moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Tanga imebarikwa kipi kinachoweza kuwa namba 2 baada ya Dar?Mkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Tembea mkuu kwenye Tanzania hii uone baraka za Mungu kwa baadhi ya mikoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanga imebarikwa kipi kinachoweza kuwa namba 2 baada ya Dar?Mkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Labda jua ligeuke Kasi na kusiIpo siku utakaa kwenye nafasi yake
Nimezurura sana tanzania hii kasoro kigoma,lindi,mtwara na katavi,sumbawanga.Tanga imebarikwa kipi kinachoweza kuwa namba 2 baada ya Dar?
Tembea mkuu kwenye Tanzania hii uone baraka za Mungu kwa baadhi ya mikoa.
Tanga haina hadhi ya kuwa namba mbili ila iltakiwa iwe miongoni mwa sehemu za maana kiuchumi ila sasa Imejaa watu wa vijiwe vya kahawa ma zinaa ambayo kule kwao wanaita mahabaMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Hiyo mikoa haina bahari
Lushoto ni ulaya ndogo
Bahari sio sababu kabisaaa
Bahari?Hiyo mikoa haina bahari
Lushoto ni ulaya ndogo
Mi nakubaliana nawe, hata aliyepandisha hadhi manispaa ya Tanga kuwa jiji ni Waziri furani wa Tamisemi wa wakati huo (sitomtaja jina) ambaye alikuwa na urafiki wa karibu (Uchawa) na rais wa wakati ule Ben Mkapa.Huko kwingine hakuna machawa Wala sio swala la ajabu,Hako kamkoa kuna kipindi wabunge wake 7 walikuwa Mawaziri na imekuwa hivyo miaka Mingi tuu (uchawa).
Mfano mzuri wa uchawa mwingine ni Pwani nayo Ina mawaziri Rundo ndio maana saizi wameanza kujipa hadhi ya Manispaa sijui Mji na upuuzi mwingine kisa uchawa.
By the way Tabora na Morogoro Ina vigezo zaidi vya kuwa Jiji kuliko Tanga.
Mwisho Majiji mengine uliyoyaa Yana sifa na vigezo kuanzia idadi ya watu,Mapato na Ukubwa wa Uchumi
Mkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Usirudie kuongelea bahari.Nimezurura sana tanzania hii kasoro kigoma,lindi,mtwara na katavi,sumbawanga.
Iliyobaki yoteninefika.
Tangakuna bahari,kuna mito,ardhi safi ya kilimo kule lushoto ji ulayandogo,mbuga ya wanyama,vivutio vya utalii,maeneo yaufugaji,nini tena unataka
Tanga ilipewa hadhi ya manispaa 1930s,kwa hiyo wakoloni nao walikosea?Mi nakubaliana nawe, hata aliyepandisha hadhi manispaa ya Tanga kuwa jini ni Waziri furani wa Tamisemi wa wakati huo (sitomtaja jina) ambaye alikuwa na urafiki wa karibu (Uchawa) na rais wa wakati ule Ben Mkapa.
Bandari ya Tanga iko strategicalky,Tanga juna reki,Tanga ni karibu na arusha,moshi,uganda na nairobi,bagamoyo ni karibu na waoi?Usirudie kuongelea bahari.
Bahari ipo kila mahali, ipo Mkuranga, Nyamisati, Somanga, Nangurukuru nk.
Kama huna bidhaa ya kusafirisha bahari yako itakuwa maji tu ya kuvulia samaki.
Bandari ya Mtwara itapanuliwa ili kupakia Makaa ya Mawe kutoka Mkoani Ruvuma, Chuma na bidhaa za kilimo toka mikoa ya kusini na nchi jirani za Malawi na Zambia.
Bahari ya Tanga itakuwa na faida pale bomba la mafuta kutoka Hoima litakapofika Chongoleani.
Mizigo ya nchi nyingine itashushwa Dar ambako kuna barabara ya uhakika na reli za TAZARA na ile ya kisasa SGR.
Na hata ikitokea Dar kuzidiwa kuna mpango wa kujenga bandari ya Bagamoyo, siyo Tanga.
Kuna .maziwa makubwa na samaki wakutosha tatizo Tanga uvivu na ushoga wanaume mmelegea sana mbwa nyinyiHiyo mikoa haina bahari
Lushoto ni ulaya ndogo
Mbona umepanic dada angu?Mjinga mama yako
Kinacho isaidia sana Tanga kwenye stat za mapato TRA ni bandari na mpaka wa kenya ambao ndio unavusha asilimia kubwa ya bidhaa za kenya zinazo ingia Tz na kutokaKama Tanga ni Wavivu kuna haja kuwe na kampeni ya kuwa fanya watu wawe wavivu zaidi.
1. Tanga ni mkoa wa 4 nchi hii kulipa kodi zaidi
Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023. Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na...www.jamiiforums.com
2. Tanga ni mkoa wa 5 nchi hii kuchangia mapato
Hii hapa mikoa 12 inayoendesha uchumi wa nchi, inamiliki na kushikilia asilimia 70% ya uchumi wa Tanzania
Kwa Mujibu wa Takwimu za NBS za mwaka 2023 kutoka Kwenye Chapisho la Tanzania in Figures 2023 Limebainisha masuala kadhaa ya takwimu za msingi za Nchi. Moja kati ya takwimu hizo ni Mchanganuo wa Uchumi wa Kila Mkoa Kwa Tanzania Bara. Kwa Mujibu wa Takwimu hizo , imebainisha Mikoa 10 ambayo...www.jamiiforums.com
Nyie ambao sio wavivu mmechangia nini?
Sio Tanga tu ,mikoa yote yenye asili ya pwani, Tanga,Pwani,DSM,Mtwara ni wavivu kupindukia.Waarabu waliwaharibu sanaTanga ni wavivu sn
Upo sahihi mwamba, usiruhusu ndugu ako akaoa watu wavivu kiasi kile utaleta mbegu ya uvivuSio Tanga tu ,mikoa yote yenye asili ya pwani, Tanga,Pwani,DSM,Mtwara ni wavivu kupindukia.Waarabu waliwaharibu sana
Wavivu mumeo ndiye anawalisha na kuwavisha?Watu wa Tanga wavivu sana....sema wana bahati sana
Wewe mbona unafirwa kwani umetokea Tanga?Kuna .maziwa makubwa na samaki wakutosha tatizo Tanga uvivu na ushoga wanaume mmelegea sana mbwa nyinyi