raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Unajikuta upo kwenye likesi la mabilioni wakati wewe hukula hata mia πHuko TPA utakuta kuna likesi la mabilioni kupotea na ukijicheki hata kumi huna .. watu wanajiua wengine presha zinapanda
Kakosa amani ya moyo labda kasomesha mtuJamaa yupo kwenye ajira nono ....afu anajiua ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweliii upele humuota asiyena kucha
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kivipi tenaKwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
Kila siku mbona wanatangazawatangaze nafasi ya kazi sasa
[emoji1787]watangaze nafasi ya kazi sasa
Saiv tukiona mtu amekufa na mfanyakazi tunaenda kwenye taasisi husika kuomba kaziwatangaze nafasi ya kazi sasa
Hizi za mabilioni Huwa hawafungwi.Jela uogopa mafisadiUnajikuta upo kwenye likesi la mabilioni wakati wewe hukula hata mia π
Hzi Dili ukiwa mzalendo ni lazima wakurushe.Hii habari ina ukakasi sana, ukute karushwa na watu ambao aidha walimuwinda kwasababu ya masuala ya kodi au kuna watu wamepiga hela nyingi kwa jina lake wakaamua kumu- eliminate
Hata wakifa wote ofisi ni sawa na hospital haikosi wagonjwa.Sasa unadhani inakuaje π kazi ziendelee ofisi nayo isije kufa
Yesu alishanukuliwa kwenye biblia akisema hao wanatangulia:Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
Kufa kufaana sioπππwatangaze nafasi ya kazi sasa
Sio mizimu ya ukoo tu hata mizimu ya kizungu inayoitwa watakatifu inaweza ikakuwindaHata kama uko kwenye ajira Ibilisi pamoja na mizimu ya ukoo haishindwi kukufuatilia....
Kuna dogo mmoja enzi za Magu pale Butimba alikuwa analia kama mtoto mdogo.. kesi ya jamaa wa TPA aliunganishwa wakati hakula kitu. Yeye alikuwa mtu wa kutumwa. Bahati mzuri wahusika wakuu walimlipia plea bargain akatoka.Unajikuta upo kwenye likesi la mabilioni wakati wewe hukula hata mia π
MchongoMfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
watangaze nafasi ya kazi sasa
Sidhani maana amekaa siku10 Hotel, mind you sio gest wa Lodge. huyu kuna jambo kafanyiwa, huwenda kafumaniwa akapakwa mafuta na kurekodiwa