Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Tuwe wakweli ndugu zetu wanapungufu sana, na wala hawafungi kweli ,mana usiku mzima wanashinda wanakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja alikuwa anakunywa maji.Walikua kwenye mfungo mtukufu
alikua anakazia swaumuMmoja alikuwa anakunywa maji.
Ila hapo ukichunguza utakuta mfupi Kati Yao ndo aliyekuwa mkorofi....wanaume wafupi wanapenda sana ukorofi na ugomvi.alikua anakazia swaumu
Don't take it personally,ni haramu lakini zisiwe sababu za kipumbavu zitokanazo na amri za imani.kwani wakristo wanaoua kwa sababu mbalimbali huwa hawafundishwi kwamba mauaji ni haramu?
Unawatafuta ugomviKuombwa maji akiwa kafunga ni dhambi, Ila kumchoma mwenzie kisu na kumuua sio dhambi. Hao ndio wavaa kobazi
warabu ni watu fulani powa sana,huwa hawana imani hizi za kipuuzi,ukikutana na warabu wa Tandare kwa Tumbo sasa !!!Kuna mwingine akiwa kwenye mfungo sio kwamba anajiona yeye ni muislamu tu anajiona yeye ni mwarabu tena mwarabu toka Saudi Arabia. Unamuua mwafrika mwenzio kisa dini ya waarabu
Lakini inasemekana kuwa mwezi wa ramadhani shetani anafungwa minyororoIla ukiwa umefunga shetani hua anakuja kukuletea majaribu mengi sana kukupima imani yako.
Jamaa ni msikivu sana,na ana utu sana! Alafu ni kipande Cha Mtu,nilishapitaga kwa office yake pale Tanga police Mkowani!!!Huyo Kamanda wa Polisi mbona anaongea kwa busara na hekima kubwa sana huku akionyesha kusikitishwa na hili tukio?
Muislamu yupo tayari kupata dhambi ya kuua lkn sio dhambi ya kula kitimotoKuombwa maji akiwa kafunga ni dhambi, Ila kumchoma mwenzie kisu na kumuua sio dhambi. Hao ndio wavaa kobazi
Maskini nzize!!!!!Dini ya amani imestrike tena