Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii iliyopo hapo or jamii zilizopo ni tatizoMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Tanga ni mkoa wa 5 kwa uchumi na uchumi wake hauja tofauti ana sana na mkoa wa 4 kiuchumi (Arusha), imepitwa na Dar, Mwanza na Mbeya.Mkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Tanga ni wajinga wamekalia ushirikina na uvivu tupuMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Tuombe Mungu,kuna siku itakumbukwaTanga ni mkoa wa 5 kwa uchumi na uchumi wake hauja tofauti ana sana na mkoa wa 4 kiuchumi (Arusha), imepitwa na Dar, Mwanza na Mbeya.
Mikoa iliyoipita Tanga Mbeya na Mwanza ni mikoa ambayo kwenye kanda zake inategemewa, Mwanza inabeba Uchumi wote Wa lake zote, na Mbeya Uchumi wa Kusini.
Kwa situation ya sasa ni fair, kwa hio position ya Tanga, ila ni kweli inaweza fanya vizuri zaidi, tatizo kubwa ni serikali kutopeleka Bajeti ya kutosha, Ukiangalia Bajeti ya jiji la Tanga na kiasi inachoingiza kwenye pato la Taifa ni mbingu na Ardhi, hio barabara tu ya Tanga - Dar kila siku tunapewa promise haijengwi.
Tanga ni wavivu snMwanza
Shinyanga
Mbeya
Arusha
Sana, shida mabinti wadogo kuozeshwa kwa wazee ni kawaida.Kunafaa Kutafuta mke huko
hayo mandeleo yanatoka wapi wakati vijana kwa wazee wanashinda kwenye vijiwe vya story na bao
Kama Tanga ni Wavivu kuna haja kuwe na kampeni ya kuwa fanya watu wawe wavivu zaidi.Wavivu hao watu hatari