchini, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linaendelea na maboresho kwenye vituo vyake vya uzalishaji umeme vya Kinyerezi I itakayozalisha megawati 185 na Ubungo III megawati 112.
Akizungumza na wanahabari leo Januari 28, 2022 Mkurugenzi mkuu wa Shirika hilo, Maharage Chande amesema mpaka sasa uzalishaji kutoka mitambo ya Ubungo III umefikia Megawati 60 ambazo tayari zimeunganishwa kwenye gridi ya Taifa.
Amesema kwa sasa kazi ya kupanua kituo cha Kinyerezi I inaendelea na megawati 70 za awali zitaingia kwenye mfumo wa gridi mwezi Aprili 2022 na ifikapo mwezi Agosti 2022 kazi hiyo itakuwa imekamilika na kupelekea Kituo cha Kinyerezi I ambacho sasa kinazalisha megawati 150 kuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 335.
ββMitambo hii inayoongezwa ili iweze kuzalisha umeme, inapelekea mahitaji ya gesi asilia kuongezeka ambapo inalazimu kufanya uboreshaji wa mfumo wa gesi kwenye mifumo ya TPDC (Tanzania Petroleum Development Company) na PAET (Pan African Energy Tanzania)ββ amesema Maharage.
Aliongeza kuwa zoezi la uboreshaji litafanyika kwenye visima vya gesi vilivyopo Songosongo kuanzia tarehe 01 hadi 10 Februari 2022, ambapo kukamilika kwake kutahakikisha gesi ya ziada inayohitajika inapatikana.
Hivyo utekelezaji wa maboresho hayo utapelekea mapungufu ya gesi kwenye mitambo ya kuzalishia umeme wa gesi asilia na kulazimika kuzimwa kwa baadhi ya mitambo ili kupisha zoezi hilo muhimu.
Sambamba na matengenezo hayo, hali hiyo itasababisha upungufu wa uzalishaji umeme na kuathiri baadhi ya maeneo, amesema wananchi watapata taarifa za makatizo ya umeme kama zitakavyotolewa na mikoa husika.
Maboresho hayo kwenye vituo vya vya uzalishaji umeme vya Kinyerezi I na Ubungo III yatasaidia kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini na kupunguza malalamiko ya wateja ya kutokuwa na umeme wa uhakika na unaotabirika.
TANESCO
Ragojin The IdiotKweli kazi na iendelee...kuna siku jina Joseph John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu. Siku sio nyingi sana....maana naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu
π π π π π πInahusianaje? wamesema sababu ya mgao? Sio kila sababu ni hujuma au kwakua fulani hayupo!!.........................
Umeanza mapambio mwishoni ukajishtukia kua hakuna aijuaye kesho.Hayo yakusemea viongozi muda wakuongoza ni ujinga.Yeye atimize wajibu wake nasisi wananchi tutimize wajibu wetu.mambo yakipambe yakuamulia wananchi nakumpangia Mungu muache.Jamaa wa mfumo dume wanataka kumnyanyapaa SSH kwa jinsia yake na ndio hawa aliowasema siku ile ikulu kwamba wanasema yeye ni rais wa mpito.
Imekula kwao mazima, huyu ni mpaka 2025 Oktoba na akichanganya vyema karata zake ni mpaka 2030 Mungu akituweka hai.
Mwezi wa kwanza Marope ana mikwala, mara "wafanyakazi walikuwa hawafanyi kazi kwakuwa walikuwa wanakalipiwa......",mara hoo "umeme ulikuwa haukatiki kipindi cha nyuma sababu walikuwa hawafanyi SCHEDULE MAINTENANCE..",ngojera nyingi vitendo hamna.Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 kwa nchi nzima ili kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Mgao huo utaanza Februari Mosi hadi 10 mwaka huu.
========
TANESCO KUFANYA MABORESHO KWENYE VITUO VYAKE VYA UZALISHAJI UMEME VYA KINYEREZI I NA UBUNGO III
Katika jitihada za kuboresha upatikanaji wa umeme nchini, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linaendelea na maboresho kwenye vituo vyake vya uzalishaji umeme vya Kinyerezi I itakayozalisha megawati 185 na Ubungo III megawati 112.
Akizungumza na wanahabari leo Januari 28, 2022 Mkurugenzi mkuu wa Shirika hilo, Maharage Chande amesema mpaka sasa uzalishaji kutoka mitambo ya Ubungo III umefikia Megawati 60 ambazo tayari zimeunganishwa kwenye gridi ya Taifa.
Amesema kwa sasa kazi ya kupanua kituo cha Kinyerezi I inaendelea na megawati 70 za awali zitaingia kwenye mfumo wa gridi mwezi Aprili 2022 na ifikapo mwezi Agosti 2022 kazi hiyo itakuwa imekamilika na kupelekea Kituo cha Kinyerezi I ambacho sasa kinazalisha megawati 150 kuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 335.
ββMitambo hii inayoongezwa ili iweze kuzalisha umeme, inapelekea mahitaji ya gesi asilia kuongezeka ambapo inalazimu kufanya uboreshaji wa mfumo wa gesi kwenye mifumo ya TPDC (Tanzania Petroleum Development Company) na PAET (Pan African Energy Tanzania)ββ amesema Maharage.
Aliongeza kuwa zoezi la uboreshaji litafanyika kwenye visima vya gesi vilivyopo Songosongo kuanzia tarehe 01 hadi 10 Februari 2022, ambapo kukamilika kwake kutahakikisha gesi ya ziada inayohitajika inapatikana.
Hivyo utekelezaji wa maboresho hayo utapelekea mapungufu ya gesi kwenye mitambo ya kuzalishia umeme wa gesi asilia na kulazimika kuzimwa kwa baadhi ya mitambo ili kupisha zoezi hilo muhimu.
Sambamba na matengenezo hayo, hali hiyo itasababisha upungufu wa uzalishaji umeme na kuathiri baadhi ya maeneo, amesema wananchi watapata taarifa za makatizo ya umeme kama zitakavyotolewa na mikoa husika.
Maboresho hayo kwenye vituo vya vya uzalishaji umeme vya Kinyerezi I na Ubungo III yatasaidia kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini na kupunguza malalamiko ya wateja ya kutokuwa na umeme wa uhakika na unaotabirika.
TANESCO
Naona wenye chuki za Mimba za Magu watakuvamia mda si mrefu.Kweli kazi na iendelee...kuna siku jina Joseph John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu. Siku sio nyingi sana....maana naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu
Kila Kiongozi aliyepita anakumbukwa na jamii flani ya waTanzania kwa mazuri na mabaya yake, si yeye tu wote waliopita....π π π π π π
Wajinga ndio waliwao....hakuna kitu ambacho kinakosa sababu. Hata kutokatika umeme wakati wa JPM kulikuwa na sababu. Uzuri ni kuwa demokrasia inaruhusu kufikiria na kuamua unachotaka, ili mradi huvunji sheria. Mimi naamini kabisa JPM will be honored in the due course...muda mwalimu mzuri sana
Kwa Nchi zilizoendelea....Kukosekana kwa umeme kwa Siku 10 Kwa Nchi zilizoendelea inamaana hata Uchumi wa Nchi Utayumba
Nchi haina Kiongozi hii Wanakula kwa urefu wa Kamba Yao