Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshaweka link juu, hayo mapato Hayamo ama kama yamo ni kwa wafanyabiashara wa hapo hapo, hio figure ya 300B ni ndogo sana uki include bandari ambayo inakusanya kama Bilioni 200.Kinacho isaidia sana Tanga kwenye stat za mapato TRA ni bandari na mpaka wa kenya ambao ndio unavusha asilimia kubwa ya bidhaa za kenya zinazo ingia Tz na kutoka
Ikizingatiwa kwamba Kenya ndio nchi ya pili duniani tunayofanya nayo sana biashara ukiondoa uchina
Ukweli unasemwa mkikasirika ni juu yenuWavivu mumeo ndiye anawalisha na kuwavisha?
Hivi kweli tujenge bandari ya Tanga kwa kuwa Nairobi ipo karibuli!!Bandari ya Tanga iko strategicalky,Tanga juna reki,Tanga ni karibu na arusha,moshi,uganda na nairobi,bagamoyo ni karibu na waoi?
Bandarii ya Tanga ni natural.
Wakoloni hawakua wajinga kuiendeleza Tanga,ipo kimkakati
Handeni panafaa kwa kikimo na ufugaji
Lushoto utalii na kilimo,korogwe panafaa kwa kilimo,utalii pia si haba