TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

Sawa watengeneze ila baada ya hizo siku 10 hatutaki kusikia Mgao tena.
 
Kwani stock ya majenereta haikuisha wakati wa JPM?
Hakuna swala la genereta. Mafuta lita 1 ni zaidi 2500 utazalisha nini uwezu kutengeneza faida, ni makampuni machache yanayomudu majenereta
 
Trillions zilizokopwa zikawekwa kwenye bomba la gesi ina maana hazijaleta nafuu yoyote ? Imekuwa ni hasara tupu?!
Hilo mimi silijui. Ila naongelea mabadiliko ya hali ya hewa ambayo kwakweli ni tatizo
 
Watanzania mmejaa lawama hadi kero.
Mliletewa umeme mfululizo bila kukatika tena kwa ada yakuunganishiwa kwa sh 27000 mkasema hamtaki hayo mnataka democrasia.
Leo tena mnalalama. Chui jike, Kikwete, Makamba & co pigeni kazi achaneni na hawa kenge wasionajema!
 
Back in 2019 Arusha umeme haukuwa ukikatika hovyo na siku ukikatika ni haukai sanaa unarudi mpaka nikawa nawadodorishia home ‘Dar… ila sahivi cha moto tunakipata.

Huwa nashindwa kuelewa tunakwama wapi
 
Kaombe msamaha kwenye kaburi lake.
Nyie ndio mlishiriki kuirudisha hii nchi nyuma.
Mlimsimanga mwendazake na kumzushia uongo na mwisho alipofariki mkafanya sherehe mkagonga mivinyo na kuchoma minyama leo mnalialia nini? Mmeendelea kumtukana hadi akiwa marehemu, Mungu hataacha hili lipite lazima lilipwe.
Tuacheni wanyonge tuendelee kumkumbuka Jembe letu.
Mungu akupumzishe kwa amani JPM
Hakika vita ulipigana. Kumbukumbu lako halitatoka kwetu daima.
 
Na bado 2025 tunaeachagua tena watuongoze. Watanzania kama tuna laana hivi[emoji3064]
 
Wajanja wapo kazini, Majenereta ya TANESCO yanayotumia mafuta yaliyopigwa marufuku enzi za Magufuli nasikia yameshaanza kuwashwa tayari.
 
Mbowe yuko mahakamani kwa Kesi ya ugaidi, pamoja na wenzake wanne,Shutuka wwe Mangi, inaonekana ulikuwa na chuki sana na Magufuri
Tena Funza waendelee kummalizia huko aliko kama bado hajaisha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…