Tanga: Afisa Upelelezi ashikiliwa na Polisi kwa kudaiwa kuwaachia huru Watuhumiwa wa uhujumu uchumi

Tanga: Afisa Upelelezi ashikiliwa na Polisi kwa kudaiwa kuwaachia huru Watuhumiwa wa uhujumu uchumi

23 October 2022
Tanga, Tanzania

Moto Wateketeza Ghala la Kuhifadhia Magendo , RC wa Tanga Afika Eneo la Tukio

Changamoto kibao zilijitokeza kwani funguo hazikupatikana la ghala kwa wakati. Ikabidi ukuta kuvunjwa ...
Source : millard ayo
Katika comment yangu ya awali niliuliza, yawezekanaje OC CID kutoa dhamana kesi kubwa kama hiyo pale Tanga mjini bila RCO/RPC kujua? Baada ya huu Moto mtakubaliana Nami kwamba OC CID alitolewa Kafara, kuna watu juu yake.
 
Back
Top Bottom